Kagoma kutoka Getho anataka kuolewa. Msaada tafadhali

Hiyo kesi mbaya ni bora ukutwe na makinikia utaitwa kwenda ku-negotiate!
 
Kama umeweza kumtongoza na kumshawishi akukubalie, unashindwaje kumshawishi aondoke.
Acheni utoto.
 
Hyo ndy hatar ya kumpeleka mtu asiyejielewa ghetto.Next tym jitahd uwe unawapeleka G.House, anyway jitahd kumwelewesha umuhmu wa elimu kwake yeye atakuelewa tu
Ahsante mkuu
 
Ngoja uhasiwe kweli na huyo mwanajeshi "msitahafu" ndo utajua kama utapumua hivyo hivyo au la![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Ngoja uhasiwe kweli na huyo mwanajeshi "msitahafu" ndo utajua kama utapumua hivyo hivyo au la![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
mkuu unazidi kuniongezea presha
 
Hahaha
Tuombe Mungu akuje basi ajibu....

Mie Sijambo jamani

Hata mie naona hamjambo kabisa

Usalama wake uko shakan labda tukamuone jiran yake c unajua mabwe sio mbal sana
 
afande marwa kamata hiri riharifu ra taifa ra kesho, fanya fasta mura!
 
Naona ufungwe tu huna maana yoyote na aendeleee kugoma upigwe mvua ya kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…