Kagera sugar wainuka, watinga TFF kutaka warejeshewe pointi zao walizopewa Simba

Kama hujui sheria na kanuni za mpira usiwe unapost . Kilichotokea ni kuwa nyaraka ziliwekwa mezani kadi tatu zikaonekana zilivyotolewa sasa kagera waitwe kufanya nini? Mbona timu kupokwa point ipo kwenye kanuni na haijaanza kwa Kagera? Yanga acheni kujiaibisha
 
Walikuwa wapi hadi kamati inatoa maamuzi?
 
Walikuwa wapi hadi kamati inatoa maamuzi?
Wapo sahihi,wamesubiri maamuz yatoke then wakate rufaa.
Simba anataka kutembelea NYOTA YA SERENGET BOYZ
 
Haya mambo ulaya hayapo kwa sababu kule wapo smart mchezaji akiwa na tatizo la kumzuia kucheza anaandikiwa barua kukumbushwa kabla ya mechi inayofuata bongo upuuzi mwingi upo mchezaji kusajili timu mbili tofauti kwa wakati mmoja mchezaji mwenye kadi 3 za njano kucheza yapo sana bongo
 
Reactions: SDG
Kwahyo suala la real Madrid mwaka Jana umelisahau au Madrid ni ya tukuyu
 
Hivi kwa akili tu za kawaida.Kagera hawakujua kuwa Fakhii alikuwa na kadi tatu? Hivi katika timu ya kegera mtu unashindwa kuelewa kuna viongozi wenye mapenzi na simba au Yanga? Hivi huwezi kufikiri taarifa za Fakhii zimetolewa na Kegera wenyewe? Hivi kamati kubwa ya ligi inaweza kupora timu point bila kuwa na ushahidi usio na shaka? Yanga jaribuni kujiongeza basi!
 
Changudoa kalete wewe sisi ya nini wakati tuna point tatu.... Nyie mmetushindwa na wachezaji 10 mnatafuta msaada.
Nlijua tu lazma muwe wakali hamuwezi kubali tuangalie upya ile mechi mnajua kitakachotokea mi nashangaa sana vikaovikao viiiingi vya nn na cd za zpo azam? Wala isingechukua muda mrefu kutoa maamuzi!
 
Ndg yng weeeee cd zpo azam ple ila hawawezi kubali tuzipitie upya jeuri hyo hawana!
 
Kama ni Kweli nimependa hii [emoji23] [emoji23] [emoji23] MPIRA PESA
 
..Kilichotokea ni kuwa nyaraka ziliwekwa mezani kadi tatu zikaonekana zilivyotolewa sasa kagera waitwe kufanya nini..
Barua ya Kagera Sugar umeisoma na kuielewa? Wao wamesema wanajua kadi mbili na wametaja mechi husika. Kama wangekuwa wametaarifiwa zile kadi tatu zilikuwa kwenye mechi ipi na ipi nina uhakika barua yao ingebeba aina ya utetezi tofauti
 
Barua ya Kagera Sugar umeisoma na kuielewa? Wao wamesema wanajua kadi mbili na wametaja mechi husika. Kama wangekuwa wametaarifiwa zile kadi tatu zilikuwa kwenye mechi ipi na ipi nina uhakika barua yao ingebeba aina ya utetezi tofauti
Kagera wanajua mchezo waliocheza hapo wanaipoteza Yanga tuu
 
Barua ya Kagera Sugar umeisoma na kuielewa? Wao wamesema wanajua kadi mbili na wametaja mechi husika. Kama wangekuwa wametaarifiwa zile kadi tatu zilikuwa kwenye mechi ipi na ipi nina uhakika barua yao ingebeba aina ya utetezi tofauti
Kagera wapuuzi sana...yaani ni jukumu la TFF kuwajulisha wana kadi ngapi za njano?hawa mapimbi nini
 
Hii kitu inaonekana imekuuma sana. Pole
 
Huu
Huu mchezo Azam hawakuuonyesha
 
Mezani Football Club wamejipnga kuchukua ubingwa wa Mezani
 
Unafahamu umeandika nini? Kupungukiwa na mchezaji tegemeo kwenye mechi kama ile ni mteremko kwa mpinzani.... Pole bila msaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…