chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Hii kazi ndio maana sikuitaka kabisa, na sitaki mwanangu aje aifanye. Ujinga, hakuna reasoning ...
Pathetic !
Pathetic !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi yako ni ngumu sana we binadam.Nawapongeza polis kwa kazi nzuri ya kusimamia amani
DuhBongo uchaguzi ni vita. Kwa sasa tunapanda chuki, ikikomaa itakuwa wakati wa mavuno
Kajifunze kuandika kiswahili sahihi "kutazalisha" ndio nini
Mataga bana
Wivu tuKwahyo unataka mpaka walalamike?
Usalama wa Lissu uko mikononi mwa Jeshi la Polisi nchi inapoelekea kwenye tarehe ya Uchaguzi Mkuu. Kwa sababu zifuatazo, Jeshi la Polisi litachukua kila hatua ya kuhakikisha usalama wa Lissu.Violence Alert Tanzania Election
"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"
Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.
Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
Anza wewe kujaribu uone cha moto[/I]
Kwani kukusanyika kwao kulitishia usalama wa lissu?.Duuh sasa wanavyokusanyika hapo wanataka nini kitokee.
Mataga kwa kuwa nyie mnajifanya WAZALENDO mshindo basi tokeni Jamii forum ,muende kuzima moto Mlima Kilimanjaro. Uzalendo sio kusifia utopolo bali ni kupigana kwa jasho na damu kuilinda nchi yako! #MtajuaHaumjuiMwakaHuuGeita hawakupiga mabomu,nimeskia RPC ameondolewa na kupelekwa chuo cha polisi ili ajifunze tena kazi.Pia OCD naye kang'olewa.
Waengine wanatetea unga wao,usione hivi.
CCM bila poliCCM ni wepesi sana, hawana ubavu wa kumkabili Tundu Lissu kwa hoja bila kutumia nguvu ya poliCCM. Tundu Lissu akiingia Ikulu Oktoba uonevu huu wote utafika tamati.Violence Alert Tanzania Election
"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"
Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.
Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
Jiwe no way out., Lissu ataikomboa hii nchi kama sio leo basi ni keshoViolence Alert Tanzania Election
"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"
Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.
Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
Unasimamia amani kwa kuvunja amani. Such a contradiction ..Nawapongeza polis kwa kazi nzuri ya kusimamia amani
Yaani wewe ni mpumbavu sana weweNawapongeza polis kwa kazi nzuri ya kusimamia amani
Majitu ya ccm,tunajua ni yale wasiojitambua utaendelea kuwa mjinga mpaka kufa kwako mbwa weweAcha wapigwe tu. Tunajua anachukua wahuni toka Kahama kuwapeleka Chato ili wakawafanyie uhuni wanachato.
Sasa si muanze kwanini tuandikie mate na wino upo!Cha moto gani!
Hao askari hamsini wanatoa wapi jeuri ya kupambana na midume zaidi ya milioni arobaini nchi nzima?
Huwa mnajidanganya sana na hao migambo wenu wa uvccm!
Ninyi hamna jeshi wala intelijensia inayoweza kupigana na watu zaidi ya milioni sitini, SEUZE hao migambo legevu wanaolipwa ujira kiduchu!
Ndio maana tunataka kulivunjilia mbali jeshi la polisi lililopo na kuliunda upya..WHY?
..Hao watu usiku ukizidi kuingia wataondoka wenyewe.
..Polisi wetu hawana akili kabisa.
unachokitafuta utakipataSasa si muanze kwanini tuandikie mate na wino upo!