Hata kagera ni ya 8 kwa GDPkunA tofauti kati ya gdp na umaskin
mwanza n ya pili kwa GDP ila n ya NNE maskini
Kilimanjaro n ya 7 GDP ila n ya pili wwtu wake kuishi maisha bora
Kilimanjaro nyumba ya kulala mbuz n nzuri kuliko ya kulala binadamu hko kagera au mwnza
daladala zina stimulate uchumi nyie mmekosa ubunifu na kudharau kaz kwa Hall hiyo mtwzd kuwa maskn
vipi mbona jaziba kwa sana relax, matatizo ya bk ni kama yalivyo matatizo ya Tz nzima. Dar imechoka kuliko bk niligundua hilo wakati wa mvua za masikauna kichaa sio bure yaan kamji kalikochakaa bukoba kaigaragaze jiji tarajali LA moshi? una kichaa sio bure
bukoba ambayo haina hata stand? bukoba ambayo lami INA mabonde? bukoba ambyo haina hata hotel ya nyota 2 zaid ya vi lodge? bukoba ambayo v gest vyake vina makaratas ya nailon kwenye magodoro? hebu acha kujiaibisha mkuu
bk kuifkia mosh lbd miaka 60 mbele
wahaya kama waisraeli, historia hujirudia, kabla yesu hajashuka Bukoba itakuwa juu kama israel, in swala LA muda tu. ila dogo punguza jazba, walikufanyia nini wahaya??kwa mujibu wa takwimu za wizara ya fedha,kagera n mkoa wa tatu kwa umaskin
hata kiuhalisia n kweli miundombnu kagera IPO duni,sio mjin wala vijijin mfano kule muleba barabara hovyo vinymba vyw hovyo,bkb vijijin vilevile
pale bukoba mjin tu palivyochakaa inawachoresha sana,mji hauna daladala cjawwh ona KBS
mji hauna hotel hata ya nyota 2 aisee mjenge mkoa wenu achen mbwembwe
Hatupendi ubaguzi wa kikabila mnaouleta JF, kama kuisifia Kagera, kwanini usingeleta uzi kwa lugha ya taifa ya Kiswahili?, mpaka ulete kwa lugha ya kihaya?, hicho ni kiburi cha ukabila, mnaleta ukabila JF!Sasa we si uache kuchangia
wahaya kama waisraeli, historia hujirudia, kabla yesu hajashuka Bukoba itakuwa juu kama israel, in swala LA muda tu. ila dogo punguza jazba, walikufanyia nini wahaya??kwa mujibu wa takwimu za wizara ya fedha,kagera n mkoa wa tatu kwa umaskin
hata kiuhalisia n kweli miundombnu kagera IPO duni,sio mjin wala vijijin mfano kule muleba barabara hovyo vinymba vyw hovyo,bkb vijijin vilevile
pale bukoba mjin tu palivyochakaa inawachoresha sana,mji hauna daladala cjawwh ona KBS
mji hauna hotel hata ya nyota 2 aisee mjenge mkoa wenu achen mbwembwe
Kama unanikashifu kihaya mwenyewe!!Wabhote kandi!! Nka notumiga mno tutaganila
Mngejiachia kwenye magroup yenu ya WhatsApp, lakini siyo hapa JF, JF ni ya watanzania wote, siyo ya wahaya au kabila fulani.Hakuna neno baya hapo mkuu ila najaribu kukwambia mbona unatubanabana wakati hii ni thread yetu ya kujiachia
kama wewe unaagiza serengeti laga mimi nipatie bukoba lagaChei
wahaya mpooooo?na Kilimanjaro wasemeje?
kagera n ya tatu kwa umaskin Kilimanjaro n ya pili kitaifa watu wake kuishi maisha bora na makaz bora
hapo nan wa kujifananisha na waisrael?
kautamadun ketu ka kurudi home popular December kama waisrael hakajawah fikiwa na kabila lolote
December dar inatikisikikaga wakat tukienda kwetu
sis tunadhmn nyumbn sio kama nyie mmeitelekza kagra
Are you serious ?
dogo weka akiba ya maneno dunia inazungukana Kilimanjaro wasemeje?
kagera n ya tatu kwa umaskin Kilimanjaro n ya pili kitaifa watu wake kuishi maisha bora na makaz bora
hapo nan wa kujifananisha na waisrael?
kautamadun ketu ka kurudi home popular December kama waisrael hakajawah fikiwa na kabila lolote
December dar inatikisikikaga wakat tukienda kwetu
sis tunadhmn nyumbn sio kama nyie mmeitelekza kagra
We hufai humu unabidi ufukuzwe huna hoja hata kidogo kwanza uko muongona ni ya tatu kwa umaskin na uduni wa makaz
Unasemwa "ni nkwemda kaisiki"Kwa kihaya ukitaka kumwambia msichana nakupenda, unasemaje ??
SawaUnasemwa "ni nkwemda kaisiki"
SawaNinkugonza nkushenkenyule katerelo
Wadanganye bibi zako hapa ni moshi vijijini kwa nini unapenda kujisifia sana uhongo kama vile moshi hatupajuiView attachment 786704tishio gan wakati nyie n wavivu kupindkia
tishio kuliko Kilimanjaro na kaskzn ambao walienda umoja wa mataifa kudai Uhuru wa kaskzn kipind kile ikabd nyerere ampigie magoti mangi mkuu wa wachaga ambaye alikuwa msomi mwenye masters kipind kile
nyerere hats nauli za kwend un mar nyingi alichangiwa na kina aikael mbowe
ndio maana baraza lake LA kwnza LA mawazr wachaga pekee walikuwa 25%
Na uduni wa makaZi bukoba huwezi kuta za hivi kama moshi vijijini kama huamini cheki udongona ni ya tatu kwa umaskin na uduni wa makaz
MBNA takwimu zinasema hivyo kadanganya wapi huyu luambo?We hufai humu unabidi ufukuzwe huna hoja hata kidogo kwanza uko muongo
labda ukadanganye wasiojua Kilimanjaro hakuna mazingira haya,hapo bila shaka n misenyiNa uduni wa makaZi bukoba huwezi kuta za hivi kama moshi vijijini kama huamini cheki udongoView attachment 786902
n changamoto ndogo za msimu wa mvuaWadanganye bibi zako hapa ni moshi vijijini kwa nini unapenda kujisifia sana uhongo kama vile moshi hatupajuiView attachment 786704View attachment 786705View attachment 786707View attachment 786706View attachment 786708