Namala Namala
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 227
- 127
Mwambie aweke za swax +singida+Kahama hawana kitu hao wote nimewaambia zaidi ya mashimo na mitaro huko Kahama ni bure kabisaaH
Hizo hapo Hotel zilizopo Njombe weka za kahama
Weka picha acha porojo,hata hivyo bila migodi ya hao manamba Kahama ni dampo tunjombe cpajui vizuri ila kahama ule mji hata buzwagi ufungwe kesho ule mji ushaendelea tayari, yaani in sawa na kusema kwasababu serikali na wizara zote zinahamia Dodoma halafu useme Dodoma itaizid Dar kimaendeleo na kiukuaji hiyo haipo. Pia kumbuka kahama pale kuna ofisi nyingine za kimkoa ziko kahama badala ya shy, hiyo yote ni kutokana na population na maendeleo ya mji, biashara nk. Kifupi iko juu sana ya njombe na mafinga.
atakuwa kakulia lalago mji ulianza siku moja na nairobi lakini haukuiHahahaha unaijua sanga mwalugesha? [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuunga mkono kusema mzunguko wa Hela upo juu Kahama ila hakuna uwekezaji wowote hata wa majengo uliofanyika ndio maana n mji ulio hovyo tunjombe cpajui vizuri ila kahama ule mji hata buzwagi ufungwe kesho ule mji ushaendelea tayari, yaani in sawa na kusema kwasababu serikali na wizara zote zinahamia Dodoma halafu useme Dodoma itaizid Dar kimaendeleo na kiukuaji hiyo haipo. Pia kumbuka kahama pale kuna ofisi nyingine za kimkoa ziko kahama badala ya shy, hiyo yote ni kutokana na population na maendeleo ya mji, biashara nk. Kifupi iko juu sana ya njombe na mafinga.
Sio ramli ni uhalisia wa mda.
Geita,Makambako,Tunduma na mbinga ndio levo za Kahama,Njombe ni level za wakubwa kama unabisha weka picha za Kahama za Njombe ushaziona zimejaa humuUtabiri na upiga ramli wewe ndo unaita uhalisia?!! Geita ikiwa bado sehemu ya mwanza ilitabiriwa zamani sana itaipita kahama lakin wapi, hadi leo geita ni mkoa na inaendelea lakini kahama nayo iko mbiombio. Hiyo njombe yako hata kwa geita tu haigusi. Unasema mbinga porini hata njombe pia ni porini
Hiyo ni miji ya wachuuzi not suitable to live hata Songwe watumishi wanafanya kazi Tunduma wanaishi Vwawa yaani maisha ya miji ya hivyo ni uchuuzi kwenda mbeleNakuunga mkono kusema mzunguko wa Hela upo juu Kahama ila hakuna uwekezaji wowote hata wa majengo uliofanyika ndio maana n mji ulio hovyo tu
Kahama na Tunduma na Makambako n miji inayoshabihiana .Linganisha Kahama na Tunduma huko utakuwa upo sawa
Kasulu ,kibondo linganisha na Nanyamba huko toa hapa unachafua uzi π€π€Kuna vumbi kuzidi kasulu na Kibondo!?
Songea itapitwa na Wilaya ya Mbinga muda sio mrefu japo Serikali imeharibu utaratibu wa zao la Kahawa ila bado Mbinga inakuja vizuri.Shinyanga-Mwanza ni mbali sana wewe mtu wa njombe una matatizo
.
Ona una ndoto mfu tena kwamba Njombe baada ya miaka 10-15 utazipita Iringa na Songea hivi hao watu wa Iringa watakuwa wamelala tu?
.
Njombe inaweza kuipita Lindi ila sio Iringa na Songea
Maneno mengi ya nini weka pichaaaHapo hamna kitu zaidi ya hizo barabara mpya,kwenye majengo ya ghorofa tumewachapa bakora za kutosha
Hata hivyo ngoja nikueleze kitu usichokijua,hizo barabara umeziona hapo singida na sumbawanga zimejengwa mwaka juzi na jana plus stend ambapo.
Serikali imekopa pesa benki ya dunia kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya miji 20 Tzn nzima Njombe ikiwamo.Kipi kinaanza inategemea na mji lakini pia kuna vigezo.Kwa Njombe tumeanza na stendi then ndio zitakuja barabara.Lakini sisi tuna advantage maana barabara kuu ya Makambako songea inapanuliwa na kujengwa upya ko Mjini patanoga zaidi ya Singida na Sumbawanga
Ukienda mpanda Kigoma tabora Iringa Bahati Korogwe utakuta miradi hiyo ko mwaka huu mradi wa barabara za mjini Njombe utaanza kuwa mpole tukutane mwakani mwezi kama huu.
Kwa Sumbawanga wako wanaendelea na mradi wa stendi kwa sasa afu kuwa mpole naishi Sumbawanga ko hakuna cha kunionyesha huku labda uweke picha za Singida etc
Haha unaijua lalago! Mwanhuzi je!atakuwa kakulia lalago mji ulianza siku moja na nairobi lakini haukui
Njombe ni wilaya iliopewa hadhi ya Mkoa miaka saba iliopita, na ina hadhi ya Manispaa kwa sasa hivyo ni sehemu inayokua kwa kasi kuliko hayo maeneo mengine uliotaja na Mafinga pekee ilikua inakimbizana na Njombe kabla Njombe haijapewa MkoaShinyanga-Mwanza ni mbali sana wewe mtu wa njombe una matatizo
.
Ona una ndoto mfu tena kwamba Njombe baada ya miaka 10-15 utazipita Iringa na Songea hivi hao watu wa Iringa watakuwa wamelala tu?
.
Njombe inaweza kuipita Lindi ila sio Iringa na Songea
Yaani mnaniboa nyie manamba wa Kahama mnaposema iko juu kuliko Njombe na Mafinga leteni ushahidi sio hadithi za machimbo mlikokata tamaa hukonjombe cpajui vizuri ila kahama ule mji hata buzwagi ufungwe kesho ule mji ushaendelea tayari, yaani in sawa na kusema kwasababu serikali na wizara zote zinahamia Dodoma halafu useme Dodoma itaizid Dar kimaendeleo na kiukuaji hiyo haipo. Pia kumbuka kahama pale kuna ofisi nyingine za kimkoa ziko kahama badala ya shy, hiyo yote ni kutokana na population na maendeleo ya mji, biashara nk. Kifupi iko juu sana ya njombe na mafinga.
Kuna manamba mmja hapo nimemwambia Njombe,Mafinga,Mbozi na Kahama zitapewa hadhi ya manispaa mda wowote anapinga kwa umbumbumbu wake,nikama mfano Mpanda na Lindi ni Manispaa kuna nini cha kushinda Njombe au Mafinga?Njombe ni wilaya iliopewa hadhi ya Mkoa miaka saba iliopita, na ina hadhi ya Manispaa kwa sasa hivyo ni sehemu inayokua kwa kasi kuliko hayo maeneo mengine uliotaja na Mafinga pekee ilikua inakimbizana na Njombe kabla Njombe haijapewa Mkoa
ππππ picha za Njombe zimejaa humu,tunawadai nyie wa Kahama wekeni picha hata kama ni guest house wekaManeno mengi ya nini weka pichaaa
Tuache kudanganyana basi Njombe sio manispaa Njombe ni mji ni sawa na makambako yani zina hadhi sawa hata mafinga pia ni mjiNjombe ni wilaya iliopewa hadhi ya Mkoa miaka saba iliopita, na ina hadhi ya Manispaa kwa sasa hivyo ni sehemu inayokua kwa kasi kuliko hayo maeneo mengine uliotaja na Mafinga pekee ilikua inakimbizana na Njombe kabla Njombe haijapewa Mkoa
Labda siku akirudi mola ndio hilo litatokea mkuuSongea itapitwa na Wilaya ya Mbinga muda sio mrefu japo Serikali imeharibu utaratibu wa zao la Kahawa ila bado Mbinga inakuja vizuri.