Matajiri wa NJOMBE wananunua maplau na fuso used..Tofauti ya NJOMBE na KAHAMA, Ni kwamba NJOMBE mji ni mkoani na KAHAMA manispaa ni wilayani
Buzwagi miningYaani kwenye mapesa mengi ya mbao na kila mazao ndo ulinganishe na Kahama bush huko?
Ni sawa na SHY town aanze kuvimba kwa mbavu za Kahama ndicho wanachofanya Njombe kwa Makambako π π πKifupi njombe inabebwa na makambako ukienda njombe mchana wananchi asilimia kubwa wanakua shambani.pia mji unalala saa 12 jioni.ila ukienda makambako mda wote wananchi ni purukushan.njmbe haina hata leli kuriona tren nilazima wasogee makambako.
Mangapi boss? π π πMmh, kwa majengo makali makubwa, Kahama bado kwa Njombe ingawa kwa ukubwa, uwingi wa nyumba nzuri(za mapaa mareeeefu) Kahama inaweza kuongoza. Hata hivyo hadi sasa Njombe iko juu ya kwa majengo makubwa makali.
NJOMBE yako mangapi!?Mmh, kwa majengo makali makubwa, Kahama bado kwa Njombe ingawa kwa ukubwa wa mji na idadi ya watu, uwingi wa nyumba nzuri za makazi tu(za mapaa mareeeefu) Kahama inaweza kuongoza. Hata hivyo hadi sasa Njombe iko juu ya kwa majengo makubwa makali.
Ukiondoa ile mall ambayo hutumiwa na wageni na wazungu, Kahama bado sana kwa Njombe
Hili Jambo nimewai kuliongelea wakaja na kejeli et makambako Ni mtoto wa njombe yani mfano mfuu haya saizi wanalima parachichi kiwanda kikubwa kimejengwa makambako wanalima mahindi vihenge vikubwa vipo makambako na soko kubwa la mazao linaendelea kujengwa kiumba pale haya kiwanda Cha bati dragon ,kiwanda Cha misumari, kalvat,gypsum na chokaa, vifaa vya plastic ,kahawa,mifuko na juice,madawa ya binadamu ,nguzo vimejengwa makambako swal kwanini wawekezaji wengi wakija mkoa wa njombe wanapenda kuwekeza makambako na si njombe maan halimashauri ya mji njombe inaviwanda Kama vinne t wakat makambako saiz Ni Zaid ya kum na vinaendelea kujengwa swala la gorofa Hilo huja automatic ndo maana ukija makambako utaona vitu vinavyoendelea na njombe shida geografia ya mji haipo vizur ndoo maana hata mhe mkuu we nchi alivokuja kwenye ziara mwakajuzi alianzia njombe ila alivo fika makambako aliinyoshea mkono kuwa makambako imejengeka ko njombe kuwen wapole mtapiga picha hivyo vigorofa 6 kwa kubadilisha kila upande zionekane nyingi watu tunazifahamu hamuwezi kushinda na miji ya kibiashara hata siku moja mfano mzuri mmejengewa soko zuri mnaishia kupigia picha t na kupiga picha office za serikari saiz miji yote ofisi za gorofaNi sawa na SHY town aanze kuvimba kwa mbavu za Kahama ndicho wanachofanya Njombe kwa Makambako π π π
Haya agreement wametenganisha picha mbil wakat Ni hotel mojaAnaekutaka huku ni huyu hapa chiniView attachment 1698563View attachment 1698564View attachment 1698565View attachment 1698566View attachment 1698568
Msingi tayari sema inasua sua,kiufupi ziko nyingi Sana ni vile mdau wangu aliyeko Njombe mr Munjombe amepoa Sana kuleta vitu currentZipo ngapi Mkuu? Mbona ni zile zile 2. Hiyo ya tatu hata msingi hawajachimba aisee. π π π π π
Kama kunabidhaa za JamukayaNa kwanini tunasema makambako inaibeba njombe ebu turejee kwenye historia mwaka 2002 njombe ilikuwa na wakazi 42180 wakati makambako wakazi 51049 zikaanza harakat za kuomba mkoa kilichofanyika njombe wakaona idadi ya watu ndogo pia na mapato wakaongeza tarafa moja mji ukawa na tarafa mbili mwaka 2007wakapewa halmashaur ya mji wakati makambako Ni mji mdogo mwaka 2012 ikatangazwa mkoa na makambako ikapewa hadhi ya mji na baadhi ya kata za tarafa ya makambako hazikuingia kwenye mji Kama mtwango kichiwa na igongolo maana ilionekana bdo njombe ingepigwa gap lakufa mtu ndo maana watu huwa wanashaangaa mbona mji wa njombe una vijiji vingi Sana walichukua Jimbo la njombe kusini na kuita mji wakati makambako ilimegwa lakin bado makambako wameomba wilaya it means sasa tarafa yake yote hapo ss cjui tutaongea nn na kitu kinacho ongelewa Mara soko cjui stend hiyo Ni mradi was kuboresha miji 18 walichagua makao makuu ya mkoa ndo maana saiz umeaanza mradi mpya tact's ambao miji yote imengia 45 happo cjui mtaongea nn ko muwe mnaangalia hata aina ya uwekezaji viwanda ndo kila kitu sio mji una kiwanda Cha tanwat unliver luponde na maji kitulo alafu una fananisha na manispaa ya kahama magorofa hayapandishi hadhi ya sehemu basi iringa ingekuwa jiji kabla ya mbeya Kama wanaangalia magorofa na viwanda vingi vimejengwa makambako na si njombe watu saiz wanakaa makambako wanafanyia kazi njombe sio mnatuletea utopolo was vigorofa et ndo kujengeka kwa mji mjipange
Fire gani bana hata mapato ya ndani ni bln 2 tuu yaani mara 2 ya Njombe yenye bln 4 plusK
Unaweza ukabishia wakat yupo sahihi hata serikali inatambua Hilo makambako ya Jana si ya leo gorofa ulizo kuwa unajidainazo njombe ukipita makambako kwa sasa tayar mambo ni fire site zimezungushwa bati tu vitu. Vinapanda nyumba za chini hzo ndo gap lakufa mtu
Kumbe heshima ya Njombe ichukue mkondo wake tafadhariTofauti ya NJOMBE na KAHAMA, Ni kwamba NJOMBE mji ni mkoani na KAHAMA manispaa ni wilayani
We ingizo gani jipya hakuna ndefu Ni zilezile mangizo mapya zinajengwa makambako mambo yamechange wenzio ndo tunashinda hkuMsingi tayari sema inasua sua,kiufupi ziko nyingi Sana ni vile mdau wangu aliyeko Njombe mr Munjombe amepoa Sana kuleta vitu current
Hizo zinapatikana google ko maingizo mapya Bado hawaja update
Migodi haijawahi wasidia ila imewaongezea idadi kubwa ya maskini mkuuBuzwagi mining