[https://3]
FAKHI
Kamati ya Saa 72, imesikiliza rufaa ya Simba dhidi ya Kagera Sugar na kupitisha uamuzi wa kuipa pointi tatu na mabao matatu.
Simba ilikata rufaa ikitaka ipewe pointi tatu kwa kuwa Kagera Sugar ilimchezesha Mohamed Fakhi akiwa na kadi tatu za njano.
Katika mechi hiyo, Simba ililala kwa mabao 2-1 na baada ya hapo, ikatangaza kutangaza kukata rufaa.
Katika kikao cha leo, Simba imeshinda rufaa hiyo baada ya kubainika kuwa Fakhi alikuwa na kadi tatu za njano.
Mbona kagera kawakalia mmeenda kuomba wapuuzi mpewe point ilihali yanga kampiga sitaMkuu mbona mzigo unawapa Toto wakati babake yanga alikalia bao 2 na wachezaji 10 tu!! usiwatafutie lawama toto.
Taratibu na kanuni za uchaguzi ni tofauti na za mpira mkuu. Hizo taratibu za mpira za kumnyang'anya point mkosaji ni za kidunia hata cc tumezirithi. Lakini za uchaguzi tumezitunga cc wenyewe kupitia Bunge. Kwa hiyo huo nfano wako ni tofauti kabisa.Mjinga ni mama yako mzazi bwegge wewe, mimi nimetowa maoni yangu hayo mambo ya serengeti boys ni yako, ingekuwa hivyo basi hata rufaa za uchaguzi ingekuwa mkata rufaa akishinda ushindi anavuliwa anapewa mkata rufaa, unadhani ni kwa nini hata ushindi ukitenguliwa ni lazima ufanyike uchaguzi mpya?
ndio mnajifananisha na serengeti tofautisha ligi kuu na michuano ya chan kwanza serengeti haikuwa ligi kuu ilikuwa chan isitoshe congo walichezesha kijeba wakaondolewa sasa nyie mchezaji ana kadi tatu mnataka point zao hakuna ligi inayoendeshwa kwa ushindi wa mezani ni tanzania tuAcha kuonesha ujinga wako mbele ya halaiki! Mbona hata Serengeti boys wataenda Gabon kwa ushindi wa mezani? Au hukuona au kufiatilia ile kesi ya real Madrid mwaka uliopita....?
Ukitinga mahakamani tunaishisha timu yako daraja ndio sheria zinasemaJumapili ndo mwisho wa ligi kuu jumatatu tunatinga mahakamani kuisimamisha ligi isiendelee
Huu ni wizi wa mchana kweupeee !! Itakuwa bora zaidi kanuni hizi za ovyoovyo zikafutwa , mtu aliyefungwa mchezoni Leo ni mshindi wa goli 3--0 ni kichekesho na pia wamempa ubingwa wa VPL 2017--2018 ligi ya TZ bwana mmmmmm KANUNI ovyoooAma kweli TFF imehamia simba mhh tutaona mbele huko maana mmebebwa weeeee mpaka mnapewa za mezani
Bashite mkubwa weeeee......ndio mnajifananisha na serengeti tofautisha ligi kuu na michuano ya chan kwanza serengeti haikuwa ligi kuu ilikuwa chan isitoshe congo walichezesha kijeba wakaondolewa sasa nyie mchezaji ana kadi tatu mnataka point zao hakuna ligi inayoendeshwa kwa ushindi wa mezani ni tanzania tu
Weee ndiyo mpumbavu ktk mabishano hayo, km vp game ingefutwa mkacheze tena tuoneYaani unazidi kuonesha upumbavu wako kwa kufananisha mpira na siasa! Kweli wewe akili zako ukubwa wake ni sawa na kisoda!
Mkuu mbona mzigo unawapa Toto wakati babake yanga alikalia bao 2 na wachezaji 10 tu!! usiwatafutie lawama toto.
Lakini unasahau tu msimu uliopita Azam walipokwa point tatu kwa kumchezesha Erasto Nyoni kwa kuwa na kadi tatu za njano na hii ikawasaidia Yanga kupata ubingwa? Leo hii zimekuwa mbovu kwa kuinufausha Simba??Huu ni wizi wa mchana kweupeee !! Itakuwa bora zaidi kanuni hizi za ovyoovyo zikafutwa , mtu aliyefungwa mchezoni Leo ni mshindi wa goli 3--0 ni kichekesho na pia wamempa ubingwa wa VPL 2017--2018 ligi ya TZ bwana mmmmmm KANUNI ovyooo
Kwahiyo umeachana na yanga kwakuwa mlitandikwà bao 2 na simba na kuhamia kagera sugar ?Mbona kagera kawakalia mmeenda kuomba wapuuzi mpewe point ilihali yanga kampiga sita
Ile ya libolo ilikuwa ligi kuu[emoji2]Na ushindi wa kuhonga na kuwapulizia dawa wachezaji na ndo mana wanafunga hyo ndo kazi ya chura sc [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] angalia mechi za kimataifa wanmbwela tu ngoja tuende si mwkan waone
Hii taarifa haijakamilika acha kupotosha ummaInter Milan 2006 walipewa ubingwa wa bure bbaada ya kubainika juve na ac Milan kupanga matokeo.
Hata kwenye uchaguzi tuliwahi kuwa na sheria za aina hiyo, anayeshinda kesi anapewa ubunge. kumbuka kesi maarufu ya uchaguzi iliyoacha gumzo baina ya Kitwana Kondo na Martha Wejja ubunge wa ilalaTaratibu na kanuni za uchaguzi ni tofauti na za mpira mkuu. Hizo taratibu za mpira za kumnyang'anya point mkosaji ni za kidunia hata cc tumezirithi. Lakini za uchaguzi tumezitunga cc wenyewe kupitia Bunge. Kwa hiyo huo nfano wako ni tofauti kabisa.
Kwani yanga hawajawahi kukata rufaa!!
Ulipaswa kuzisoma kanuni za ligi kabla hujaingiza timu yako. vinginevyo kila siku utasema unaonewaManina zenu, hii laana haiwezi kuipa Simba ubingwa.
Ligi inaelekea mwishoni halafu nyie mnawapa Simba point za mezani, this is not fair kwakweli.
Kweli bingwa wa mwaka huu ataamuliwa na upepo wa uchaguzi wa mwaka huu.
Nitaamini tff ni yanga kama inavyosemwa!!Kesho yanga wanapewa point 3 dhidi ya African Lyon vuta subira
Hata Congo under 17 Mungu aliwaona under 17 wa bongo!Nyie mikia mungu anawaona