Kagera Sugar wapokonywa pointi 3 na kupewa Simba

Kesi za mpira ni marufuku kwenda mahakamani.

Sasa Simba bila kubebwa itachukuwa ubingwa kwa mpira gani?

Fitina zihamishieni kwa Toto wawatandike hao mazoba wa mikia.
Tulivyorudisha na kushinda 2-1 tukiwa 10 ulikuwa mpira gani? Nyie mmetoka kupigwa 4-0 mna mpira gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…