Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
huyo asikudanganye njombe magorofa hata kumi hayafiki, picha moja anapiga kushoto, anakuja kugeuza kulia, upande , uongo mtupu Mbeya kwenye magorofa ya kuhesabu, mwaka juzi kuna jengo liliwekwa lifti mbeya nzima watu walijaa kwenda kushangaa lifti ndio ije kuwa kijijini njombe, msimu wa kilimo maduka yamefungwa watu wako shamba
Umeamua kuhamisha magoli,magorofa sio ya biashara tuu bali na ya taasisi kama shule,vyuo, hospitali,makanisa nk nk .Kwa idadi hiyo ni zaidi ya 30huyo asikudanganye njombe magorofa hata kumi hayafiki, picha moja anapiga kushoto, anakuja kugeuza kulia, upande , uongo mtupu Mbeya kwenye magorofa ya kuhesabu, mwaka juzi kuna jengo liliwekwa lifti mbeya nzima watu walijaa kwenda kushangaa lifti ndio ije kuwa kijijini njombe, msimu wa kilimo maduka yamefungwa watu wako shamba
[emoji28][emoji28][emoji28]....dah...ze fox ni [emoji119][emoji119][emoji119] chillers ni[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]!
Acheni ushabiki jamani ingawa mi sijafika njombe,ila hivyo viwanja mnavyosema duh!nahisi hamna exposure kabisa!
mkuu..mbeya malls zipo sehemu gani, au zile frames za pale sido ndiyo malls?ghorofa gani mbeya line floor 12 mkuu?Umeamua kuhamisha magoli,magorofa sio ya biashara tuu bali na ya taasisi kama shule,vyuo, hospitali,makanisa nk nk .Kwa idadi hiyo ni zaidi ya 30
Pili Mbeya ya mwaka juzi unayosema wewe sio ya leo,tulikuwa tunadanganywa mara ooh kuna matetemeko mara maji yako karibu mara tusijenge zaidi ya ghorofa 3
Hizo hadithi saizi ni past tense tokea walimu waporomoshe hilo jengo la floor 6 lenye lift la kwanza kwa urefu kwa Mbeya miaka hiyo ya 2014 sasa hivi yameota mengi ya hadi 12 floor hakuna lugha ya lift tena
Ko Mbeya sauzi ni jiji haswaa hadi mall zipo na ukiondoka ukarudi baada ya mwaka unakuta jiji limebadilika majengo mapya yamejengwa.
Tughimbe Royal Hotel complex ina shopping mall na conference centre iko mafiat round aboutmkuu..mbeya malls zipo sehemu gani, au zile frames za pale sido ndiyo malls?ghorofa gani mbeya line floor 12 mkuu?
Ni mchanganyiko wa tangawizi na mdarasini afu na maji ya madafu kidogo......pambafuuuNjombe ni nini?
Hii yaYaan ww kilichokuchanganya ww ni ghorofa za njomb mjini..poor u
Hii ya
1.Dar
2.Kilimanjaro
3.Njombe
Hamuioni au inarukwa makusudically?
Majengo mengi kusini yamejengwa kwa tofali za kuchoma.Tena ni majengo imara kwelikweli.Mfano shule ya Sekondary Njombe,majengo mengi ya Misheni kama Uwemba na majengo mengi ya design za mjerumani ni tofali na yanadunda mpaka leo.Sasa jamaa alitaka waje gee nini?Mjini ni kuanzia mjimwema hadi kibena,njia yote along songea road ni mjini
Ulitaka nyumba wajengee tembe na matope kama kahama au? Burnt bricks ni Bora kuliko blocks sijui ww unatakaje ndugu.You guys from kahaba u are just making noise here and exposing your stupidity na ushamba.Leteni photos za kahama,huko ni borrow pit tu
Ukitafuta kipato cha mwananchi mmoja mmoja utakuja ona kahama wanashindwa kwa njombe.Ndiyo maana Takwimu za NBS zilisemaZile dhahabu zilizokamatwa geita na wale ma askari walotaka kupewa rushwa mission yote ilipangiwa jirani na nlpokuwa na ishi kahama huko huyo dingi mzee ana hela hatari sasa kama mtu ana miliki billioni za kutosha kaziweka ndani na ana maghorofa makubwa Kahama yaani kupitia migodi midogo midogo inatema na mji unakua kwa kasi sio kama njombe udongo mwekundu kama kijijini ndani ndani huko Kahama kuna watu wanamiliki mijengo ya maana
Dar Kilimanjaro,then Njombe.Hizo Ni Takwimu za NBS.Mikoa yenye migodi ilitokea kwenye mikoa duni.Ukiwemo geitaNdo maana ukiambiwa mgodi akilini unajua wanatumia sururu na Jembe. Geita, kahama na Tarime zimeendelea sana baada ya kuja uwekezaji wa GGM na Barrick. Hujafika ndo maana unaongea nadharia za darasan kua watu hawawekezi wanavuna na kuondoka uhalisia sio hivyo. Mie Njombe nimekaa na kahama, tarime na geita nimekaa impact ya ile migodi ni kubwa sana kutokana na uwekezaji wake wa trillion za pesa
Ukisoma post ambayo wewe uliiquote utaelewa nilichoandika.Umemjibu kila kitu ila point ya Dar Kilimanjaro Njombe umeiignoreSijakuelewa
Kwamba Maduka yanafungwa msimu wa kilimo ni kweli au umeongea tu kwa vile huna kingine cha kuongea?huyo asikudanganye njombe magorofa hata kumi hayafiki, picha moja anapiga kushoto, anakuja kugeuza kulia, upande , uongo mtupu Mbeya kwenye magorofa ya kuhesabu, mwaka juzi kuna jengo liliwekwa lifti mbeya nzima watu walijaa kwenda kushangaa lifti ndio ije kuwa kijijini njombe, msimu wa kilimo maduka yamefungwa watu wako shamba
Tatizo anayebisha na kutoka povu hajafika kahama na yeye migodi anafananisha na makarasha ya kokoto kwa hiyo kubishana na mtu kama huyo unapoteza nguvu zako bure. Maana anabisha kitu ambacho hakielewiNimegundua una uelewa mdogo sana..yaan ww maghorofa ndoyanakuzuzua!..ww una kaushamba .am sorry to say this!
Jingine nikueleweshe ni hili!
Hyo mikoa mm nimezaliwa nikasoma huko na kuishi huko..! Watu wa huko wanajali sana kujenga nyumba...mtu akipata hela anaenda jenga na bati juu hii sio km mikoa ya huki...nyumba za tembe ni nyingi sana compare na huko!kwahyo ww ukianza kucompare maghorofa nakushangaa!
Point iliyopo najua ww huwawah waona matajiri...narudia tena kahama ni mji wa matajiri!bakini na magoorfa yenu yaliyopakwa rangi 7 jengo 1🤣🤣🤣!..watu wa hukp nyumba 1/anapaka rangi7🤣🤣