Pre GE2025 Kahama: Paul Makonda ataka Caroline apewe eneo la Serikali, Mkurugenzi asema kumiliki Ardhi ni jambo la kisheria sio siasa

Pre GE2025 Kahama: Paul Makonda ataka Caroline apewe eneo la Serikali, Mkurugenzi asema kumiliki Ardhi ni jambo la kisheria sio siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
"...hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama."

1. Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ilikusanya Tshs billioni 32 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Bado kuna Halmashauri za Manispaa za Temeke na Kinondoni ambazo zilikusanya mapato kuizidi Manispaa ya Ubungo. Kwa hiyo Kahama bado ni mtoto tu kwenye kundi la Manispaa.

Halafu kuhusu ushindani wa makausanyo ya mapato, TAMISEMI wameweka Halmashauri katika makundi: Kuna Miji Midogo, Miji, Manispaa, Wilaya, na Majiji. Kahama ipo kundi la Manispaa, hata hivyo haiwezi kushika namba moja.

2. Kuhusu Wilaya ya Kahama kuwa Mkoa wa Kikodi pekee. Tarafa ya Kariakoo iliyopo Wilaya ya Ilala ni Mkoa wa Kikodi; Tarafa ya Mbagala iliyopo Wilaya ya Temeke ni Mkoa wa Kikodi. Mifano ipo mingi. Kwa hiyo siyo kweli.

3. Halmashauri ya Manispaa ya Kahama haikupandishwa hadhi kutoka Halmashauri ya Wilaya na kuwa Halmashauri ya Manispaa. Isipokuwa, Halmashauri ya Mji wa Kahama ndiyo uliopandishwa hadhi na kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama.

Wilaya ya Kahama ina Majimbo matatu: Kahama Mjini, Ushetu na Msalala. Jimbo la Kahama Mjini ndilo linabeba eneo lote la Manispaa ya Kahama.

Majimbo ya Ushetu na Msalala yana Halmashauri yake ya Wilaya( sikumbuki jina)

4. Ukisema kuna Halmashauri zinakuja Kahama kujifunza basi ni hivi, Kahama wenyewe madiwani walienda Manispaa ya Ubungo kujifunza namna ya kukusanya mapato haswa ya Stendi. Halmashauri nyingine zilizoenda Ubungo ni Mwanza Jiji, Ilemela MC, Tanga Jiji, na wengine wa kule Zanzibar. Hata Arusha Jiji walienda Ubungo.

5. Halmashauri zote nchini zenye mapato makubwa zikeruhusiwa na TAMISEMI kutumia sehemu ya mapato yake kufanya miradi ya maendeleo. Sasa hata kama Kahama inatumia sehemu ya mapato katika miradi ya ndani, haiwezi kuzizidi Halmashauri kama Temeke, Kinondoni na Jiji la Dar es Salaam zenye mapato mengi kuishinda Kahama.View attachment 2886962

Kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023 Kahama Manispaa ilijiwekea lengo la kukusanya bilioni 10.25 za Kitanzania wakati Manispaa ya Ubungo ilikusanya bilioni 32 za Kitanzania.
 
Mtu kama anafanya vizuri na ameimuda Halmashauri kwa ushahidi huu wa kasi ya maendeleo napendekeza abaki hapahapa mpaka Kahama iwe jiji
Mkuu Kahama kuwa Jiji ni ndoto.

Sababu ni moja tu, kwamba Kahama siyo Makao Makuu ya Mkoa.

Sheria ya Mamlaka za Serekali za Mitaa (Miji na Majiji) inatamka kwamba moja ya vigezo vya eneo la utawala kupandishwa hadhi na kuwa jiji ni pamoja na eneo husika kuwa Makao Makuu ya Mkoa.

Ingekuwa kwamba kila Wilaya inaweza kuwa jiji basi Manispaa za Ilemela, Ubungo, Temeke, na Kinondoni zingekuwa Majiji zamani, ila kwa kuwa Ilala ndipo yalipo Makao Makuu ya Mkoa wa Dar es Salaam ndiyo maana Ilala ni Jiji.

Kinyume chake ni kwamba Manispaa ya Shinyanga ndiyo yenye kigezo kikuu cha kuwa jiji kwa sababu ni makao makuu ya mkoa.

Labda kama baadaye iwapo Shinyanga itakuja kugawanywa na Kahama ikaangukia kuwa Makao Makuu ya Mkoa, basi itakuwa imeingia moja kwa moja kwenye kigezo kikuu cha kuwa Jiji.
 
Mkuu Kahama kuwa Jiji ni ndoto.

Sababu ni moja tu, kwamba Kahama siyo Makao Makuu ya Mkoa.

Sheria ya Mamlaka za Serekali za Mitaa (Miji na Majiji) inatamka kwamba moja ya vigezo vya eneo la utawala kupandishwa hadhi na kuwa jiji ni pamoja na eneo husika kuwa Makao Makuu ya Mkoa.

Ingekuwa kwamba kila Wilaya inaweza kuwa jiji basi Manispaa za Ilemela, Ubungo, Temeke, na Kinondoni zingekuwa Majiji zamani, ila kwa kuwa Ilala ndipo yalipo Makao Makuu ya Mkoa wa Dar es Salaam ndiyo maana Ilala ni Jiji.

Kinyume chake ni kwamba Manispaa ya Shinyanga ndiyo yenye kigezo kikuu cha kuwa jiji kwa sababu ni makao makuu ya mkoa.

Labda kama baadaye iwapo Shinyanga itakuja kugawanywa na Kahama ikaangukia kuwa Makao Makuu ya Mkoa, basi itakuwa imeingia moja kwa moja kwenye kigezo kikuu cha kuwa Jiji.
Sio kwanza Kahama yenyewe iwe Mkoa na Jiji hapohapo?

Sheria inasemaje hapo?
 

Haya ni maswala ya kawaida kwa Halmashauri kutembeleana...siyo kwamba Kahama ni special saana kwamba ndiyo Manispaa ama Halmashauri pekee inayotembelewa.

Mwanza walienda Ubungo Manispaa👇👇


Tanga Jiji nao
👇👇👇

Ubungo Manispaa nao wakaenda Arusha Jiji👇👇👇
 
Haya ni maswala ya kawaida kwa Halmashauri kutembeleana...siyo kwamba Kahama ni special saana kwamba ndiyo Manispaa ama Halmashauri pekee inayotembelewa.

Mwanza walienda Ubungo Manispaa👇👇


Tanga Jiji nao
👇👇👇

Ubungo Manispaa nao wakaenda Arusha Jiji👇👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C0BfJTWs1U8/?igsh=MTZmejBrYnZnbXh3MA==

Nilikuwa napitia hii akaunti ya insta nimekubali Kahama kazi inafanyika
 
Sio kwanza Kahama yenyewe iwe Mkoa na Jiji hapohapo?

Sheria inasemaje hapo?
Rejea kisa cha Chato kuwa mkoa. Ninadhani sihitaji kulidadavua hili maana Watanzania wengi wanalifahamu.

Jambo la msingi, ni vigumu sana kugeuza wilaya kuwa Mkoa. Sababu ni moja kwamba, utaanza kuhitaji kumega baadhi ya maeneo ili kukidhi haja.

Ila, kwa mfano, ukitaka Mkoa unaitwa Kahama, usianze kusema unataka/mnataka Kahama iwe mkoa. Hii itaanza kuleta makelele kama ilivyokuwa kwa Chato. Badala yake ijengwe hoja kwamba Majimbo ya Ushetu, na Msalala yawe Wilaya na au Shinyanga igawanywe.

Cha kuzingatia ni kurudi kwenye sheria ambayo inatoa mamlaka kwa Rais kugawa nchi na kuunda mikoa kama alivyounda Njombe, Geita, Simiyu n.k ambapo sheria imeweka vigezo vyake. Na hili huanzia kwenye mabaraza ya madiwani hadi ngazi ya mkoa.
 
Rejea kisa cha Chato kuwa mkoa. Ninadhani sihitaji kulidadavua hili maana Watanzania wengi wanalifahamu.

Jambo la msingi, ni vigumu sana kugeuza wilaya kuwa Mkoa. Sababu ni moja kwamba, utaanza kuhitaji kumega baadhi ya maeneo ili kukidhi haja.

Ila, kwa mfano, ukitaka Mkoa unaitwa Kahama, usianze kusema unataka/mnataka Kahama iwe mkoa. Hii itaanza kuleta makelele kama ilivyokuwa kwa Chato. Badala yake ijengwe hoja kwamba Majimbo ya Ushetu, na Msalala yawe Wilaya na au Shinyanga igawanywe.

Cha kuzingatia ni kurudi kwenye sheria ambayo inatoa mamlaka kwa Rais kugawa nchi na kuunda mikoa kama alivyounda Njombe, Geita, Simiyu n.k ambapo sheria imeweka vigezo vyake. Na hili huanzia kwemye mabaraza ya madiwani hadi ngazi ya mkoa.
Kahama inaweza kuwa Mkoa kirahisi sana ,

Tayari inawilaya Tatu,

1. Msalala

2. Ushetu

3. KAHAMA MUNICIPAL

KAHAMA KUWA MKOA NI RAHISI SANA ILA SHY NDIO ITAFIFIA SANA
 
View attachment 2887114
Haraka haraka kwenye mada,

Mhe Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga na kulitetea Taifa letu na chama chetu Cha Mapinduzi, hakika unastahili pongezi kwa hili.

Mhe Paul Makonda, Majuzi wakati ukiwa hapa Kahama kuna jambo lilinishtua na roho ikaumia sana wakati unalazimisha yule dada Caroline apewe eneo ambalo ni mali halali ya Serikali (Umma).

Mhe Paul Makonda, Nilishangaa zaidi kuona kwanini hawa watu wabaya watumie jukwaa lako kutengeneza Uongo na kutaka kuiba mali za umma zilizopo kihalali huku wakikuhusisha wewe katika nia zao hizo ovu?

Mhe Paul Makonda, yule mama Caroline aliyekuwa anakulilia kisanii pale viwanjani Mimi namfahamu na mgogoro wake pia naufahamu vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho ulidanganywa.

Mhe Paul Makonda, Nafahamu Mama huyu tangu alivyoshindwa kesi katika mahakama ya Wilaya ya Ardhi Kahama na baadae akakata rufaa Mahakama kuu Shinyanga mahakama zote hizi zilitamka kuwa lile ni eneo la Serikali (umma).

Mhe Paul Makonda, Kama utataka kujiridhisha zaidi mwambie akuletee uamuzi wa mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga kama alivyodai mbele ya umma kuwa ameshinda kesi.

Mhe Paul Makonda, Ukweli kuhusu madai ya Caroline unaweza pia kuwauliza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Sophia Mjema au aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Anamringi Macha ambae Sasa ndio Naibu Katibu Mkuu wa Chama chetu hawa wote wanamfahamu Caroline na eneo pia wanalifahamu watakupa ukweli wote.

Mhe Paul Makonda, najiuliza kwanini mtu atake kuchukua eneo la Umma na wewe bila kujali Wala kudadisi kwa kina unataka kumpa sapoti achukue mali ya Serikali (umma) kwani huoni kama kwa kufanya hivyo unachochea mgogoro zaidi?

Mhe Paul Makonda, Nataka nikueleze kuwa Kahama tunamkurugenzi ambae kwanza hanunuliki lakini pili ni mtu mwadilifu na anauchungu na mali za Serikali ndio maana unaona hataki janja janja hizi za watu kupora mali za umma.

Mhe Paul Makonda, Wilaya ya Kahama imepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka na Watanzania wanalijua hili ukilinganisha na Halmashauri nyingine zote hapa Tanzania bara na hata huko Visiwani.

Mhe Paul Makonda, kama Kuna sababu tatu kubwa za Kahama kuwa hivi ilivyo Leo basi moja ni uwepo wa huyu mkurugenzi mwadilifu na ndio sababu Halmashauri zote Tanzania wanakuja kujifunza hapa Kahama " Mkurugenzi huyu ni shamba darasa kitaifa "

Mhe Paul Makonda, Mkurugenzi huyu kaitoa Kahama kwenye Halmashauri ya Wilaya hadi leo ni "Municipal council" Waswahili tunasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe ukweli ni kwamba binadamu wote tunayo madhaifu ila huyu anajitahidi sana kuyapunguza.

Mhe Paul Makonda, Najua unajua mtu anayefañya kazi vizuri wakati wote hapendwi hasa na majizi na wapigadili, Ukweli mchungu huyu jamaa sio mwizi Wala mlarushwa TAMISEMI wanajua hivyo na ndivyo ilivyo.

Mhe Paul Makonda, hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama.

Mhe Paul Makonda, Tunapopata vijana waadilifu na Waaminifu kama hawa lazima tuwapongeze na kuwatia moyo nasio kuwakemea na kuwadhalilisha mbele ya halaiki bila kujali kazi kubwa wanayoifanyia nchi yetu.

Mwisho, Tupelekee salamu zetu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwambie kura zake za mwaka 2025 Kahama zimetimia hata kama Uchaguzi utakuwa ni kesho mama anashinda kwa kishindo.

Ni mimi Mabula Malunde Sitta.
Nimesoma hili andiko toka kwa raia kwenda kwa Makonda nimejifunza yafuatayo:-

1. Nikweli kwamba Mhe Makonda Kuna watu wanam-fake na huenda akafanya maamuzi mengi biased,

2. Nikweli kwamba Mkurugenzi wa Kahama ni mtu mchapakazi na muadilifu,

3. Nikweli kwamba Kuna watu wanampatia malalamiko ambayo tayari yameshafanyiwa kazi na mahakama na hivyo hayawezi kubadilika,

4. Watu wa Kahama wanaimani zaidi na Mkurugenzi pengine kuliko Mbunge,

5. Watu wa Kahama wanaridhika na kazi nzuri inayofanywa na CCM chini ya huyu Mkurugenzi,

6. CCM itashinda Uchaguzi mapema sana kwa utekeleza huo wa Ilani ya CCM,

7. Watu wa Kahama wanataka kasi ya maendeleo iendelee chini ya Mkurugenzi huyo huyo,


Karibu mwingine,
 
View attachment 2887114
Haraka haraka kwenye mada,

Mhe Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga na kulitetea Taifa letu na chama chetu Cha Mapinduzi, hakika unastahili pongezi kwa hili.

Mhe Paul Makonda, Majuzi wakati ukiwa hapa Kahama kuna jambo lilinishtua na roho ikaumia sana wakati unalazimisha yule dada Caroline apewe eneo ambalo ni mali halali ya Serikali (Umma).

Mhe Paul Makonda, Nilishangaa zaidi kuona kwanini hawa watu wabaya watumie jukwaa lako kutengeneza Uongo na kutaka kuiba mali za umma zilizopo kihalali huku wakikuhusisha wewe katika nia zao hizo ovu?

Mhe Paul Makonda, yule mama Caroline aliyekuwa anakulilia kisanii pale viwanjani Mimi namfahamu na mgogoro wake pia naufahamu vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho ulidanganywa.

Mhe Paul Makonda, Nafahamu Mama huyu tangu alivyoshindwa kesi katika mahakama ya Wilaya ya Ardhi Kahama na baadae akakata rufaa Mahakama kuu Shinyanga mahakama zote hizi zilitamka kuwa lile ni eneo la Serikali (umma).

Mhe Paul Makonda, Kama utataka kujiridhisha zaidi mwambie akuletee uamuzi wa mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga kama alivyodai mbele ya umma kuwa ameshinda kesi.

Mhe Paul Makonda, Ukweli kuhusu madai ya Caroline unaweza pia kuwauliza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Sophia Mjema au aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Anamringi Macha ambae Sasa ndio Naibu Katibu Mkuu wa Chama chetu hawa wote wanamfahamu Caroline na eneo pia wanalifahamu watakupa ukweli wote.

Mhe Paul Makonda, najiuliza kwanini mtu atake kuchukua eneo la Umma na wewe bila kujali Wala kudadisi kwa kina unataka kumpa sapoti achukue mali ya Serikali (umma) kwani huoni kama kwa kufanya hivyo unachochea mgogoro zaidi?

Mhe Paul Makonda, Nataka nikueleze kuwa Kahama tunamkurugenzi ambae kwanza hanunuliki lakini pili ni mtu mwadilifu na anauchungu na mali za Serikali ndio maana unaona hataki janja janja hizi za watu kupora mali za umma.

Mhe Paul Makonda, Wilaya ya Kahama imepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka na Watanzania wanalijua hili ukilinganisha na Halmashauri nyingine zote hapa Tanzania bara na hata huko Visiwani.

Mhe Paul Makonda, kama Kuna sababu tatu kubwa za Kahama kuwa hivi ilivyo Leo basi moja ni uwepo wa huyu mkurugenzi mwadilifu na ndio sababu Halmashauri zote Tanzania wanakuja kujifunza hapa Kahama " Mkurugenzi huyu ni shamba darasa kitaifa "

Mhe Paul Makonda, Mkurugenzi huyu kaitoa Kahama kwenye Halmashauri ya Wilaya hadi leo ni "Municipal council" Waswahili tunasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe ukweli ni kwamba binadamu wote tunayo madhaifu ila huyu anajitahidi sana kuyapunguza.

Mhe Paul Makonda, Najua unajua mtu anayefañya kazi vizuri wakati wote hapendwi hasa na majizi na wapigadili, Ukweli mchungu huyu jamaa sio mwizi Wala mlarushwa TAMISEMI wanajua hivyo na ndivyo ilivyo.

Mhe Paul Makonda, hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama.

Mhe Paul Makonda, Tunapopata vijana waadilifu na Waaminifu kama hawa lazima tuwapongeze na kuwatia moyo nasio kuwakemea na kuwadhalilisha mbele ya halaiki bila kujali kazi kubwa wanayoifanyia nchi yetu.

Mwisho, Tupelekee salamu zetu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwambie kura zake za mwaka 2025 Kahama zimetimia hata kama Uchaguzi utakuwa ni kesho mama anashinda kwa kishindo.

Ni mimi Mabula Malunde Sitta.
Pumbafu kabisa. Ungeandika bila kuweka ''mhe'' kila mstari huoni hoja yako ingesomwa na wengi?
 
Pumbafu kabisa. Ungeandika bila kuweka ''mhe'' kila mstari huoni hoja yako ingesomwa na wengi?
Punguza makasiriko hata kama humpendi Mhe Paul Makonda huwezi kukwepa kuwa yeye ni "Mhe" tu

Mbona wewe umesoma mpaka mwisho?
 
View attachment 2887114
Haraka haraka kwenye mada,

Mhe Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga na kulitetea Taifa letu na chama chetu Cha Mapinduzi, hakika unastahili pongezi kwa hili.

Mhe Paul Makonda, Majuzi wakati ukiwa hapa Kahama kuna jambo lilinishtua na roho ikaumia sana wakati unalazimisha yule dada Caroline apewe eneo ambalo ni mali halali ya Serikali (Umma).

Mhe Paul Makonda, Nilishangaa zaidi kuona kwanini hawa watu wabaya watumie jukwaa lako kutengeneza Uongo na kutaka kuiba mali za umma zilizopo kihalali huku wakikuhusisha wewe katika nia zao hizo ovu?

Mhe Paul Makonda, yule mama Caroline aliyekuwa anakulilia kisanii pale viwanjani Mimi namfahamu na mgogoro wake pia naufahamu vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho ulidanganywa.

Mhe Paul Makonda, Nafahamu Mama huyu tangu alivyoshindwa kesi katika mahakama ya Wilaya ya Ardhi Kahama na baadae akakata rufaa Mahakama kuu Shinyanga mahakama zote hizi zilitamka kuwa lile ni eneo la Serikali (umma).

Mhe Paul Makonda, Kama utataka kujiridhisha zaidi mwambie akuletee uamuzi wa mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga kama alivyodai mbele ya umma kuwa ameshinda kesi.

Mhe Paul Makonda, Ukweli kuhusu madai ya Caroline unaweza pia kuwauliza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Sophia Mjema au aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Anamringi Macha ambae Sasa ndio Naibu Katibu Mkuu wa Chama chetu hawa wote wanamfahamu Caroline na eneo pia wanalifahamu watakupa ukweli wote.

Mhe Paul Makonda, najiuliza kwanini mtu atake kuchukua eneo la Umma na wewe bila kujali Wala kudadisi kwa kina unataka kumpa sapoti achukue mali ya Serikali (umma) kwani huoni kama kwa kufanya hivyo unachochea mgogoro zaidi?

Mhe Paul Makonda, Nataka nikueleze kuwa Kahama tunamkurugenzi ambae kwanza hanunuliki lakini pili ni mtu mwadilifu na anauchungu na mali za Serikali ndio maana unaona hataki janja janja hizi za watu kupora mali za umma.

Mhe Paul Makonda, Wilaya ya Kahama imepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka na Watanzania wanalijua hili ukilinganisha na Halmashauri nyingine zote hapa Tanzania bara na hata huko Visiwani.

Mhe Paul Makonda, kama Kuna sababu tatu kubwa za Kahama kuwa hivi ilivyo Leo basi moja ni uwepo wa huyu mkurugenzi mwadilifu na ndio sababu Halmashauri zote Tanzania wanakuja kujifunza hapa Kahama " Mkurugenzi huyu ni shamba darasa kitaifa "

Mhe Paul Makonda, Mkurugenzi huyu kaitoa Kahama kwenye Halmashauri ya Wilaya hadi leo ni "Municipal council" Waswahili tunasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe ukweli ni kwamba binadamu wote tunayo madhaifu ila huyu anajitahidi sana kuyapunguza.

Mhe Paul Makonda, Najua unajua mtu anayefañya kazi vizuri wakati wote hapendwi hasa na majizi na wapigadili, Ukweli mchungu huyu jamaa sio mwizi Wala mlarushwa TAMISEMI wanajua hivyo na ndivyo ilivyo.

Mhe Paul Makonda, hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama.

Mhe Paul Makonda, Tunapopata vijana waadilifu na Waaminifu kama hawa lazima tuwapongeze na kuwatia moyo nasio kuwakemea na kuwadhalilisha mbele ya halaiki bila kujali kazi kubwa wanayoifanyia nchi yetu.

Mwisho, Tupelekee salamu zetu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwambie kura zake za mwaka 2025 Kahama zimetimia hata kama Uchaguzi utakuwa ni kesho mama anashinda kwa kishindo.

Ni mimi Mabula Malunde Sitta.

Ila chawa mna mambo, hili andiko lote Lina tone zote za kichawa. Yaani ni kujipendekeza mwanzo mwisho. Kila mahali muheshimiwa, kama sio kujipendekeza ni Nini?
 
Punguza makasiriko hata kama humpendi Mhe Paul Makonda huwezi kukwepa kuwa yeye ni "Mhe" tu

Mbona wewe umesoma mpaka mwisho?

Toka lini muhalifu akawa muheshimiwa? Nyie ndio huwa mnashikishwa ukuta kwa kujipendekeza. Inshort peleka ukhanithi mbali.
 
Kahama inaweza kuwa Mkoa kirahisi sana ,

Tayari inawilaya Tatu,

1. Msalala

2. Ushetu

3. KAHAMA MUNICIPAL

KAHAMA KUWA MKOA NI RAHISI SANA ILA SHY NDIO ITAFIFIA SANA
Kahama inaweza kuwa Mkoa kirahisi sana ,

Tayari inawilaya Tatu,

1. Msalala

2. Ushetu

3. KAHAMA MUNICIPAL

KAHAMA KUWA MKOA NI RAHISI SANA ILA SHY NDIO ITAFIFIA SANA
Kahama inaweza kuwa Mkoa kirahisi sana ,

Tayari inawilaya Tatu,

1. Msalala

2. Ushetu

3. KAHAMA MUNICIPAL

KAHAMA KUWA MKOA NI RAHISI SANA ILA SHY NDIO ITAFIFIA SANA

Msalala ni Halmashauri inayojitegemea

Pia Ushetu ni Halmashauri inayojitegemea..
Japo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama anaweza akawa ndiye anatawala eneo lote ama baadhi ya maeneo (sina uhakika)
 
Makonda anaendesha kesi jukwaani, hasikilizi pande zote, na mara zote anaona upande wa serikali ndio umekosea.

Ni sawa na Jerry Silaa pale Mwanzaa, kaamua kumnyanganya eneo afisa ardhi ili ampe shosti wake Kamani wa UVCCM

Hata ile issue ya waziri Nicas Mahinda, yule dogo aliyekuwa anatamba sana ni mshikaji wa muda mrefu wa Jerry Silaa, kwa hiyo hatujui ushkaji wake na watu ataumiza wangapi. Na kwa nini asishauri watu waende Mahakamani kuliko kuiingiza serikali katika migogoro ili kusaidia washkaji zake.

Haifahamiki kama anafanya consultation na ofisi ya mwanasheria mkuu au wakili mkuu wa serikali kabla ya kutamka ugoro wake.


Makonda ameshaidharau mifumo ya nchi hii maana anajua ni uchafu mtupu. Kama enzi zake na dhalimu magu walikuwa wanaagiza vyombo vya Dola na taasisi za kimamlaka kukomoa watu wasiowapenda, na kupora chaguzi, na bado wakatii, unataka aagize watu waende mahakamani kupoteza muda? Anachokifanya Makonda ni kupigia tick kile kilio chetu Cha muda mrefu kuwa Sheria zinatekelezwa kwa kufuata amri toka juu, na sio Sheria zitakavyo.
 
Msalala ni Halmashauri inayojitegemea

Pia Ushetu ni Halmashauri inayojitegemea..
Japo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama anaweza akawa ndiye anatawala eneo lote ama baadhi ya maeneo (sina uhakika)
Wilaya tatu zinaweza kuunda Mkoa ni kweli
 
Ila chawa mna mambo, hili andiko lote Lina tone zote za kichawa. Yaani ni kujipendekeza mwanzo mwisho. Kila mahali muheshimiwa, kama sio kujipendekeza ni Nini?
Makonda ni "Mhe" hata kama humpendi brother
 
Mimi mwenyewe namuelewa sana MD. Ana maono makubwa sana, jamaa ana experience na exposure. Dakika 15 tu nilizokaa naye nilimuelewa
 
Makonda ni "Mhe" hata kama humpendi brother

Huyo ni mfungwa mtarajiwa, watumwa wa ajira kama ww ndio mnnaona ni muheshimiwa. Nyie ndio wale mnaopakatwaga kwa kuwashobokea wanaume wenzenu. Shubaamiti.
 
Back
Top Bottom