Kagera N'Ogimanyage? Isi owanyu nia? - Kagera unaijua vizuri? Kwenu ni wapi?

yaan hawathamini nyumbani kwao,waige watu wa Kilimanjaro wanavyothamin kwao yaan kule. kumejengwa majumba ya kifahari migombani huko usipime
 
yaan hawathamini nyumbani kwao,waige watu wa Kilimanjaro wanavyothamin kwao yaan kule. kumejengwa majumba ya kifahari migombani huko usipime


Hahaha kumbe unapamanya ipasavyo lol.. Nilishangaa sana Yani unaona migomba migomba mingiii ingia huko migombani unakutana na mibongesa ya mijumba lol.
hauwezi kufananisha bk na Kilimanjaro asee

kule Ukitaka kuinjoi jitose weekend nenda zako kampala huko ukale Maisha
hutojuta






Cc Smart911
 
bk imechakaa sana wafanye jitihada waondoe aibu hio
 
MBWEMBWE ZOOTE KAGERA NI MKOA WA TATU KWA UMASKINI TANZANIA POOR KBS NYIE WATU MNAACHA KUCHAPA KAZ MNABAKI MKIJIBARAGUZA KUWA N WASOMI KUMBE HAMNA LOLOTE
KAGERA IMECHAKAA HASWAA
Mkuu vipi mbona povu jingi sana kwa watu wa kagera hasa wahaya
 
What's wrong with you ? Mbona unaongea kwa jazba na chuki .tangia mgalagazwe kwenye Uzi ule wa bukoba vs moshi mna mapovu mengi kweli hata bukoba hupajui
 
What's wrong with you ? Mbona unaongea kwa jazba na chuki .tangia mgalagazwe kwenye Uzi ule wa bukoba vs moshi mna mapovu mengi kweli hata bukoba hupajui
una kichaa sio bure yaan kamji kalikochakaa bukoba kaigaragaze jiji tarajali LA moshi? una kichaa sio bure
bukoba ambayo haina hata stand? bukoba ambayo lami INA mabonde? bukoba ambyo haina hata hotel ya nyota 2 zaid ya vi lodge? bukoba ambayo v gest vyake vina makaratas ya nailon kwenye magodoro? hebu acha kujiaibisha mkuu
bk kuifkia mosh lbd miaka 60 mbele
 
What's wrong with you ? Mbona unaongea kwa jazba na chuki .tangia mgalagazwe kwenye Uzi ule wa bukoba vs moshi mna mapovu mengi kweli hata bukoba hupajui
una kichaa sio bure yaan kamji kalikochakaa bukoba kaigaragaze jiji tarajali LA moshi? una kichaa sio bure
bukoba ambayo haina hata stand? bukoba ambayo lami INA mabonde? bukoba ambyo haina hata hotel ya nyota 2 zaid ya vi lodge? bukoba ambayo v gest vyake vina makaratas ya nailon kwenye magodoro? hebu acha kujiaibisha mkuu
bk kuifkia mosh lbd miaka 60 mbele
 
Lakini nasikia hakunaga njaa kuleee, shiling tu ndo hamna, ndo wanajibugi hyooooo
 
Mwendo wa maji tu pwaaaaaa pwaaaaaa pwaaaaaaaaa
 
sio povu n ukweli kwan n uongo kuwa kagera n mkoa wa tatu kwa umaskin?
Na je wahaya wanakutwa wapi katika mkoa huo na je ulishafika sehemu za wahaya kwa taarifa yako wanakutwa kwenye wilaya NNE tu kati ya Tisa za mkoa huo nazo ni bukoba mjini,vijijini,muleba na misenyi hebu fuatilia kiwango cha umaskini katika wilaya hizo halafu njoo uje uwatukane wahaya vzr ikishindakana andaa laki mbili kama nauli uje ujionee mwenyewe. Waulize walioshafika wakwambie.route ya Bk nshamba ina daladala 40, Bk mtukula 50,bk muleba hazihesabiki halafu unasema bukoba hakuna daladala unaonekana kichaa si bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…