WAsha TVPicha ya huo moto wa wcb
hahahaaa....Kuna jamaa kasema gari la zima moto sijui litapigaπππ watu wapo high kwenye show zimamoto la nini labda kumwaga maji uwanjani ili kupunguza vumbi
Maskini poleni kwa ajali ya moto Mungu awalaze mahali pema peponiWewe si umesikia huko moto unawaka Mkuu
Maskini poleni kwa ajali ya moto Mungu awalaze mahali pema peponi
Sawa Mbosso tumekusikiaThe show is EPIC
Kaka unatizama hii shoo lakin..!??Sawa Mbosso tumekusikia
ππππππππππππMaskini poleni kwa ajali ya moto Mungu awalaze mahali pema peponi
Atakua aliliwa just before the show...huyo sada ana kiuno kigumu kweli
Teh ....Halafu nchi hii ilivyo ya ajabu utashangaa mpaka sasa zimamoto hawajafika eneo la tukio watu wanaendelea kuteketea tu... Serikali ya CCM haina huruma kabisa na wananchi wake.