Uchaguzi 2020 Kahama: Polisi wapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliojaa nje ya hotel aliyofikia Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Kahama: Polisi wapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliojaa nje ya hotel aliyofikia Tundu Lissu

Sijui nani aliwatuma ila kuwapiga mabomu kunaweza kuwafanya wengine nao wakusanyike kesho akienda eneo lingine.
Kuna sharia inayoregulate mikusanyiko, kama na wengine watakusanyika bila kufuata taratibu watapigwa mabomu, wataumizwa mwisho wa siku Mwanasiasa yeye anaendelea kuneemeka
 
Labda walikua wanaleta fujo sidhani kama polis anaweza react bila mwananchi kulianzisha,lazima watanfaziwe kwamba wanapaswa kutawanyika kutokana na usalama ,michadema in mikorofi na mijeuri inahis kuoneewa muda wote
 
Labda walikua wanaleta fujo sidhani kama polis anaweza react bila mwananchi kulianzisha,lazima watanfaziwe kwamba wanapaswa kutawanyika kutokana na usalama ,michadema in mikorofi na mijeuri inahis kuoneewa muda wote
Angepigwa mama ako usiongea huu upuuzi
 
Violence Alert Tanzania Election

"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"

Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.

Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!

View attachment 1598264
Never on earth and heaven has suppression ever succeeded.
 
Dakika za majeruhi hizi akuna kubembeleza ni kichapo tu.
washamfikisha hotelini na awataki kuondoka,wanataka Lissu adhuriwe alafu lawama zije jeshi la polisi.
huo umatiwote kama kunawatu wabaya wasio na nianjema jeshi la polisi litaamini vipi?na kiza kinazidi kiongezeka na watu awataki kuondoka.
 
Kuna sharia inayoregulate mikusanyiko, kama na wengine watakusanyika bila kufuata taratibu watapigwa mabomu, wataumizwa mwisho wa siku Mwanasiasa yeye anaendelea kuneemeka
Unafikiri Kuna udhalimu utaachwa kimya mwaka huu??? Watu wanakusanya ushahidi tu. Mtajua hamjui mwaka huu. Subirini tu
 
Mungu anajua kuwapiga chenga wanadamu wanaojikweza . Chama kilicho dhaniwa kimekufa , kina musiba kuwa na mashiko na hoja zao , wana ccm kujinasibu kuwa watashinda . mitandaoni wanakuwa na hoja za kushawishi na kwa kweli zilikuwa zinavutia , hata kuweza kushawishika . tbc kutumika vilivyo , tumbua tumbua ya site ikiwa ni ngoma inayochezwa kwa mdundo na style mpya .

sasa ghafla kimbunga kimegeuka , wanahisi kulikoni! nani kaleta haya! , kwa nini watu wanawasikiliza chadema . Huku juhudi kubwa tumeelekeza katika miaka mitano kuwasambaratisha ....... let me tell you ccm my part .

kumbuka tu ukikataa kusema yasiyosemwa na usiposema yasiyosemwa huwezi kuitoa nchi katika mkwamo.... Watanzania wanataka hayo yasiyo semwa . hii ni falsafa ya kisaikolojia . Unayoyakataa ujue ni wewe halisi , unayotuonyesha si wewe .
 
Dakika za majeruhi hizi akuna kubembeleza ni kichapo tu.
washamfikisha hotelini na awataki kuondoka,wanataka Lissu adhuriwe alafu lawama zije jeshi la polisi.
huo umatiwote kama kunawatu wabaya wasio na nianjema jeshi la polisi litaamini vipi?na kiza kinazidi kiongezeka na watu awataki kuondoka.
Wachapwe na hao wa CCM!
 
Nachowapendea polisi ni kuihujumu ccm ichukiwe kwa kuwaonea wapinzani
 
Ni ujinga tu, wakitaka wafikie ofisi za chama za mkoa au wilaya ili waepushe kusumbua wateja kwenye biashara za watu
Ni kweli. Mwisho wa siku wenye hoteli watakuwa wanakataa kuwapokea, kisha wao watasema ni maelekezo toka juu.
 
Mbona hayo maanadamano hafanyi huko.ikungi ambako ndo kwao?
Yeye anataka watoto wa wengine ndo wapate shida?
Kwani akiwambia wasambae nani atamzuia
Baba mwenye hekima huongoza nidhamu katika familia yake. Kiongozi mwenye busara ni mwenye kusimamia nidhamu katika taasisi yake, maana huo ni mhimilI katika ufanisi wa taasisi hiyo.
 
Kwani wamemuumiza nani kama wamekusanyika kwa amani tu?
Nyie endeleeni na fiesta zenu tu lakini kura kwa Lisu
mnaendaje kukusanyika kwenye biashara ya mtu? watu wamepumzika vyumbani nyie mnapiga regge na kuvuta bhange, nasikia mwenye hotel ndio aliita polisi baada ya wateja kulalamika mioshi ya sigara na kelele
 
Back
Top Bottom