ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #1,021
acha porojo msingekuwa mnaongoza kwa umaskini..kama mji wote ni dhahabu mnasubiri nini kugeuza vibanda vyenu migodi badala yake mnagombania na wazungu michanga huko?ChoiceVariable We jamaa nmeona hapo juu umesema et siku dhahabu ikiisha kahama itabaki ghost city kwa taarifa yako mji wote ule ni dhahabu yaan watu tumejenga juu ya hela kule si ajabu hata kupalilia nyumba yako tu unapata gold..tafuta thread humu uone kahama imezungumziwa mara ngapi na hiko ki njombe chako
Mikoa kame! Mwanza, Geita, Kagera, Simiyu, Mara ni mikoa kame?! Labda shinyanga kidogo ndo Kuna kaukame, 🤣🤣🤣wewe utakuwa ulienda Dodoma si bureKusini ipi ambayo serikali imesahau? scope yangu ya kusini ni Ruvuma,Njombe,Iringa,Mbeya,Rukwa sasa kwenye mikoa hiyo serikali imesahau wapi wakati tuko juu kwa viwango vyote vya maisha ukilinganisha na huko machimboni? Hapo mikoa yenye iko nyuma kidogo sio sana ni Rukwa na Ruvuma ambako barabara zilichelewa lakini saizi iko vizuri na maisha matamu sana.
.kamwe siwezi ishi mikoa kame ya kanda ya ziwa na uzuri naifahamu nimeishi mwanza,geita,shinyanga,singida na arusha
Mkuu jaribu kuwa specific kanda ya ziwa ni kubwa na ina aina tofauti ya maisha kwa maeneo tofautiHakuna sehemu ya hovyo kuishi hapa Tzn kama huko kanda ya ziwa..Nyanda za juu kusini ndio sehemu salama na ya uhakika kuishi,umewah sikia kuna ukame au njaa au umaskini hukunkama huko kwenu? au umeshaona kuna nyumba za tembe huku kwetu kama huko kanda ya ziwa kunakoongoza kwa umaskini na ushamba?
Mkuu jaribu kuwa specific kanda ya ziwa ni kubwa na ina aina tofauti ya maisha kwa maeneo tofauti
Amen.Hakuna sehemu ya hovyo kuishi hapa Tzn kama huko kanda ya ziwa..Nyanda za juu kusini ndio sehemu salama na ya uhakika kuishi,umewah sikia kuna ukame au njaa au umaskini hukunkama huko kwenu? au umeshaona kuna nyumba za tembe huku kwetu kama huko kanda ya ziwa kunakoongoza kwa umaskini na ushamba?
Millions of watu wamerundikana hapa mjini ili kujikimu simply mengi ya maeneo ya kanda ya ziwa yaliyosalia sio liveabe,ukame wa mara kwa mara na njaa ..Kanda hii,Kati na Pwani ndio mnaongoza kwa umaskini na kuishi kwenye tembe.Ndio maana si ajabu kukuta Miji michache sana imeendelea na maeneo mengi ni hovyo kabisaAmen.
Hilo ni jiji la mwanzaView attachment 1415549View attachment 1415550View attachment 1415551View attachment 1415552View attachment 1415553
Sent using Jamii Forums mobile app
Shinyanga,simiyu,Mara isipokuwa Tarime na Musoma mjini,Mwanza yote kasoro mjini,Geita huko..Hapo naikubali kagera tuu maana ni green the whole year kama tu huku Nyanda za Juu KusiniMkuu jaribu kuwa specific kanda ya ziwa ni kubwa na ina aina tofauti ya maisha kwa maeneo tofauti
Kwenye hiyo orodha toa Kagera tuu,the rest ni pata potea,kunyesha kukauka..Nimeishi mwanza mara kadhaa mvua zinanyesha watu wakipanda zinakata njiani wakati mimea bado kukomaa sio kwamba hazinyeshi kabisa..Hali kama hiyo huwezi ikuta Nyanda za juu kusiniMikoa kame! Mwanza, Geita, Kagera, Simiyu, Mara ni mikoa kame?! Labda shinyanga kidogo ndo Kuna kaukame, 🤣🤣🤣wewe utakuwa ulienda Dodoma si bure
Hakuna cha juu zaid,i kupita na kukuta watu wanakimbizana tu barbarani kama gulioni ndio hicho tuu kinafanya watu waone kahama iko vizuri,mara utasikia usiku kama mchana na blaa blaa kibao za hivyo lakini kwenye kila aspect Kahama ni hovyo sana kulinganisha na NjombeKuna miji watu wanaichukukia Poa sana, mtu akipita tu akiwa safari tayari huo mji anaujua sana.
Kahama ni Mji uliochangamka sana na Njombe ni Mji uliojengeka vizuri hata ukubwa.
Kahama fananisha na Mnafunga na Makambako japo Kahama Wapo juu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe sijalinganisha ila nasema kanda ya ziwa sio pakame labda kama hujui maana ya ukame, kusini kunamvua nyingi kuliko kanda ya ziwa ila kanda ya ziwa sio pakame, hiyo misimu ya shidashida hujitokeza mara moja moja yaani ni kama huko kwenu imetokea mvua zimezidi sana, tarime, Serengeti, ngara, sengerema, geita, nk kote huko watu wanalima na kuvuna.Kwenye hiyo orodha toa Kagera tuu,the rest ni pata potea,kunyesha kukauka..Nimeishi mwanza mara kadhaa mvua zinanyesha watu wakipanda zinakata njiani wakati mimea bado kukomaa sio kwamba hazinyeshi kabisa..Hali kama hiyo huwezi ikuta Nyanda za juu kusini
Hata mwaka huu mvua zimenyesha sana nchi nzima lakini kutokana na mazingira yenu ya tambarare kuna mafuriko kila kona huko kwenu tofauti na kusini ambako maji yana mikondo yake ya mabonde hatujapata hizo shida kama kwenu huko na ukanda wa Pwani..Huko ni maeneo hovyo kabisa ya Kuishi
Sorry kanda ya ziwa ni kubwa mno.Millions of watu wamerundikana hapa mjini ili kujikimu simply mengi ya maeneo ya kanda ya ziwa yaliyosalia sio liveabe,ukame wa mara kwa mara na njaa ..Kanda hii,Kati na Pwani ndio mnaongoza kwa umaskini na kuishi kwenye tembe.Ndio maana si ajabu kukuta Miji michache sana imeendelea na maeneo mengi ni hovyo kabisa
Hali kama hii huwezi ikuta Nyanda za juu Kusini,,Kuanzia Ilula hadi Tunduma,all the way to Sumbawanga ni miji na vijiji vilivyoendelea..Kuanzia Makambako hadi Songea to mbamba bay huwezi kuta tembe na waganga njaa wanaozurura na kulundikana miji michache kama kanda ya ziwa
Sidhan kama ulishawahi kutembelea uhayan huko bukoba Kanda ya ziwa. Mpaka huon aibu kuandika haya.Millions of watu wamerundikana hapa mjini ili kujikimu simply mengi ya maeneo ya kanda ya ziwa yaliyosalia sio liveabe,ukame wa mara kwa mara na njaa ..Kanda hii,Kati na Pwani ndio mnaongoza kwa umaskini na kuishi kwenye tembe.Ndio maana si ajabu kukuta Miji michache sana imeendelea na maeneo mengi ni hovyo kabisa
Hali kama hii huwezi ikuta Nyanda za juu Kusini,,Kuanzia Ilula hadi Tunduma,all the way to Sumbawanga ni miji na vijiji vilivyoendelea..Kuanzia Makambako hadi Songea to mbamba bay huwezi kuta tembe na waganga njaa wanaozurura na kulundikana miji michache kama kanda ya ziwa
Ameshaitoa kagera kwenye list na mim mwanzon nilishangaa alipo-generalizeSidhan kama ulishawahi kutembelea uhayan huko bukoba Kanda ya ziwa. Mpaka huon aibu kuandika haya.
Nyumba unazoziona mbezi beach sijui mikocheni ndo zimejaa huko bukoba migombani.
Kwa Tanzania kidogo watu wa Kilimanjaro ndo wanaweza kuongea Kwa kujilinganisha na bukoba Kwa vijijin upande wa makazi na huduma za kijamiiView attachment 1419602View attachment 1419603View attachment 1419604View attachment 1419605
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ameshaitoa bukoba nadhan yeye alitaka kusema kwa wasukuma but akashindwa kuwa specific akataja kanda ya ziwa ambayo kiukweli ni kubwa na weather ni tofautiSorry kanda ya ziwa ni kubwa mno.
Kuna Kagera(bukoba) ,Geita ,mwanza,mara,NK
Unaposema bukoba pakame wakati ndo wilaya inayoongoza Kwa mvua tz unashangaza.halafu unasema nyumba za tembe .sijui kama ulishawahi ona vijiji vya wahaya? Huko bukoba au muleba Kagera.
Mfano tu huko bukoba vijijin.
Hapa ni kijiji cha kabulala kata ya buganguzi wilaya ya muleba Kagera kanda ya ziwaView attachment 1419587View attachment 1419588View attachment 1419590View attachment 1419591View attachment 1419592View attachment 1419595
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu hapa kumpata mtu wa kukubali kushindwa sio rahis
Acha kukurupuka,nilisha exclude mkoa wa Kagera ila huko kwingine ni matopeni tuuSidhan kama ulishawahi kutembelea uhayan huko bukoba Kanda ya ziwa. Mpaka huon aibu kuandika haya.
Nyumba unazoziona mbezi beach sijui mikocheni ndo zimejaa huko bukoba migombani.
Kwa Tanzania kidogo watu wa Kilimanjaro ndo wanaweza kuongea Kwa kujilinganisha na bukoba Kwa vijijin upande wa makazi na huduma za kijamiiView attachment 1419602View attachment 1419603View attachment 1419604View attachment 1419605
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kiherehere mkurupuko,nilisha exclude mkoa wa Kagera in general ila the rest ni matopeni tuuSorry kanda ya ziwa ni kubwa mno.
Kuna Kagera(bukoba) ,Geita ,mwanza,mara,NK
Unaposema bukoba pakame wakati ndo wilaya inayoongoza Kwa mvua tz unashangaza.halafu unasema nyumba za tembe .sijui kama ulishawahi ona vijiji vya wahaya? Huko bukoba au muleba Kagera.
Mfano tu huko bukoba vijijin.
Hapa ni kijiji cha kabulala kata ya buganguzi wilaya ya muleba Kagera kanda ya ziwaView attachment 1419587View attachment 1419588View attachment 1419590View attachment 1419591View attachment 1419592View attachment 1419595
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko kote ni semi arid,mvua kiduchi na zisizo na uhakika..nimetoa mfano unaweza lima msimu wa mvua za vuli huwa zunaanza wa tisa by february au january zinakata mazima wakati mazao bado,ko huwa kuna maisha ya kubahatisha sana kwenye kilimo tofautti na Nyanda za juu kusini,haijawahi tokea mvua kufeliMimi mwenyewe sijalinganisha ila nasema kanda ya ziwa sio pakame labda kama hujui maana ya ukame, kusini kunamvua nyingi kuliko kanda ya ziwa ila kanda ya ziwa sio pakame, hiyo misimu ya shidashida hujitokeza mara moja moja yaani ni kama huko kwenu imetokea mvua zimezidi sana, tarime, Serengeti, ngara, sengerema, geita, nk kote huko watu wanalima na kuvuna.