Kagera Sugar 0-1 Young Africa SC | Ligi Kuu Ya NBC | CCM Kirumba Jijini Mwanza

Hakuna penaty
 
Mayele bana, huwa nainjoy sana kumuona
 
Yaani hii mechi upande wa kushoto kuna swimming pool, mashambulizi yana takiwa yapitie upande wa kulia.
 
Huu upande wa chini magharibi mwa uwanja kuna maji mengi sana pasi nyingi nimeziona zikikwama eneo hilo
 
Siyo wabinafsishe vibali hivyo viwanja ni Mali ya umma, virudi kwa umma, serikali itaifishe viwanja hivi Mara moja na viwe Mali ya serikali.
Kwani CCM Kirumba sio mali ya serikali?
 
Tupo tunainjoyyy vyura wanaruka ruka vyuraa
 
Japo uwanja mbovu ila Kagera wamepiga pasi zenye accurancy ys juu kuzidi Yanga
 
Kuna siki Nabi ili kupata matokeo itamlazimu Mayele akae bench

Kuna sababu ya kocha kuanza kumfua huyu Clement
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…