Kagoma kutoka Getho anataka kuolewa. Msaada tafadhali

Kagoma kutoka Getho anataka kuolewa. Msaada tafadhali

Sikia mida ya jioni mtoe out kwenda kula sehem alaf baada ya kunywa vinywaj viwili vitatu mtoroke hapo hapo usirudi geto lala hata guest au kwa mwana siku 2..... hawez kuja kuvunja mlango
 
Wakuu habarini.. Naandika uzi huu nikiwa nimelala mzungu wanne na mtoto wa kike{mwanafunzi} yupo likizo kidato cha 5 toka jana..,baada ya kumgegeda ofcourse dozi ilikua bomba, mida ya saa6 usiku nikamwambia nimrudishe kwao akagoma kubwa zaidi anadai anataka nimuoe na shule haendi kisa anasoma arts so hana mwelekeo nikamwambia acha upumbavu wewe... Nikijua ni utani mtoto aligoma kweli na mpka sasa bado yupo geto dada yake kampigia simu arudi kadai harudi anaolewa wakuu kichwa cha moto maana sijajipanga kuoa na binti tumeongea usiku kucha anadai tutaishi maisha yoyote na mbaya zaidi baba yake ni mwanajeshi msitaafu wakuu hapa nilipo napumua kama ng'ombe anayehasiwa... Msaada please.. Na nimekoma kutongoza wanafunzi..mtanisamehe kwa uandish mbovu...

Kama haondoki ondoka wewe mwachie nyumba, akisikia njaa ataenda kwao tu.
 
Kwani shida iko wapi? Si mpaka hapo ulishamuoa,
au unadhani kuoa ni zile sherehe?
wee mwambie akuonyeshe kwao ukatoe mahari.
 
Wakuu habarini.. Naandika uzi huu nikiwa nimelala mzungu wanne na mtoto wa kike{mwanafunzi} yupo likizo kidato cha 5 toka jana..,baada ya kumgegeda ofcourse dozi ilikua bomba, mida ya saa6 usiku nikamwambia nimrudishe kwao akagoma kubwa zaidi anadai anataka nimuoe na shule haendi kisa anasoma arts so hana mwelekeo nikamwambia acha upumbavu wewe... Nikijua ni utani mtoto aligoma kweli na mpka sasa bado yupo geto dada yake kampigia simu arudi kadai harudi anaolewa wakuu kichwa cha moto maana sijajipanga kuoa na binti tumeongea usiku kucha anadai tutaishi maisha yoyote na mbaya zaidi baba yake ni mwanajeshi msitaafu wakuu hapa nilipo napumua kama ng'ombe anayehasiwa... Msaada please.. Na nimekoma kutongoza wanafunzi..mtanisamehe kwa uandish mbovu...
Mkuu ungetaja na jina lako halisi japo uweke na kapicha na maeneo unayoishi na picha ya huyo binti pia bila kusahau na namba ya simu jina la baba wa huyo binti. ili tuweze kukusaidia dah nakuonea huruma kweli
 
Hahaaa pole mkuu. hii ilishawahi nitokea ilibaidi niombe nguvu kwa washkaji zangu kama watatu hivi ndipo tulifanikiwa kumtoa[emoji13][emoji24][emoji24]
 
1.mzee ex-military
2. form 5

daah sijui nikushauri nini
 
Ulizoea kula na kusepa eeeeh, sasa osha vyombo ulivyolia weka kabatini kwa matumizi zaidi.
 
Back
Top Bottom