kahama ni big business hub kwa watu wa shy,kigoma bukoba mtukula,tabora,na sehemu nyingi hasa nchi jirani hata kabla ya buzwagi,khm ilikuwa inapeperuka kibiashara hasa wakati ule barabara ilipokuwa mbovu na kutumia bandari kavu Isaka...kahama imetenga eneo jipya la viwanda baada ya lile la mwanzo kujaa(bukondamoyo) kwenda mwendakulima mondo....ukuaji na upimaji wa mji ni wa kazsi ni marachache kukuta ujenzi holela japo barabara bado sana..haitegemei madini hata wakati migodi ikifungwa mambo huendelea...kasi ya ukuaji wake umefanya kuzalishwa kwa halmashauri tatu zinazojisimamia zenewe ushetu, msalala na mji...vyote hapo juu nililkuwa naelezea halmashauri ya mji kahama..sio wilaya yyote....angalia grafu za nbs na takwimu za tra utajua wapi fursa inaangaza zaidi....