Pre GE2025 Kahama: Paul Makonda ataka Caroline apewe eneo la Serikali, Mkurugenzi asema kumiliki Ardhi ni jambo la kisheria sio siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndivyo alivyowaambia Wananchi kwamba anakwenda kumshughulikia kwa nafasi yake nimeangalia ile Crip YUTUBE
Sasa unamfukuza mtu anayetunza maeneo ya Umma ili kesho mje mjenge shule, zahanati, Solo etc

Huu utakuwa ni ujinga wa kiwango cha lami
 
Hebu tuambie kuhusu Geita
 
Kama ni ridhaa yangu huyu anakuwa Mkurugenzi mpaka anastaafu
 
Kwani Tarime hakuna mining, Geita Je? Don't be bias
Angalia na ukubwa wa mining wewe, Kahama kumejaa watu kwa ajili ya machimbo ya dhahabu, kuanzia wachimbaji wadogo mpaka wakubwa, huko Geita, Tarime, hakuna kiasi kikubwa kama kilichopo Kahama,
 
Angalia na ukubwa wa mining wewe, Kahama kumejaa watu kwa ajili ya machimbo ya dhahabu, kuanzia wachimbaji wadogo mpaka wakubwa, huko Geita, Tarime, hakuna kiasi kikubwa kama kilichopo Kahama,
Kahama Buzwagi ilishafungwa
 
Huyo Mkurugenzi au Afisa wa serikali atakayetekeleza maelekezo ya Makonda bila baraka za waziri au katibu mkuu wake atakua hajui Utumishi wa umma , Makonda is no body kwenye ranking ya Utumishi wa umma yeye anaongea tu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…