Kahama VS Njombe/Mafinga

Kifupi njombe inabebwa na makambako ukienda njombe mchana wananchi asilimia kubwa wanakua shambani.pia mji unalala saa 12 jioni.ila ukienda makambako mda wote wananchi ni purukushan.njmbe haina hata leli kuriona tren nilazima wasogee makambako.
 
Kahama (BUZWAGI) ipo recognized kwenye uchumi wa nchi hii, wapi parachichi????? Yaani labda muache kutumia note za 5,000/- matajiri wangu πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Kifupi njombe inabebwa na makambako ukienda njombe mchana wananchi asilimia kubwa wanakua shambani.pia mji unalala saa 12 jioni.ila ukienda makambako mda wote wananchi ni purukushan.njmbe haina hata leli kuriona tren nilazima wasogee makambako.
Ni sawa na SHY town aanze kuvimba kwa mbavu za Kahama ndicho wanachofanya Njombe kwa Makambako πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
KAHAMA weeeeehhhhh, Tumekosa picha nyingine tunaiba huko google earth. Nikirudi mjini nitakusanya kila angle tuoneshane makali tu.


Outdoor Arena yenye parking lot ya magari 80 hivi kwa wakati mmoja.


Hostel za wageni na swimming pool (NITESH)
 
Mmh, kwa majengo makali makubwa, Kahama bado kwa Njombe ingawa kwa ukubwa wa mji na idadi ya watu, uwingi wa nyumba nzuri za makazi tu(za mapaa mareeeefu) Kahama inaweza kuongoza. Hata hivyo hadi sasa Njombe iko juu ya kwa majengo makubwa makali.
Ukiondoa ile mall ambayo hutumiwa na wageni na wazungu, Kahama bado sana kwa Njombe
 
Mmh, kwa majengo makali makubwa, Kahama bado kwa Njombe ingawa kwa ukubwa, uwingi wa nyumba nzuri(za mapaa mareeeefu) Kahama inaweza kuongoza. Hata hivyo hadi sasa Njombe iko juu ya kwa majengo makubwa makali.
Mangapi boss? πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
NJOMBE yako mangapi!?
 
Ni sawa na SHY town aanze kuvimba kwa mbavu za Kahama ndicho wanachofanya Njombe kwa Makambako πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Hili Jambo nimewai kuliongelea wakaja na kejeli et makambako Ni mtoto wa njombe yani mfano mfuu haya saizi wanalima parachichi kiwanda kikubwa kimejengwa makambako wanalima mahindi vihenge vikubwa vipo makambako na soko kubwa la mazao linaendelea kujengwa kiumba pale haya kiwanda Cha bati dragon ,kiwanda Cha misumari, kalvat,gypsum na chokaa, vifaa vya plastic ,kahawa,mifuko na juice,madawa ya binadamu ,nguzo vimejengwa makambako swal kwanini wawekezaji wengi wakija mkoa wa njombe wanapenda kuwekeza makambako na si njombe maan halimashauri ya mji njombe inaviwanda Kama vinne t wakat makambako saiz Ni Zaid ya kum na vinaendelea kujengwa swala la gorofa Hilo huja automatic ndo maana ukija makambako utaona vitu vinavyoendelea na njombe shida geografia ya mji haipo vizur ndoo maana hata mhe mkuu we nchi alivokuja kwenye ziara mwakajuzi alianzia njombe ila alivo fika makambako aliinyoshea mkono kuwa makambako imejengeka ko njombe kuwen wapole mtapiga picha hivyo vigorofa 6 kwa kubadilisha kila upande zionekane nyingi watu tunazifahamu hamuwezi kushinda na miji ya kibiashara hata siku moja mfano mzuri mmejengewa soko zuri mnaishia kupigia picha t na kupiga picha office za serikari saiz miji yote ofisi za gorofa
 
Makambako hiyo
 

Attachments

  • FB_IMG_16129218266207369.jpg
    13.2 KB · Views: 3
  • FB_IMG_16129218015176460.jpg
    16.5 KB · Views: 3
  • FB_IMG_16129217882900639.jpg
    13.4 KB · Views: 3
  • FB_IMG_16129217738211584.jpg
    19.5 KB · Views: 2
  • FB_IMG_16129217666028293.jpg
    21.8 KB · Views: 2
  • FB_IMG_16129217666028293.jpg
    21.8 KB · Views: 2
  • FB_IMG_16129217579662909.jpg
    22.6 KB · Views: 2
  • FB_IMG_16129217579662909.jpg
    22.6 KB · Views: 2
  • FB_IMG_16129217217540897.jpg
    36 KB · Views: 2
  • FB_IMG_16129217137346024.jpg
    39.1 KB · Views: 2
  • FB_IMG_16121469086891207.jpg
    37.8 KB · Views: 2
Njombe hyo sio kila siku mnapiga picha majengo hyo2
 

Attachments

  • FB_IMG_16129248010018636.jpg
    9 KB · Views: 2
  • FB_IMG_16129247878651970.jpg
    10.1 KB · Views: 2
  • FB_IMG_16129247721933967.jpg
    8.1 KB · Views: 2
Na kwanini tunasema makambako inaibeba njombe ebu turejee kwenye historia mwaka 2002 njombe ilikuwa na wakazi 42180 wakati makambako wakazi 51049 zikaanza harakat za kuomba mkoa kilichofanyika njombe wakaona idadi ya watu ndogo pia na mapato wakaongeza tarafa moja mji ukawa na tarafa mbili mwaka 2007wakapewa halmashaur ya mji wakati makambako Ni mji mdogo mwaka 2012 ikatangazwa mkoa na makambako ikapewa hadhi ya mji na baadhi ya kata za tarafa ya makambako hazikuingia kwenye mji Kama mtwango kichiwa na igongolo maana ilionekana bdo njombe ingepigwa gap lakufa mtu ndo maana watu huwa wanashaangaa mbona mji wa njombe una vijiji vingi Sana walichukua Jimbo la njombe kusini na kuita mji wakati makambako ilimegwa lakin bado makambako wameomba wilaya it means sasa tarafa yake yote hapo ss cjui tutaongea nn na kitu kinacho ongelewa Mara soko cjui stend hiyo Ni mradi was kuboresha miji 18 walichagua makao makuu ya mkoa ndo maana saiz umeaanza mradi mpya tact's ambao miji yote imengia 45 happo cjui mtaongea nn ko muwe mnaangalia hata aina ya uwekezaji viwanda ndo kila kitu sio mji una kiwanda Cha tanwat unliver luponde na maji kitulo alafu una fananisha na manispaa ya kahama magorofa hayapandishi hadhi ya sehemu basi iringa ingekuwa jiji kabla ya mbeya Kama wanaangalia magorofa na viwanda vingi vimejengwa makambako na si njombe watu saiz wanakaa makambako wanafanyia kazi njombe sio mnatuletea utopolo was vigorofa et ndo kujengeka kwa mji mjipange
 
Zipo ngapi Mkuu? Mbona ni zile zile 2. Hiyo ya tatu hata msingi hawajachimba aisee. πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Msingi tayari sema inasua sua,kiufupi ziko nyingi Sana ni vile mdau wangu aliyeko Njombe mr Munjombe amepoa Sana kuleta vitu current

Hizo zinapatikana google ko maingizo mapya Bado hawaja update
 
Kama kunabidhaa za Jamukaya
Pata Pineapple baridi.. Mwambie hela ziko kukaya.. atapitia.. πŸ™‚ hahahah
 
Fire gani bana hata mapato ya ndani ni bln 2 tuu yaani mara 2 ya Njombe yenye bln 4 plus

Ni kweli mumejikongoja angalau mnaanza kutambaa but bado Sana kuja ifikia Njombe ila kwa viwanda na magodown jengeni maana mna tambarare inasapoti but kitu cha kufahamu ni kwamba mara nyingi viwanda vina vibarua wengi na mishahara kiduchu ambayo haiwezi ku push Sana mzunguko wa pesa is like migodi tuu

Njombe kuna agro industries ndio injinia kubwa kuanzia viwanda vya chai Hadi kusindika maziwa na matunda but it is good Mkoa una Miji 2 mikubwa.

Ila watu wa Makambako msijifariji Sana maana soon Magari ya kutoka Songea/Mtwara/Tunduru/Masasi/Mbinga kwenda mikoa mingine yataacha kupita hiyo njia pindi barabara ya Njombe Makete Isyonje/Mbeya au Njombe Halali ikikamilika yaani mtabakia na mabasi yanayoanzia Njombe kwenda mikoa ya na Kati maana ya Dar yatapitia Ifakara Hadi Mikumi sasa sijui biashara mtamuuzia nani
 
We
Msingi tayari sema inasua sua,kiufupi ziko nyingi Sana ni vile mdau wangu aliyeko Njombe mr Munjombe amepoa Sana kuleta vitu current

Hizo zinapatikana google ko maingizo mapya Bado hawaja update
We ingizo gani jipya hakuna ndefu Ni zilezile mangizo mapya zinajengwa makambako mambo yamechange wenzio ndo tunashinda hku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…