Kagera: Mwalimu atapeliwa zaidi ya milioni 100 kupitia simu yake ya mkononi

Alafu huyo hajatapeliwa, kaibiwa!
 
Ndomana kuna tajiri yangu mmoja mzee,hataki kujiunganisha na mambo sim banking Internet banking, mara app ya benki anasemage kupigwa ni dk 0 [emoji1]
Yeye ni mguu kwa mguu benki

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Me Nikiwa tu na milioni moja benk naigawa mara nne naiweka sehemu tofauti tofauti
Sembuse ningekuwa na iyo 100m hakika ningeifukia nusu na cement chin ya kitanda changu
 
Wastaafu waelimishwe, kabla ya kustaafu. Waweke pesa zao katika mifuko ya uwekezaji hasa UTT. Na wasikubali kukimbizana na mafuso, try za mayai, matunda nk
 
Kumbe walimu wastaafu wana hela 🀣
 
bank gan mtu anaweza droo mill 100 kwenye simu me najua mwisho mill 4 kutoa kwa simu
Wanatoa kidogo kidogo...pesa wameihamisha kutoka ktk akaunti ya mama kwenda kwenye akaunti zao binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…