Kagoma kutoka Getho anataka kuolewa. Msaada tafadhali

Kagoma kutoka Getho anataka kuolewa. Msaada tafadhali

Hiyo kesi mbaya ni bora ukutwe na makinikia utaitwa kwenda ku-negotiate!
 
Kama umeweza kumtongoza na kumshawishi akukubalie, unashindwaje kumshawishi aondoke.
Acheni utoto.
 
Hyo ndy hatar ya kumpeleka mtu asiyejielewa ghetto.Next tym jitahd uwe unawapeleka G.House, anyway jitahd kumwelewesha umuhmu wa elimu kwake yeye atakuelewa tu
Ahsante mkuu
 
Wakuu habarini.. Naandika uzi huu nikiwa nimelala mzungu wanne na mtoto wa kike{mwanafunzi} yupo likizo kidato cha 5 toka jana..,baada ya kumgegeda ofcourse dozi ilikua bomba, mida ya saa6 usiku nikamwambia nimrudishe kwao akagoma kubwa zaidi anadai anataka nimuoe na shule haendi kisa anasoma arts so hana mwelekeo nikamwambia acha upumbavu wewe... Nikijua ni utani mtoto aligoma kweli na mpka sasa bado yupo geto dada yake kampigia simu arudi kadai harudi anaolewa wakuu kichwa cha moto maana sijajipanga kuoa na binti tumeongea usiku kucha anadai tutaishi maisha yoyote na mbaya zaidi baba yake ni mwanajeshi msitaafu wakuu hapa nilipo napumua kama ng'ombe anayehasiwa... Msaada please.. Na nimekoma kutongoza wanafunzi..mtanisamehe kwa uandish mbovu...
Ngoja uhasiwe kweli na huyo mwanajeshi "msitahafu" ndo utajua kama utapumua hivyo hivyo au la![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Ngoja uhasiwe kweli na huyo mwanajeshi "msitahafu" ndo utajua kama utapumua hivyo hivyo au la![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
mkuu unazidi kuniongezea presha
 
Hahaha
Tuombe Mungu akuje basi ajibu....

Mie Sijambo jamani

Hata mie naona hamjambo kabisa

Usalama wake uko shakan labda tukamuone jiran yake c unajua mabwe sio mbal sana
 
Naona ufungwe tu huna maana yoyote na aendeleee kugoma upigwe mvua ya kutosha
 
Back
Top Bottom