Acha kiherehere mkurupuko,nilisha exclude mkoa wa Kagera in general ila the rest ni matopeni tuu
But uliponiquote hukuiexclude ndo maana nilireplyAcha kukurupuka,nilisha exclude mkoa wa Kagera ila huko kwingine ni matopeni tuu
Huku kuna mvua za kistaarabu sio mvua za kipuuzi za kusini ambazo hazina pozi, Wakenya wanakuja kila mwaka hapa mabatini kusomba mchele unafikiri unatokea wapi!Huko kote ni semi arid,mvua kiduchi na zisizo na uhakika..nimetoa mfano unaweza lima msimu wa mvua za vuli huwa zunaanza wa tisa by february au january zinakata mazima wakati mazao bado,ko huwa kuna maisha ya kubahatisha sana kwenye kilimo tofautti na Nyanda za juu kusini,haijawahi tokea mvua kufeli
Za kistaarabu ndio hizo mumeogelea kwenye mafuriko mwaka huu kama vyura.Umesikia wapi Nyanda za juu huku kuna mafuriko? Huku kuna mabonde ambayo ni mikondo ya maji ya asili na hatujengi mabondeni au tambarare kama huko kwenuHuku kuna mvua za kistaarabu sio mvua za kipuuzi za kusini ambazo hazina pozi, Wakenya wanakuja kila mwaka hapa mabatini kusomba mchele unafikiri unatokea wapi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunashindanisha miji ya Njombe/Mafinga vs Kahama na sio mkoa.Kimkoa tayari mkoa wa Njobe ni mikoa top 5 iliyoendelea na yenye watu wenye pesa na maisha mazuri kuliko huko machimboni kanda ya ziwaOgopa wilaya inayo-shindanishwa na baaz ya mikoa...
Najua unajua nazungumzia wilaya gan
...
Umejitahidi kuelezea kwa logic but kwa nini haipewi hadhi ya Manispaa?kahama ni big business hub kwa watu wa shy,kigoma bukoba mtukula,tabora,na sehemu nyingi hasa nchi jirani hata kabla ya buzwagi,khm ilikuwa inapeperuka kibiashara hasa wakati ule barabara ilipokuwa mbovu na kutumia bandari kavu Isaka...kahama imetenga eneo jipya la viwanda baada ya lile la mwanzo kujaa(bukondamoyo) kwenda mwendakulima mondo....ukuaji na upimaji wa mji ni wa kazsi ni marachache kukuta ujenzi holela japo barabara bado sana..haitegemei madini hata wakati migodi ikifungwa mambo huendelea...kasi ya ukuaji wake umefanya kuzalishwa kwa halmashauri tatu zinazojisimamia zenewe ushetu, msalala na mji...vyote hapo juu nililkuwa naelezea halmashauri ya mji kahama..sio wilaya yyote....angalia grafu za nbs na takwimu za tra utajua wapi fursa inaangaza zaidi....
[emoji109][emoji109]kahama ni big business hub kwa watu wa shy,kigoma bukoba mtukula,tabora,na sehemu nyingi hasa nchi jirani hata kabla ya buzwagi,khm ilikuwa inapeperuka kibiashara hasa wakati ule barabara ilipokuwa mbovu na kutumia bandari kavu Isaka...kahama imetenga eneo jipya la viwanda baada ya lile la mwanzo kujaa(bukondamoyo) kwenda mwendakulima mondo....ukuaji na upimaji wa mji ni wa kazsi ni marachache kukuta ujenzi holela japo barabara bado sana..haitegemei madini hata wakati migodi ikifungwa mambo huendelea...kasi ya ukuaji wake umefanya kuzalishwa kwa halmashauri tatu zinazojisimamia zenewe ushetu, msalala na mji...vyote hapo juu nililkuwa naelezea halmashauri ya mji kahama..sio wilaya yyote....angalia grafu za nbs na takwimu za tra utajua wapi fursa inaangaza zaidi....
Pamoja na hayo nataka kujua ,Mfano mji wa Geita kwa miaka ya hivi karibuni umekuwa ukikusanya mapato ya ndani makubwa sawa na Manispaa ya Kigamboni wastani wa 8 bln kila mwaka na inaipita Kahama mbali tuu lakini mbona sisikii Geita ikiitwa bussiness hub kwa mantiki hiyo?kahama ni big business hub kwa watu wa shy,kigoma bukoba mtukula,tabora,na sehemu nyingi hasa nchi jirani hata kabla ya buzwagi,khm ilikuwa inapeperuka kibiashara hasa wakati ule barabara ilipokuwa mbovu na kutumia bandari kavu Isaka...kahama imetenga eneo jipya la viwanda baada ya lile la mwanzo kujaa(bukondamoyo) kwenda mwendakulima mondo....ukuaji na upimaji wa mji ni wa kazsi ni marachache kukuta ujenzi holela japo barabara bado sana..haitegemei madini hata wakati migodi ikifungwa mambo huendelea...kasi ya ukuaji wake umefanya kuzalishwa kwa halmashauri tatu zinazojisimamia zenewe ushetu, msalala na mji...vyote hapo juu nililkuwa naelezea halmashauri ya mji kahama..sio wilaya yyote....angalia grafu za nbs na takwimu za tra utajua wapi fursa inaangaza zaidi....
Za kistaarabu ndio hizo mumeogelea kwenye mafuriko mwaka huu kama vyura.Umesikia wapi Nyanda za juu huku kuna mafuriko? Huku kuna mabonde ambayo ni mikondo ya maji ya asili na hatujengi mabondeni au tambarare kama huko kwenu
Mvua za ustaarabu ndio hizo zinawatia njaa na ukame kila mwaka,vueni tu samaki mle na chimbeni dhahabu mkaange mkuu itawatoa
Kufananisha kahama na mufindi ni dharau...
Kahama wako vzur ase...
msidanganyane hapa
...
Waambie haoKwa kifupi kanda ya ziwa kulishakucha zamani huwezi kulinganisha na huko kusini ambako ndo kwanza bado saa 8:00 usiku wa manane hata jogoo hajawika.
Sent using Jamii Forums mobile app