TANZIA Kahama: Mwenyekiti wa Wazazi (CCM) kata ya Ulowa ajiua kwa kujipiga risasi

There is something to do with tobacco payments delay mkulima mkubwa wa tumbaku enzi na enzi hawezi jitoa uhai burebure Kuna shida apo
 
Acheni kufuga Majini ( kumiliki bunduki) jini ( bunduki)linataka damu. Tu lilikosa damu kwa mtu mwingine litaitaka damu yako.

R.i.p.kwa Marehemu n.a. poleni wafiwa
 
Chanzo cha kifo chake n kujipiga Risasi ya shingo
 
Kausha damu- Mikopo. RIP
 
Safi sana idadi ya wezi wa kura inazidi kupungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…