ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #1,121
Ndugu hapa tunazungumzia wapi kwani? Magorofa yapo mengi tu Mafinga na Njombe kupita KahamaWapi huko kwenye maghorofa😆😆
Kwa maana ya towns council Kahama town(6.2 bln) iko juu lakini kwa maana ya mapato ya Wilaya nzima yaani Mafinga town(4.2bln) na Mufindi DC(4.5bln),Mapato ni Mengi kushinda Kahama,pia TRA inakusanya mapato Mengi Wilaya ya Mufindi kuliko Kahama,hizo takwimu ni za 2018/2019 kwa mapato ya Ndani ya HalmashauriBasi tuachane na Ilala maana umeshindwa kuleta takwimu .......
Lini Mafinga ilikuwa juu Kahama kwa kukusanya mapato mengi tuanze hapa kwanza
Tunalinganisha kwa porojo na mihemko kama yako au kwa facts mkuu? Weka facta acha porojo sisi tumeweka facts,unaposema wako juu ,ni juu kwa lipiKufananisha kahama na mufindi ni dharau...
Kahama wako vzur ase...
msidanganyane hapa
...
Yaani kwa hizo parameters zote Kahama ni chalii,ila utasikia wasukuma wakikwambia khm iko juu kwa hisia,haaaaNarudia, niliweka hizi parameters ambazo kama mtu mwenye akili lazima aziorodheshe kama viashiria vya Maendeleo,
1.Makazi ya Watu
2. Huduma za Elimu
3.Upatikanaji wa Huduma za Afya
4.Miundombinu ya Barabara
5. Huduma za Umeme na Maji safi kwa wananchi
6. Mazingira na Hali ya hewa
7.Viwanda
Prove me wrong kama kuna hata moja kati ya hayo Kahama imezidi Mufindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasukuma watakwambia Gold city,onyesheni sasa pesa za golg zinakokwenda,blaaa blaaa ,yaani hao ni hovyo kabisa,hapa wanapita kimya kimyaMufindi district
Mambo ya Viwanda sasaView attachment 1423077View attachment 1423078
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakwambia hapa ni Edmonton Canada,haaa jameni tembeeni Muone utamu wa Nyanda za Juu Kusini,Eden
Hapa sio Ulaya ni Mufindi,hali hii yote utaikuta pia kuanzia Makambako hadi Njombe..Mechanised farming..Nyie endeeni kupauka huko mashimoni Kahama
Wasukuma walivyo washamba hawakawii kukwambia hapa ni SwitzerlandUtalii Mufindi View attachment 1423115View attachment 1423117View attachment 1423119
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kufananisha Mafinga na mavumbi ya Kahama..Wasukuma chukueni hizi picha muweke kwenye pc na smart zenuUnakuta mtu anafanamisha mufindi na Machimboni, yaani unafanamisha Paradise na Sehemu za hovyo za Magulio
View attachment 1423122View attachment 1423123View attachment 1423124
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwaambia lete picha hata moja ya kahama nje mji hutawaona maana kumejaa uchafu wa vibanda vya tembe vya kutunzia sururu za migodini
True amazing place,we all welcome the sukumas so that they clean away the garbage enclosed in their poor brains
We Mkuu kwa nyundo hizi umekimbiza mikia ya ng"ombe ya wasukuma at last uzi ustackWenyeji wa huku hata hawana shida, no bragging ingawa kiasi mambo si haba,
Kilimo Never disappoint, tunafanya kweli View attachment 1423177View attachment 1423178View attachment 1423179View attachment 1423180View attachment 1423181View attachment 1423182View attachment 1423184
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umepanic wakat ndo mwanzo tu wa nyundo ulizopewa,pole sana ila hapa hatuongei blaa blaa na porojo ila facts with evidences kama tulivyoziwasilishaHili jitu linateseka sana na Kanda ya ziwa. Nawapa pole mnaopoteza muda kujibishana na taahira. Hiyo Njombe yake na Mafinga tunayafahamu sana hayo maeneo. Hakuna chochote cha maana cha kumfanya mtu akaishi huko kwenye umande kama nyani. Kwa kukosa kwake ufahamu halielewi kwamba dhahabu ni volcanic huwa haiishi bali hupungua kisha kuzaana. Liache lisubiri sana kwamba dhahabu itaisha kanda ya ziwa mpaka litakufa litaiacha dhabu ipo kanda ya ziwa. Nawashauri msibishane na taahira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue ushamba na ujinga wa hawa herders ndio unawasumbua,hadi sasa wameshindwa ku justify na kutetea mji wao..Ni vyema kutofautisha Mji na machimboKahama
Ina machimbo ya Madini dhahabu karibu kabisa na mji. Lakini ina lack infrastructure zake za kimtaa.
Kahama haijatanuka sana kwa maana ya ukuaji.
Kahama inategemea 98% madini tu.
Mafinga
Ni mji unao kua kwa kasi sana na umepanuka sana
Toka lungemba ,kinyanambo, mafinga,sabasaba,changalawe, donbosko,jeshini, mpaka makalala kote huko mji umeungana. Ukiangalia mji umepimwa vizuri sana sio kama pale kahama. Majengo yao ni bora na ya kiushindani
Wanategemea nini mafinga?
Viwanda hasa mbao nyingi sana kumbukeni mbao ndizo zinatoka hapo na kusambazwa africa mashariki na kati saohil.
Pareto kiwanda kikubwa kipo hapo
Chai kiwanda kipo pale
Mchele toka madibila unaletwa hapo na kukobolewa tayari kitawanywa tanzania
Kilimo cha mahindi
Kwahiyo Mafinga ni eneo sahihi kukaa maisha ni very cheap. Ila kuna baridi sana.
Njombe ni mkoa unaochukua makambako na maeneo mengine . Hatuwezi kujadili level ya mkoa
Nguvu kubwa ipi kwani kila siku husomi takwimu za serikali kuhusu umaskini wa huko usukumani na ustawi wa Nyanda za Juu? picha zinasadifu,hiyo Dom unayoitaja ni sawa tu na huko kwenu,uchumi haujashikiliwa na wenyeji tofauti na Mafinga au NjombeUnatumia nguvu kubwa sana... kuaminisha watu, we unahs watu hawajawah kufika huko mufindi
Ukiona picha za dodoma zilivyo na ukifika dodoma ni tofaut kwahyo acha kupumbaza watu.
...
We Mkuu kwa nyundo hizi umekimbiza mikia ya ng"ombe ya wasukuma at last uzi ustack
We want things happen on grounds sio wishful thinking na porojo mkuu..Tukianza kutaja kilichopangwa kwa kila mji hutoweza kuhimili.Tunduma pale pamejaa ma yard na malori mara kumi ya huko Kahama lakini Tunduma sio mji bora kupita Kahama au TundumaNa hii SGR italeta balaa sana.
Kuna maeneo ya logistic centers tatu tayari yametengwa.
Kutokana na hizo nchi mbili kutoaminika sana kwenye suala la amani,Khm ina nafasi kubwa kupata viwanda vinavyolenga soko la Rwanda na Burundi.
Ndio maana ya utofauti wa miji ya magulioni na wastaarabu,kwa hoja yako ni dhahiri huku kuna tabaka la wenye pesa tofauti na uswahili wa huko migodiniAisee nimezaliwa mufindi na nimeishi huko for 25yrs...maisha ya mufindi ni marahisi kwa wale matop layer...wenyej wa huko ni maskini...tofauti ya huku na huko huko nyumba ni bora...ila mfukoni kugumu...mtu aachuma chai mwishoo wa mwezi anapokea 40!zot zimekatwa madeni...huku hata maskini akiamua 40 kwa siku moja anaipata! Jiulize umewah sikia bek 3anatoka mitaa ya madini? Never.beki 3 wanatoka huko...! Kifupi ukitaka kusikia definition ya tabaka la wenye nacho na wasio nacho ni huko!..huko wazungu na mameneja na maasst manager ndo wanahela...labda na wenye biasharq za mbao!...
Ndio maana ya utofauti wa miji ya magulioni na wastaarabu,kwa hoja yako ni dhahiri huku kuna tabaka la wenye pesa tofauti na uswahili wa huko migodini