ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #881
Mumelundikana kwenye vibanda vya tembe kama nyumbu mnategemea mtaendelea nyie kweli? Mtachenjua mabaki ya makinikia hadi makalio yaote suguUpuuzi huu angalia TRA Njombe n KHM uone tunavyowakimbiza kwa mapato
Ukiona mtu anaanza kutukana ujue ameshashindwa point hana inabaki matusi tu.Wasamehe tu mkuuKahama naona mmeanza kutukana badala ya kuleta vigezo hapa.
Mbona njombe wameleta vigezo kibao hadi vya nbs, nyie vp
Mapato yanatoka kwenye chanzo kimoja majority maskini. Jiulize mnakimbiza kwa Mapato inakuwaje mnakuwa maskini?Upuuzi huu angalia TRA Njombe n KHM uone tunavyowakimbiza kwa mapato
Huo ni uamuzi wa wewe kwani we umekatazwa kuonesha vigorofa uchwara.Aerial photography ipi waitaka vertical au Oblique?Ushamba huu, piga Arial photography tuone mji wenu sio vighorofa uchwara
Hii list ya NBS hawataki kabisa kuiona wanaipita kama wanaaga maititupe vigezo kahama ya ngapi kwenye list nbs
Usiwaonee wivu Njombe kuwa na mji wenye miti.Miji yenye miti inapendeza babu,siyo majangwa.Kuna mtu anapenda jangwa?Poleni mji kama msitu
Cha Kuongezea Magu alivyokuja Njombe alisema wananchi wa mikoa mingine wajifunze ujenzi wa Nyumba bora kwa Njombe.Uzuri wa Njombe hata maskini anamiliki kaasset fulanKajambe mbele huko huna hoja,kama sio maendeleo yamejengewa kwa kamasi zako au?
Haya sio maendeleo nambie wewe maendeleo gani Kahama inayo kuzidi Njombe ya tatu kitaifa kwa takwimu rasmi za serikali,lete na wewe takwimu zako.Unanichosha tu kwa kuongea kwa mihemko
Magu amewashika vibaya nyie huko kahaba huko Njombe ameshika pazuri,kwa kujenga hospitali ya mkoa,stend ya kisasa,soko la kisasa,barabara za lami za kuelekea ludewa hadi mbamba bay Ruvuma,Mbeya via makete na kuelekea Ifakara to mikumi sasa mbuzi nyie mtaongea nini
Nani kakwambia baridi ni tatizo kwa Binadamu?Njombe n vumbi jekundu n baridi yote unatoka out kufanya nini? Kazi yenu kulima miti
Nani kakwambia baridi ni tatizo kwa Binadamu?
Moja ya upcoming best town in Tzn,Ila mkuu seems Mafinga imeendelea kuliko Njombe auAcha kufananisha Mafinga "Mafingani" na vitu vya kijinga
Angalia mji kama Tunduma ni mkubwa lakini haupendizi kwa vile hakuna miti ndo sampuli za kina Kahama,miji dizaini hiyo ya majangwa ilishanishinda mda wote unapauka na juaUsiwaonee wivu Njombe kuwa na mji wenye miti.Miji yenye miti inapendeza babu,siyo majangwa.Kuna mtu anapenda jangwa?
Structures Kali kama hizi huwezi kuona borrow pit town kahama kwa nyumbuMODERN HALL I
Njombe kuna viazi mviringo tu, lakin maendeleo hakuna