Uchaguzi 2020 Kahama: Polisi wapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliojaa nje ya hotel aliyofikia Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Kahama: Polisi wapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliojaa nje ya hotel aliyofikia Tundu Lissu

Hii kazi ndio maana sikuitaka kabisa, na sitaki mwanangu aje aifanye. Ujinga, hakuna reasoning ...

Pathetic !
 
Violence Alert Tanzania Election

"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"

Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.

Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
Usalama wa Lissu uko mikononi mwa Jeshi la Polisi nchi inapoelekea kwenye tarehe ya Uchaguzi Mkuu. Kwa sababu zifuatazo, Jeshi la Polisi litachukua kila hatua ya kuhakikisha usalama wa Lissu.

√ Ikumbukwe kwamba Lissu na viongozi wenzake wa CHADEMA wanaituhumu Serikali kwa shambulio lake na uhalifu mwingine wa mauaji na utekaji viongozi wa CHADEMA;

√ Lissu siyo kiongozi kama viongozi wengine wa CHADEMA. Lissu ni mgombea Urais kupitia CHADEMA, mwenye haki zote kuchaguliwa; na

√ Katika mkusanyiko wa watu kuna wenye nia mbaya na ovu.
 
Anza wewe kujaribu uone cha moto[/I]

Cha moto gani!

Hao askari hamsini wanatoa wapi jeuri ya kupambana na midume zaidi ya milioni arobaini nchi nzima?

Huwa mnajidanganya sana na hao migambo wenu wa uvccm!

Ninyi hamna jeshi wala intelijensia inayoweza kupigana na watu zaidi ya milioni sitini, SEUZE hao migambo legevu wanaolipwa ujira kiduchu!
 
Geita hawakupiga mabomu,nimeskia RPC ameondolewa na kupelekwa chuo cha polisi ili ajifunze tena kazi.Pia OCD naye kang'olewa.

Waengine wanatetea unga wao,usione hivi.
Mataga kwa kuwa nyie mnajifanya WAZALENDO mshindo basi tokeni Jamii forum ,muende kuzima moto Mlima Kilimanjaro. Uzalendo sio kusifia utopolo bali ni kupigana kwa jasho na damu kuilinda nchi yako! #MtajuaHaumjuiMwakaHuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Violence Alert Tanzania Election

"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"

Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.

Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
CCM bila poliCCM ni wepesi sana, hawana ubavu wa kumkabili Tundu Lissu kwa hoja bila kutumia nguvu ya poliCCM. Tundu Lissu akiingia Ikulu Oktoba uonevu huu wote utafika tamati.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Violence Alert Tanzania Election

"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"

Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.

Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
Jiwe no way out., Lissu ataikomboa hii nchi kama sio leo basi ni kesho
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Cha moto gani!

Hao askari hamsini wanatoa wapi jeuri ya kupambana na midume zaidi ya milioni arobaini nchi nzima?

Huwa mnajidanganya sana na hao migambo wenu wa uvccm!

Ninyi hamna jeshi wala intelijensia inayoweza kupigana na watu zaidi ya milioni sitini, SEUZE hao migambo legevu wanaolipwa ujira kiduchu!
Sasa si muanze kwanini tuandikie mate na wino upo!
 
Back
Top Bottom