Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,974
Kahama is all the way up!!!
Popote ilipo dhahabu pamebarikiwa...
Popote ilipo dhahabu pamebarikiwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza kaham Kuna viwanja vya kula bata vya kijanja wazee wa Ze fox sportbar,African loung,Club chiller n.k huko njombe kuna mshkaji wangu yupo anasema hajawahi kuona sehemu ya ajabu kama njombe ghorofa kaliona moja tu
na weekend hii sipati picha patakavo waka.....í ½í¸í ½í¸í ½í¸....dah...ze fox ni í ½í¹í ½í¹í ½í¹ chillers nií ½í´¥í ½í´¥í ½í´¥í ½í´¥!
Porojo nyingi za vijiweni,weka picha ya hiyo migorofa mingi ya tajiri wa bilions 🤭🤭🤭🤭Zile dhahabu zilizokamatwa geita na wale ma askari walotaka kupewa rushwa mission yote ilipangiwa jirani na nlpokuwa na ishi kahama huko huyo dingi mzee ana hela hatari sasa kama mtu ana miliki billioni za kutosha kaziweka ndani na ana maghorofa makubwa Kahama yaani kupitia migodi midogo midogo inatema na mji unakua kwa kasi sio kama njombe udongo mwekundu kama kijijini ndani ndani huko Kahama kuna watu wanamiliki mijengo ya maana
We kwa akili yako unaamini kuna mji unakosaga viwanja vya bata? Yaani kuwe na mahoteli ya viwango lounge and bars ndo zikosekane? Kuwa xriac bac unless umekopesha akili za huyo mshikaji wakoKwanza kaham Kuna viwanja vya kula bata vya kijanja wazee wa Ze fox sportbar,African loung,Club chiller n.k huko njombe kuna mshkaji wangu yupo anasema hajawahi kuona sehemu ya ajabu kama njombe ghorofa kaliona moja tu
Bata la ze fox ni km la dar tu!..ze fox jumatatj kwa jumatatu mkuu..nyomi km lote!..ss ukimuona mwenye nayo jank tu..dadek!na weekend hii sipati picha patakavo waka.....
Ukimpeleka mtu alotoka njombe atabaki mdomo wazi watu wanavotumia pesa
Ndo maana ukiambiwa mgodi akilini unajua wanatumia sururu na Jembe. Geita, kahama na Tarime zimeendelea sana baada ya kuja uwekezaji wa GGM na Barrick. Hujafika ndo maana unaongea nadharia za darasan kua watu hawawekezi wanavuna na kuondoka uhalisia sio hivyo. Mie Njombe nimekaa na kahama, tarime na geita nimekaa impact ya ile migodi ni kubwa sana kutokana na uwekezaji wake wa trillion za pesaKahama sijafika na siwazi kufika maana nilikuwa nadhani ni bonge la town kumbe changanyikeni tuu ,yaani kwa picha nazoziona humu na kelele zinazopigwa nimepadharau sana
Kujengeka kupi hakuna picha zaidi ya majengo ka nssf hako basi sasa kingine cha kunileta huko ni nini labda nikipata biashara ya kuchuuza
Hiyo town sio liveable hao wanaolipwa pesa hawajengi huko wanazi expatriate tu
Njombe ina majengo 30 ya gorofa 6 and above?labda kama unaweka mabweni ya NJOS, kituo cha afya uwemba hahahaWakati huo huo Khm hakuna hata moja.Idadi ya kuanzia ghorofa 1 hadi 9 ni zaidi ya 30,majengo binafsi,taasisi na mashirika..afu ghorofa ni zaidi ya 6 ..Makambako ndio yanakomea 6
Mwisho natarajia kwenda Dom mwezi ujao nitawaletea picha za Mafinga town maana ni fire sana ule mji
Nimesema majengo kuanzia floor moja and above yako more than 30 but ya floor zaidi ya 6 yako 4Njombe ina majengo 30 ya gorofa 6 and above?labda kama unaweka mabweni ya NJOS, kituo cha afya uwemba hahaha
Manzese gorofa 5 and above yapo zaid ya 20 kwa hiyo tuseme manzese umeipita Njombe hahahahaNimesema majengo kuanzia floor moja and above yako more than 30 but ya floor zaidi ya 6 yako 4
Impacts ipi mzee baba mnaongoza kwa umaskini huko? Hapa tunazungumza facts na ushahidi sio porojoNdo maana ukiambiwa mgodi akilini unajua wanatumia sururu na Jembe. Geita, kahama na Tarime zimeendelea sana baada ya kuja uwekezaji wa GGM na Barrick. Hujafika ndo maana unaongea nadharia za darasan kua watu hawawekezi wanavuna na kuondoka uhalisia sio hivyo. Mie Njombe nimekaa na kahama, tarime na geita nimekaa impact ya ile migodi ni kubwa sana kutokana na uwekezaji wake wa trillion za pesa
Ingekuwa ni halmashauri ingekuwa sawa lakini sio hivyoManzese gorofa 5 and above yapo zaid ya 20 kwa hiyo tuseme manzese umeipita Njombe hahahaha
nishawah kupiga vyombo nikaondka saa 12 asubuh pale ni kama jehanamuBata la ze fox ni km la dar tu!..ze fox jumatatj kwa jumatatu mkuu..nyomi km lote!..ss ukimuona mwenye nayo jank tu..dadek!
Sehemu classic sana!
Hujafika ndo maana unatoka povu. Mie siishi kahama Ila nimepita sana kikazi Njombe mpaka kesho nakuja hizo mbozi mpaka kamsamba kite nachakaza daily. Unaizungumzia kahama tarime kinadharia mie naizungumzia kahama Njombe tarime kiuhalisia ni Miji ambayo kila Mara napita. Kabla sijafika kigoma nilikua na picha kichwani tofauti na nilivyoionaImpacts ipi mzee baba mnaongoza kwa umaskini huko? Hapa tunazungumza facts na ushahidi sio porojo
Weka picha tuone hayo maendeleo ambayo unayajua wewe tuu,mbona picha za Njombe zipo humu wapi kahama?
Miji ya nyanda za juu kusini iko mbele sana kimaendeleo kuliko huko migodini mnakoshinda kufukua mashimo
Tuko mbioni kuwa na manispaa za Mbozi(Vwawa+Mlowo),Tunduma,Mafinga,Njombe na Uyole any time ni ishu ya president tu kutia saini vigezo vimeshatimia
Sasa akina kahama sijui tarime ndo uchafu gani hata hospitali hakuna? Huko ni machimbo nothing else zaidi ya mashimo tu
Impact ya kImpacts ipi mzee baba mnaongoza kwa umaskini huko? Hapa tunazungumza facts na ushahidi sio porojo
Weka picha tuone hayo maendeleo ambayo unayajua wewe tuu,mbona picha za Njombe zipo humu wapi kahama?
Miji ya nyanda za juu kusini iko mbele sana kimaendeleo kuliko huko migodini mnakoshinda kufukua mashimo
Tuko mbioni kuwa na manispaa za Mbozi(Vwawa+Mlowo),Tunduma,Mafinga,Njombe na Uyole any time ni ishu ya president tu kutia saini vigezo vimeshatimia
Sasa akina kahama sijui tarime ndo uchafu gani hata hospitali hakuna? Huko ni machimbo nothing else zaidi ya mashimo tu
Duh we jamaa kahama hakuna hospitali?Impacts ipi mzee baba mnaongoza kwa umaskini huko? Hapa tunazungumza facts na ushahidi sio porojo
Weka picha tuone hayo maendeleo ambayo unayajua wewe tuu,mbona picha za Njombe zipo humu wapi kahama?
Miji ya nyanda za juu kusini iko mbele sana kimaendeleo kuliko huko migodini mnakoshinda kufukua mashimo
Tuko mbioni kuwa na manispaa za Mbozi(Vwawa+Mlowo),Tunduma,Mafinga,Njombe na Uyole any time ni ishu ya president tu kutia saini vigezo vimeshatimia
Sasa akina kahama sijui tarime ndo uchafu gani hata hospitali hakuna? Huko ni machimbo nothing else zaidi ya mashimo tu
Njombe hakuna tajiri, kuna waganga njaa tu, matajiri ndio akina mtewele kwa ajili ya kale kayard ka magari? unafananisha na kahama ambako mchimbaji mdogo tu wa dhahabu kupata milioni 500 ni kitu cha kawaida, uwalinganishe na waganga njaa akina mwendamseke wenye vicosta vitano ndio matajir wa njombe? hauko serious
Njombe magorofa ndio hayo tu tena ni hoteli na jengo moja la nssf, Njombe ukiwa hata na ki IST unaingizwa kwenye listi ya matajiri, kuna jamaa yangu alinunua VEROSA aisee, mji mzima wanamuheshimu, huko ni kijijini
Acha kufurahisha jukwaa na huo utumbo unajiaibisha.mimi siandiki maneno mengi nakukumbusha tu ukasome ripoti ya NBS ya hali ya maendeleo ya watu
Nyuma ya Dar,Kilimanjaro ni Njombe hiyo kahama na jamaa zenu mwanza mnaongoza kwa umaskini.Nyie endeleeni kufukua mashimo
Anzisha mada Tarime vs Igawa ndio size yakeHujafika ndo maana unatoka povu. Mie siishi kahama Ila nimepita sana kikazi Njombe mpaka kesho nakuja hizo mbozi mpaka kamsamba kite nachakaza daily. Unaizungumzia kahama tarime kinadharia mie naizungumzia kahama Njombe tarime kiuhalisia ni Miji ambayo kila Mara napita. Kabla sijafika kigoma nilikua na picha kichwani tofauti na nilivyoiona