Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi ule wakutoka nae alafu utimue mbio? kama ni huo basi fanya juu chini isiwe usiku sana, na hakikisha ana nauliBado yupo wakuu kuna ushauri nimepewa naufanyia kazi
Dada umesema akamshtaki wap eti?Kamshitaki huko kwenye kamati ya ulinzi a usalama ya wilaya yako, ambayo Mwenyekiti wake ni Mkuu wa Wilaya
Kwa kamati hiyo mubashara, hahahahahaahahaahDada umesema akamshtaki wap eti?
Makubwa
msaada wa mawazo jinsi ya kumtoa maana nimetumia nguvu imeshndkana demu mnyakyusa ananguvu kama powertiller
Mpaka nifike makenikia itakuwa tayari ishaondolewa bhanaHa ha ha namtumbo songea enhee uje bas mpka namabengo nakusubir
Mpaka nifike makenikia itakuwa tayari ishaondolewa bhana
EwaaaaSawa ntakuwakilisha mama
Ha ha ha ha kafuraaah mwenyeweEwaaaa
Kwa mwanafunzi,unalo hilo,mbembeleze kwa kumuahidi utakwenda kwao,au mwambie kwa upole aende kuchukua nguo arudi,usimwonyeshe wacwac,akitoka fungal nyumba ondoka,au kabidhi watu waishi,ila ukimtoa kwa nguvu dadake akienda police umekwishaWakuu habarini..
Naandika uzi huu nikiwa nimelala mzungu wanne na mtoto wa kike{mwanafunzi} yupo likizo kidato cha 5 toka jana..,baada ya kumgegeda of course dozi ilikua bomba, mida ya saa6 usiku nikamwambia nimrudishe kwao akagoma kubwa zaidi anadai anataka nimuoe na shule haendi kisa anasoma arts so hana mwelekeo nikamwambia acha upumbavu wewe...
Nikijua ni utani mtoto aligoma kweli na mpaka sasa bado yupo geto dada yake kampigia simu arudi kadai harudi anaolewa
Wakuu kichwa cha moto maana sijajipanga kuoa na binti tumeongea usiku kucha anadai tutaishi maisha yoyote na mbaya zaidi baba yake ni mwanajeshi mstaafu wakuu hapa nilipo napumua kama ng'ombe anayehasiwa...
Msaada please.. Na nimekoma kutongoza wanafunzi..mtanisamehe kwa uandishi mbovu...
HahahaHa ha ha ha kafuraaah mwenyewe