mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Kuna sharia inayoregulate mikusanyiko, kama na wengine watakusanyika bila kufuata taratibu watapigwa mabomu, wataumizwa mwisho wa siku Mwanasiasa yeye anaendelea kuneemekaSijui nani aliwatuma ila kuwapiga mabomu kunaweza kuwafanya wengine nao wakusanyike kesho akienda eneo lingine.
Nawapongeza polis kwa kazi nzuri ya kusimamia amani
Angalia usije ukaenda kwenye fujo za wahuni wa Lissu utabakwa dada kuwa makini.
Angepigwa mama ako usiongea huu upuuziLabda walikua wanaleta fujo sidhani kama polis anaweza react bila mwananchi kulianzisha,lazima watanfaziwe kwamba wanapaswa kutawanyika kutokana na usalama ,michadema in mikorofi na mijeuri inahis kuoneewa muda wote
Hao polisi wanamsaidia mgombea wenu. Kahama kuna mijizi kibao. Wanavamiaga watu kwenye nyumba za kulala wageni...WHY?
..Hao watu usiku ukizidi kuingia wataondoka wenyewe.
..Polisi wetu hawana akili kabisa.
Never on earth and heaven has suppression ever succeeded.Violence Alert Tanzania Election
"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"
Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.
Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
View attachment 1598264
Unafikiri Kuna udhalimu utaachwa kimya mwaka huu??? Watu wanakusanya ushahidi tu. Mtajua hamjui mwaka huu. Subirini tuKuna sharia inayoregulate mikusanyiko, kama na wengine watakusanyika bila kufuata taratibu watapigwa mabomu, wataumizwa mwisho wa siku Mwanasiasa yeye anaendelea kuneemeka
Wachapwe na hao wa CCM!Dakika za majeruhi hizi akuna kubembeleza ni kichapo tu.
washamfikisha hotelini na awataki kuondoka,wanataka Lissu adhuriwe alafu lawama zije jeshi la polisi.
huo umatiwote kama kunawatu wabaya wasio na nianjema jeshi la polisi litaamini vipi?na kiza kinazidi kiongezeka na watu awataki kuondoka.
Sasa bila kuwawasha risasi hao wapuuzi amani itakuwepo?Amani wakati unasikia watu wamepigwa mabomu na risasi, hivi unajua kusoma au unaangalia picha tu?!
Wasipofuata utaratibu lazima wawawashe tuu. CCM ushindi 100%Nachowapendea polisi ni kuihujumu ccm ichukiwe kwa kuwaonea wapinzani
Ni kweli. Mwisho wa siku wenye hoteli watakuwa wanakataa kuwapokea, kisha wao watasema ni maelekezo toka juu.Ni ujinga tu, wakitaka wafikie ofisi za chama za mkoa au wilaya ili waepushe kusumbua wateja kwenye biashara za watu
Nna uhakika kichwa yako imejaa moshiNawapongeza polis kwa kazi nzuri ya kusimamia amani
Mungu alisema nendeni duniani mkazaane!! Sasa wewe nani wa kumpinga Mungu!munawaza ngono tuu kama bosi weni...mara munipe mweupe ,mara taoa mke wapili zanzibar nonsense
Baba mwenye hekima huongoza nidhamu katika familia yake. Kiongozi mwenye busara ni mwenye kusimamia nidhamu katika taasisi yake, maana huo ni mhimilI katika ufanisi wa taasisi hiyo.Mbona hayo maanadamano hafanyi huko.ikungi ambako ndo kwao?
Yeye anataka watoto wa wengine ndo wapate shida?
Kwani akiwambia wasambae nani atamzuia
mnaendaje kukusanyika kwenye biashara ya mtu? watu wamepumzika vyumbani nyie mnapiga regge na kuvuta bhange, nasikia mwenye hotel ndio aliita polisi baada ya wateja kulalamika mioshi ya sigara na keleleKwani wamemuumiza nani kama wamekusanyika kwa amani tu?
Nyie endeleeni na fiesta zenu tu lakini kura kwa Lisu