Pre GE2025 Kahama: Paul Makonda ataka Caroline apewe eneo la Serikali, Mkurugenzi asema kumiliki Ardhi ni jambo la kisheria sio siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mhe Paul Makonda, Nataka nikueleze kuwa Kahama tunamkurugenzi ambae kwanza hanunuliki lakini pili ni mtu mwadilifu na anauchungu na mali za Serikali ndio maana unaona hataki janja janja hizi za watu kupora mali za umma.
Promo
 
Haraka haraka kwenye mada,

Mhe Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga Taifa na zi utakuwa ni kesho mama anashinda kwa kishindo.

Ni Mimi Mabula Malunde Sitta.
Mkurugenzi anahujumu mapato aondoke
 
Mbona unauliza nisicho kisema?

Mkuu hukunisoma. Miye nimekazia tu.

1. Huyo ni wa ndinga la 400m +
2. Barabara Kahama kwa halmashauri zote likely ni poorest.
3. Huyu bwana asemekana ni long serving mkurugenzi tangu enzi za JK.
4. Raia wa Taifa ananitaka kufika kujionea, nalikuwa huko juzi.
 
Sawa,

1. Kwani ndinga lile ni mali ya nani?

2. Long service inayoleta matokeo kama haya ubaya wake ni Upi?

3. Huyu ni Mkurugenzi wa Kahama Mji hizo Halmashauri zingine zinawakurugenzi wake

4. Barabara mjini ni nzuri binafsi sipendi Uchawa ila ukweli huyu bwana apewe maua yake
 
Wewe ni kilaza, chawa, muoga, kinyamsisi n.k mtu smart hawezi akawa anarudia rudia mheshimiwa makonda kila sehemu. Umetumwa na nani?
 

1. Vyema umekubaliana nami katika hoja zote isipokuwa barabara:

Ubovu wa barabara Kahama

2. Ninakazia Kahama barabara ni mbaya mno na mji umedumaa.

3. Kusema kilichopo so uchawa; kwani wewe ni chawa wake?
 
Tunampongeza ajirahidi Kahama iwe Mkoa kisha Jiji hata kama atafia hapa sisi tunataka maendeleo tu
 
TUkianzia ktk ajira tu tutaona mapungufu, tukienda ktk mapato na matumizi tutamkataa mapema
 
Haraka haraka kwenye mada,

Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga Taifa na chama chetu Cha Mapinduzi, hakika unastahili pongezi kwa hili.
Baada ya kufanya investigation nimetaarifiwa Mbunge alitengeneza watu ila wamkatae Mkurugenzi kisa Mbunge anataka Mkurugenzi nae awe Msukuma na hamtaki kabisa Mkurugenzi, nawewe endelea kufanya utafiti wako

OVA:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…