Kagera sugar mmeshindwa kuifunga Yanga leo ikiwa imechoka basi Yanga itaendelea kuwa unbeaten mpaka mwisho

Kagera sugar mmeshindwa kuifunga Yanga leo ikiwa imechoka basi Yanga itaendelea kuwa unbeaten mpaka mwisho

Yanga wamepambana sana ila Madaktari na watu wa physical wa Yanga wafanye kitu, Miili ya wachezaji baada ya hii mechi itakua na Hali mbaya sana.
Maji, matope uwanjani na uchovu unaweza leta injury nyingi au Homa Kali Kwa wachezaji.
Wasichukulie poa, tumepata point 3 lakini Miili ya wachezaji kesho itakua imevunda vibaya Kwa baadhi ya wachezaji hasa waliocheza kule Tunis.
Leo baada ya mechi wasiwatie kwenye barafu, wapige massage tu.

Enzi sisi tunacheza ikitokea mmecheza mechi mfululizo Kwa kipindi kifupi tulikua tukimeza dawa za kutuliza maumivu wakati wa warm-up katika mechi husika ya muda uo ilisaidia kuondoa uchovu, kwasasa nafikiri Wana njia Bora zaidi ki Afya.
Mkuu wewe ulichezea timu Mkuu?
 
Wahuni wa TieFueFu inazikumbusha timu za Simba na Yanga zinazoshiriki mashindano ya "CUF" hakutakuwepo na kuhairishwa kwa mechi zao za ligi iwapo mechi inayofuata itakuwa imepishana kwa siku 2, siku ya 3 mechi ya ligi lazima ichezwe hata kama timu imecheza mechi nje ya Bongo.

Ndio maana timu zimeruhusiwa kusajili wachezaji 30, ukiona shida nenda nje ya nchi na wachezaji 18, wachezaji 12 wabakize Bongo .
 
ratiba ipi sawa aise... Mbona kule ulaya timu inatoka kucheza Europa alhamisi then jumamosi timu hiyo hiyo inakuwa na mechi nyingine...

#Tusidekezane...
Hakuna team imewahi kutoka kucheza alhamis ikacheza mechi ya ligi jumamosi Acha kudanganya labda tuletee mifano.
Wote wanacheza alhamis wanacheza jpili au j3 usiku.

Kinachosumbua Africa ni swala la usafiri team zetu hazina jeuri ya kukodi private jet Ili ziwahi kufika. Mfano yanga walilazimika kupita Dubai kwa sababu ya usafiri.
 
Back
Top Bottom