Pre GE2025 Kahama: Paul Makonda ataka Caroline apewe eneo la Serikali, Mkurugenzi asema kumiliki Ardhi ni jambo la kisheria sio siasa

Pre GE2025 Kahama: Paul Makonda ataka Caroline apewe eneo la Serikali, Mkurugenzi asema kumiliki Ardhi ni jambo la kisheria sio siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haraka haraka kwenye mada,

Mhe Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga na kulitetea Taifa letu na chama chetu Cha Mapinduzi, hakika unastahili pongezi kwa hili.

Mhe Paul Makonda, Majuzi wakati ukiwa hapa Kahama kuna jambo lilinishtua na roho ikaumia sana wakati unalazimisha yule dada Caroline apewe eneo ambalo ni mali halali ya Serikali (Umma).

Mhe Paul Makonda, Nilishangaa zaidi kuona kwanini hawa watu wabaya watumie jukwaa lako kutengeneza Uongo na kutaka kuiba mali za umma zilizopo kihalali huku wakikuhusisha wewe katika nia zao hizo ovu?

Mhe Paul Makonda, yule mama Caroline aliyekuwa anakulilia kisanii pale viwanjani Mimi namfahamu na mgogoro wake pia naufahamu vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho ulidanganywa.

Mhe Paul Makonda, Nafahamu Mama huyu tangu alivyoshindwa kesi katika mahakama ya Wilaya ya Ardhi Kahama na baadae akakata rufaa Mahakama kuu Shinyanga mahakama zote hizi zilitamka kuwa lile ni eneo la Serikali (umma).

Mhe Paul Makonda, Kama utataka kujiridhisha zaidi mwambie akuletee uamuzi wa mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga kama alivyodai mbele ya umma kuwa ameshinda kesi.

Mhe Paul Makonda, Ukweli kuhusu madai ya Caroline unaweza pia kuwauliza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Sophia Mjema au aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Anamringi Macha ambae Sasa ndio Naibu Katibu Mkuu wa Chama chetu hawa wote wanamfahamu Caroline na eneo pia wanalifahamu watakupa ukweli wote.

Mhe Paul Makonda, najiuliza kwanini mtu atake kuchukua eneo la Umma na wewe bila kujali Wala kudadisi kwa kina unataka kumpa sapoti achukue mali ya Serikali (umma) kwani huoni kama kwa kufanya hivyo unachochea mgogoro zaidi?

Mhe Paul Makonda, Nataka nikueleze kuwa Kahama tunamkurugenzi ambae kwanza hanunuliki lakini pili ni mtu mwadilifu na anauchungu na mali za Serikali ndio maana unaona hataki janja janja hizi za watu kupora mali za umma.

Mhe Paul Makonda, Wilaya ya Kahama imepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka na Watanzania wanalijua hili ukilinganisha na Halmashauri nyingine zote hapa Tanzania bara na hata huko Visiwani.

Mhe Paul Makonda, kama Kuna sababu tatu kubwa za Kahama kuwa hivi ilivyo Leo basi moja ni uwepo wa huyu mkurugenzi mwadilifu na ndio sababu Halmashauri zote Tanzania wanakuja kujifunza hapa Kahama " Mkurugenzi huyu ni shamba darasa kitaifa "

Mhe Paul Makonda, Mkurugenzi huyu kaitoa Kahama kwenye Halmashauri ya Wilaya hadi leo ni "Municipal council" Waswahili tunasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe ukweli ni kwamba binadamu wote tunayo madhaifu ila huyu anajitahidi sana kuyapunguza.

Mhe Paul Makonda, Najua unajua mtu anayefañya kazi vizuri wakati wote hapendwi hasa na majizi na wapigadili, Ukweli mchungu huyu jamaa sio mwizi Wala mlarushwa TAMISEMI wanajua hivyo na ndivyo ilivyo.

Mhe Paul Makonda, hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama.

Mhe Paul Makonda, Tunapopata vijana waadilifu na Waaminifu kama hawa lazima tuwapongeze na kuwatia moyo nasio kuwakemea na kuwadhalilisha mbele ya halaiki bila kujali kazi kubwa wanayoifanyia nchi yetu.

Mwisho, Tupelekee salamu zetu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwambie kura zake za mwaka 2025 Kahama zimetimia hata kama Uchaguzi utakuwa ni kesho mama anashinda kwa kishindo.

Ni mimi Mabula Malunde Sitta.
Inaonekana wazi kuwa wewe ni mlaji namba moja
 
Andiko lilianza kitaalam sana na kiuweledi juu ya namna ya kutatua kero pasipo double standard. Ghafla likawa na UCHAWA wa mfuagilia DED kana kwamba ameliandika kujifuta machozi au kupata utetezi au ametuma watu a.k.a wapambe.

Likaishia na Tamko langu la sasa

"KWA HALI HII YA KUKATIKA KWA UMEME."
"Twende na mama. MITANO TENA
ccm ndivyo walivyo. Yaani ukiwasha TV au redio ni uchawa tu!.
Kila mwanachama anataka kumfuraisha wa kwake!
 
Drama zenye Episodes bwelele...
ChukuwaChakoMapema ukikaribia UCHAGUZI ni vituko!
Mara vijana zingatieni AMANI!
Mara dunia nzima inapitia wakati mgumu kama dhoruba la COVID, vita Ukraine na Russia, Israel na Palestine!
Tatizo VIGOGO WAKO KWENYE RAHA, SHIBE, STAREHE, PEPONI!
WANA UOGA WA KUYAPOTEZA HAYO YOTE!
TUSUBIRI TUONE...
 
Huyo ni mfungwa mtarajiwa, watumwa wa ajira kama ww ndio mnnaona ni muheshimiwa. Nyie ndio wale mnaopakatwaga kwa kuwashobokea wanaume wenzenu. Shubaamiti.
Why msimfunge kwanza Mbowe kwa kuwazunguka na kuchukua pesa kwa Samia?
 
Why msimfunge kwanza Mbowe kwa kuwazunguka na kuchukua pesa kwa Samia?

Umeona nani anamshobokea Mbowe kwa kumuita muheshimiwa Kila baada ya sentensi Moja? Narudia tena, utakuja kupakatwa, ww lazimisha tu kutembea na kanga Moja hadharani.
 
Haraka haraka kwenye mada,

Mhe Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga na kulitetea Taifa letu na chama chetu Cha Mapinduzi, hakika unastahili pongezi kwa hili.

Mhe Paul Makonda, Majuzi wakati ukiwa hapa Kahama kuna jambo lilinishtua na roho ikaumia sana wakati unalazimisha yule dada Caroline apewe eneo ambalo ni mali halali ya Serikali (Umma).

Mhe Paul Makonda, Nilishangaa zaidi kuona kwanini hawa watu wabaya watumie jukwaa lako kutengeneza Uongo na kutaka kuiba mali za umma zilizopo kihalali huku wakikuhusisha wewe katika nia zao hizo ovu?

Mhe Paul Makonda, yule mama Caroline aliyekuwa anakulilia kisanii pale viwanjani Mimi namfahamu na mgogoro wake pia naufahamu vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho ulidanganywa.

Mhe Paul Makonda, Nafahamu Mama huyu tangu alivyoshindwa kesi katika mahakama ya Wilaya ya Ardhi Kahama na baadae akakata rufaa Mahakama kuu Shinyanga mahakama zote hizi zilitamka kuwa lile ni eneo la Serikali (umma).

Mhe Paul Makonda, Kama utataka kujiridhisha zaidi mwambie akuletee uamuzi wa mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga kama alivyodai mbele ya umma kuwa ameshinda kesi.

Mhe Paul Makonda, Ukweli kuhusu madai ya Caroline unaweza pia kuwauliza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Sophia Mjema au aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Anamringi Macha ambae Sasa ndio Naibu Katibu Mkuu wa Chama chetu hawa wote wanamfahamu Caroline na eneo pia wanalifahamu watakupa ukweli wote.

Mhe Paul Makonda, najiuliza kwanini mtu atake kuchukua eneo la Umma na wewe bila kujali Wala kudadisi kwa kina unataka kumpa sapoti achukue mali ya Serikali (umma) kwani huoni kama kwa kufanya hivyo unachochea mgogoro zaidi?

Mhe Paul Makonda, Nataka nikueleze kuwa Kahama tunamkurugenzi ambae kwanza hanunuliki lakini pili ni mtu mwadilifu na anauchungu na mali za Serikali ndio maana unaona hataki janja janja hizi za watu kupora mali za umma.

Mhe Paul Makonda, Wilaya ya Kahama imepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka na Watanzania wanalijua hili ukilinganisha na Halmashauri nyingine zote hapa Tanzania bara na hata huko Visiwani.

Mhe Paul Makonda, kama Kuna sababu tatu kubwa za Kahama kuwa hivi ilivyo Leo basi moja ni uwepo wa huyu mkurugenzi mwadilifu na ndio sababu Halmashauri zote Tanzania wanakuja kujifunza hapa Kahama " Mkurugenzi huyu ni shamba darasa kitaifa "

Mhe Paul Makonda, Mkurugenzi huyu kaitoa Kahama kwenye Halmashauri ya Wilaya hadi leo ni "Municipal council" Waswahili tunasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe ukweli ni kwamba binadamu wote tunayo madhaifu ila huyu anajitahidi sana kuyapunguza.

Mhe Paul Makonda, Najua unajua mtu anayefañya kazi vizuri wakati wote hapendwi hasa na majizi na wapigadili, Ukweli mchungu huyu jamaa sio mwizi Wala mlarushwa TAMISEMI wanajua hivyo na ndivyo ilivyo.

Mhe Paul Makonda, hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama.

Mhe Paul Makonda, Tunapopata vijana waadilifu na Waaminifu kama hawa lazima tuwapongeze na kuwatia moyo nasio kuwakemea na kuwadhalilisha mbele ya halaiki bila kujali kazi kubwa wanayoifanyia nchi yetu.

Mwisho, Tupelekee salamu zetu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwambie kura zake za mwaka 2025 Kahama zimetimia hata kama Uchaguzi utakuwa ni kesho mama anashinda kwa kishindo.

Ni mimi Mabula Malunde Sitta.
Suala ni bi caroline alipataje eneo unaloita la serikali? Tokea lini serikali ikanyang’anywa eneo na mwananchi?

Huyu mkurugenzi sifa zote hizo zimeingiaje kwenye huu uzi wa Bi caroline? Kwa nini usingesema namna huyo mama alivyopata hilo eneo badala ya kujaza paragraph za kumsifia mkurugenzi?
 
Mimi mwenyewe namuelewa sana MD. Ana maono makubwa sana, jamaa ana experience na exposure. Dakika 15 tu nilizokaa naye nilimuelewa
Halafu is very humble tatizo la nchi watu wazuri kwao ni maadui namba moja
 
Suala ni bi caroline alipataje eneo unaloita la serikali? Tokea lini serikali ikanyang’anywa eneo na mwananchi?

Huyu mkurugenzi sifa zote hizo zimeingiaje kwenye huu uzi wa Bi caroline? Kwa nini usingesema namna huyo mama alivyopata hilo eneo badala ya kujaza paragraph za kumsifia mkurugenzi?
Nadhani Caroline ndio aliyemtuhumu MD Sasa amepataje jibu hajapata ndio maana analalamika
 
Umeona nani anamshobokea Mbowe kwa kumuita muheshimiwa Kila baada ya sentensi Moja? Narudia tena, utakuja kupakatwa, ww lazimisha tu kutembea na kanga Moja hadharani.
Mtoeni kwanza kwenye uenyekiti kama kweli mko serious tuanzie hapo
 
Haraka haraka kwenye mada,

Mhe Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga na kulitetea Taifa letu na chama chetu Cha Mapinduzi, hakika unastahili pongezi kwa hili.

Mhe Paul Makonda, Majuzi wakati ukiwa hapa Kahama kuna jambo lilinishtua na roho ikaumia sana wakati unalazimisha yule dada Caroline apewe eneo ambalo ni mali halali ya Serikali (Umma).

Mhe Paul Makonda, Nilishangaa zaidi kuona kwanini hawa watu wabaya watumie jukwaa lako kutengeneza Uongo na kutaka kuiba mali za umma zilizopo kihalali huku wakikuhusisha wewe katika nia zao hizo ovu?

Mhe Paul Makonda, yule mama Caroline aliyekuwa anakulilia kisanii pale viwanjani Mimi namfahamu na mgogoro wake pia naufahamu vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho ulidanganywa.

Mhe Paul Makonda, Nafahamu Mama huyu tangu alivyoshindwa kesi katika mahakama ya Wilaya ya Ardhi Kahama na baadae akakata rufaa Mahakama kuu Shinyanga mahakama zote hizi zilitamka kuwa lile ni eneo la Serikali (umma).

Mhe Paul Makonda, Kama utataka kujiridhisha zaidi mwambie akuletee uamuzi wa mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga kama alivyodai mbele ya umma kuwa ameshinda kesi.

Mhe Paul Makonda, Ukweli kuhusu madai ya Caroline unaweza pia kuwauliza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Sophia Mjema au aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Anamringi Macha ambae Sasa ndio Naibu Katibu Mkuu wa Chama chetu hawa wote wanamfahamu Caroline na eneo pia wanalifahamu watakupa ukweli wote.

Mhe Paul Makonda, najiuliza kwanini mtu atake kuchukua eneo la Umma na wewe bila kujali Wala kudadisi kwa kina unataka kumpa sapoti achukue mali ya Serikali (umma) kwani huoni kama kwa kufanya hivyo unachochea mgogoro zaidi?

Mhe Paul Makonda, Nataka nikueleze kuwa Kahama tunamkurugenzi ambae kwanza hanunuliki lakini pili ni mtu mwadilifu na anauchungu na mali za Serikali ndio maana unaona hataki janja janja hizi za watu kupora mali za umma.

Mhe Paul Makonda, Wilaya ya Kahama imepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka na Watanzania wanalijua hili ukilinganisha na Halmashauri nyingine zote hapa Tanzania bara na hata huko Visiwani.

Mhe Paul Makonda, kama Kuna sababu tatu kubwa za Kahama kuwa hivi ilivyo Leo basi moja ni uwepo wa huyu mkurugenzi mwadilifu na ndio sababu Halmashauri zote Tanzania wanakuja kujifunza hapa Kahama " Mkurugenzi huyu ni shamba darasa kitaifa "

Mhe Paul Makonda, Mkurugenzi huyu kaitoa Kahama kwenye Halmashauri ya Wilaya hadi leo ni "Municipal council" Waswahili tunasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe ukweli ni kwamba binadamu wote tunayo madhaifu ila huyu anajitahidi sana kuyapunguza.

Mhe Paul Makonda, Najua unajua mtu anayefañya kazi vizuri wakati wote hapendwi hasa na majizi na wapigadili, Ukweli mchungu huyu jamaa sio mwizi Wala mlarushwa TAMISEMI wanajua hivyo na ndivyo ilivyo.

Mhe Paul Makonda, hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama.

Mhe Paul Makonda, Tunapopata vijana waadilifu na Waaminifu kama hawa lazima tuwapongeze na kuwatia moyo nasio kuwakemea na kuwadhalilisha mbele ya halaiki bila kujali kazi kubwa wanayoifanyia nchi yetu.

Mwisho, Tupelekee salamu zetu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwambie kura zake za mwaka 2025 Kahama zimetimia hata kama Uchaguzi utakuwa ni kesho mama anashinda kwa kishindo.

Ni mimi Mabula Malunde Sitta.
Mkurugenzi wa Kahama ndio Mkurugenzi pekee namwamini kwenye Taifa hili namwombea Mungu amlinde na azidi kuipaisha Kahama na Tanzania yetu
 
Kupitia kwa huyu Mkurugenzi nimejifunza kitendo Cha kuwahamisha Viongozi hasa wa kuteuliwa Kila siku kumechelewesha sana maendeleo ya Taifa hili,

Unakuta Mkurugenzi tayari ana work plan yake mara paap analazimishwa kuhama au kuondolewa,

Unaweza ukaona kitendo Cha huyu Mkurugenzi wa Kahama kutulia hapa Kahama kwa muda mrefu kumeifanya Kahama iwe ilivyo,

Nashauri Mamlaka za Uteuzi kama Kuna mtu anafanya vizuri aachwe afanye hapohapo kwa muda mrefu ila tu asiwe mwizi au mbadhilifu wa mali za serikali,

Mungu ibariki Tanzania
 
Kupitia kwa huyu Mkurugenzi nimejifunza kitendo Cha kuwahamisha Viongozi hasa wa kuteuliwa Kila siku kumechelewesha sana maendeleo ya Taifa hili,

Unakuta Mkurugenzi tayari ana work plan yake mara paap analazimishwa kuhama au kuondolewa,

Unaweza ukaona kitendo Cha huyu Mkurugenzi wa Kahama kutulia hapa Kahama kwa muda mrefu kumeifanya Kahama iwe ilivyo,

Nashauri Mamlaka za Uteuzi kama Kuna mtu anafanya vizuri aachwe afanye hapohapo kwa muda mrefu ila tu asiwe mwizi au mbadhilifu wa mali za serikali,

Mungu ibariki Tanzania
Mimi nilishaandika Hadi waraka wakati wa JPM hamisha hamisha za viongozi wa kuteuliwa zinamadhara mengi kuliko faida,

1. Gharama za kumuhamisha mtu

2. Mipango yote iliyoanziahwa inaachwa kwa mtu asiyeijua au asiye na hobi nayo,

3. Utulivu unakosekana hasa kwa muhusika kuwa mbali na familia wakati wote
 
Back
Top Bottom