Kagera Sugar waendeleza ubabe dhidi ya Simba uwanja wa Kaitaba, Wainyuka mabao 2 - 1

Kagera Sugar waendeleza ubabe dhidi ya Simba uwanja wa Kaitaba, Wainyuka mabao 2 - 1

Disapointed.. Weekend chungu so simba sio Man U

Poleni, Yanga jana kama ulivyosikia. Liverpool akampiga Everton 3-1. Nasubiri matokeo ya Barça tu, kwa sasa naombea Alaves warudishe dhidi ya Real Madrid kisha wamkalishe for good
 
FB_20170402_18_16_17_Saved_Picture.jpg
FB_20170402_18_16_32_Saved_Picture.jpg
FB_20170402_18_16_45_Saved_Picture.jpg
FB_20170402_18_17_48_Saved_Picture.jpg
 
Mm kama shabiki damu wa simba nakubaliana namatokeo ya Leo ,Ila bado naamini nafasi ya ubingwa ni ya SSC coz bado chance ipo
 
Chelsea kapigwa jana ,leo Simba tena kapigwa ...jamani hata bia naona chungu
 
Mpira kwenye nyasi bandia Simba hatuwezi hats zile za bandarini tuziache tu zipigwe mnada
 
Back
Top Bottom