Njombe kwenye 10 ya watu kwenye kipato juu ipoUmepima vipi kujua kipato mafinga kiko juu zaid ya kahama!
Pia elimu, usafi, na kujengeka
Swali lngne, ulishawah kukaa sehemu zote?
...
Kahama pa kawaida sana nimtoka jana hukoHuu mjadala ulishafungwa siku nyingi na mshindi alikuwa KAHAMA [emoji124][emoji124]
Una hamisha mada njombe Vs kahamaYani ka Mafinga ulinganishe na Kahama are you mad?
Embu nionyeshe barabara za mafinga hata kama ina streets roads
wewe wanaotembea wanakwambia Njombe iko next level
Mada ni Kahama vs Njombe/Mafinga yani hizo Njombe na Mafinga zinaichangia kahama 😨
Bahahaha! I've your picture 😄Unanidai au ?
Iko next level kuliko wapi?wewe wanaotembea wanakwambia Njombe iko next level
Haziichangii kahama,niliweka kama kuonesha miji yote miwili yaani mafinga na Njombe iko at par ko any one can fight Kahama maana inalingana kwa kila aspects tofauti na kwamba Njombe ni hq ya mkoa na mafinga ni town ya kawaidaMada ni Kahama vs Njombe/Mafinga yani hizo Njombe na Mafinga zinaichangia kahama 😨
mi sijui maana nikiiangalia sehemu nyingi zinatia huruma lakini ukifika Njombe unajua hapa wapambanajiIko next level kuliko wapi?
wew nae ni covid-19 yaani hivyo vi gest ndo ulinganishe na mahotel ya nyota 3 ya Njobe? umedandia treni kwa mbele au maana picha za njombe zimejaa humu siwezi kuzirudia
Sasa shida nini..acha shobo na mm!sina mazoea na ww nikomeBahahaha! I've your picture 😄
Hapana ila napita kwa kina MSEMWA nikiwa narud home au kwenda shule
Bahahaha! Naona walikuchangabya sana hadi mafaili yameanza kupotea 😝😝 am tagging youSasa shida nini..acha shobo na mm!sina mazoea na ww nikome
Wangari Maathai tulikuwa washikaji wazuri tumanengelo muone huyu, tumpeleke Bugando akatibiwe
Wangari Maathai tulikuwa washikaji wazuri tu
Meza wembe sasaUshikaji mzuri lini mimi na wewe!...unakumbuka kun uzi ulianzaga tu kuniattack? Usidhan sisahau..sinaga marafiki mm typ yako nikome mkuu!
Na wewe usiyetembea unasemaje?wewe wanaotembea wanakwambia Njombe iko next level
Kule mtaa wa ramadhani au chaugingi?mi sijui maana nikiiangalia sehemu nyingi zinatia huruma lakini ukifika Njombe unajua hapa wapambanaji
Njombe ni mkoa