ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #401
Weka picha acha maneno,manamba na shule wapi na wapi broo?Nikuonyeshe mashule yaliyoko kahama ukimbie mkuu?
Au kanisa katoliki ushangae yani kumbe Njombe imezidiwa kila kitu eeeh nadhani Njombe imeizidi kahama kwa uzuri na ubora wa stendi ya mabasi tu
Ukisoma distance chart ya Tanroads Ina umbali wa kila mji mkuu wa mkoa nchi hiiYani nzega kamji kapo stend tu pale unalinganishana kahama mji?
Karagwe na Ngara hata usingepataja nakujua sanaaa hapalingani na Kahama hata kidogo kwa kila kitu.
.
Korogwe sijafika naiona tu kwenye picha tena stendi yao ilivyo nzuri, ni kweli Kahama stendi yao ni aibu ila watafanya nini sasa? Geita yenyewe yenye listend kubwa wakati ikiwa Wilaya ilikuwa na stend ya ajabu ya vumbi
.
Hujaitendea haki kuilinganisha Kahama na Ngara pamoja na Karagwe huku bado sana yani wanazidiwa hela hadi wingi wa watu.
.
La mwisho MZA- SHY ni KM 141 tu hizo habari zenu za kuangalia Google mnafeli vingi
Lindi, na Njombe uchawi mwingi watu hawapendi maendeleo wanaroga sanaaa, hii tabia Rukwa naon wameiacha sasa wanapiga hatua ndefu za maendeleo.
.
Njombe wanaroga hadi mimba kwa hiyo watu hawaendi kuanzisha maisha kule bali kuyatafuta na kuhepa, Lindi watu wanakaa vibarazani kuanzia asubuh hadi linachwea hupotea mida ya kula tu na ukijifanya mjuaji unaleta vimaendeleo unapigwa juju afadhali Ruangwa naiona ikija kuitoa Lindi manispaa
Tungekuwa wachawi na hatupendi maendeleo ungekuta tunachuana na mikoa ya kanda ya ziwa na rukwa kwa umaskini sasa tunashindana na Kilimanjaro na Dar kwa ustawi wa maishaLindi, na Njombe uchawi mwingi watu hawapendi maendeleo wanaroga sanaaa, hii tabia Rukwa naon wameiacha sasa wanapiga hatua ndefu za maendeleo.
.
Njombe wanaroga hadi mimba kwa hiyo watu hawaendi kuanzisha maisha kule bali kuyatafuta na kuhepa, Lindi watu wanakaa vibarazani kuanzia asubuh hadi linachwea hupotea mida ya kula tu na ukijifanya mjuaji unaleta vimaendeleo unapigwa juju afadhali Ruangwa naiona ikija kuitoa Lindi manispaa
Yataje hayo mahotel ya Kahama halafu weka na picha tuzione.Usioweke maneno bila evidenceUmeanza kulinganisha manispaa na wilaya ambayo haijafikia hata hadhi ya kuitwa mji?
.
Endelea kulinganisha Kahama mji na njombe mji kumbuka ulisema hakuna mahotel kahama marefu nikakuonyesha yani Njombe imefunikwa na kahama
Huna hakikaHapa naongelea mapato siku za nyuma kidogo siyo viwanda
Na ni Wilaya PiaNjombe ni mkoa
Tunaanza na Singida😆😆😆😆 We jamaa kweli mfinyu wa kufikiria punguza kula muhogo na uwele
Vigezo na stutus za miji tu ndio vinafanya iwe hivyo.Mkoa wa Njombe una Halmashauri za miji 2,yaani Makambako na Njombe
Iringa mkoa,kuna manispaa ya Iringa na halmashauri ya mji wa Mafinga
Mkoa wa Shinyanga-shinyanga manispaa na Kahama TC
Mtwara-mtwara manispaa,Masasi TC,Nanyumbu TC nk nk so hapa kinachoamua ni vigezo tuu
Sasa Singida,Kigoma,Sumbawanga au Mpanda kuna nini cha kuizidi Njombe au Mafinga? Weka picha basi tuone
Au labda atuambie madini huendelea kuzaliana baada ya kumwagiliwa maji na kuwekewa mboleaWivu wa nini mzee baba hakuna sustainability hapo,future ya Kahama ni giza tororo
Huko Manyoni kungekuwa na madini ungeshawaona manamba wamejaa kama walivyoo jaa huko kwenu,mind u ndo mnaongoza kwa ufukara how comes Njombe isiongoze kwa ufukara kama hakuna kitu?
Hujaona picha nyuma huko nimeweka?Zit
Yataje hayo mahotel ya Kahama halafu weka na picha tuzione.Usioweke maneno bila evidence
Weka na wewe maana naona naweka mimi tu wewe huwekiWeka picha acha maneno,manamba na shule wapi na wapi broo?
Tukija kwenye mataasisi huko ndo hamuwezi kugusa hata kidogo maana shule tunaijua nyie ongozeni guest house tuu
Hujaona picha nyuma huko nimeweka?
[/QUOTE
Zirudie kuzipost picha zake tuone maana niliiona Hotel moja tu .Nimekuwekea hotel tano ambazo zingekaa Kahama ungeonhea sana
Hapo hamna kitu zaidi ya hizo barabara mpya,kwenye majengo ya ghorofa tumewachapa bakora za kutosha
Ngoja Ngapulila aje mimi niko mbali na NjombeWeka na wewe maana naona naweka mimi tu wewe huweki
Hizo hapo Hotel zilizopo Njombe weka za kahama
Ndugu hiyo gold inaonekana haina thamani huko Kahama maana kumepauka hawana cha kuonyesha zaidi ya mashimo na mitaro waliyofukua kwa Sululu na majembe.Si unaona mkali kaomba kupigwa tafu na Sumbawanga plus Singida kushindana na Njombe lakini hadi sasa hakuna kitu sisi tumeweka magorofa floor 5,6,7 tena zaidi ya majengo 5Thamani ya gold ni wazi kabisa