Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Basi tuachane na Ilala maana umeshindwa kuleta takwimu .......
Lini Mafinga ilikuwa juu Kahama kwa kukusanya mapato mengi tuanze hapa kwanza
Kwa maana ya towns council Kahama town(6.2 bln) iko juu lakini kwa maana ya mapato ya Wilaya nzima yaani Mafinga town(4.2bln) na Mufindi DC(4.5bln),Mapato ni Mengi kushinda Kahama,pia TRA inakusanya mapato Mengi Wilaya ya Mufindi kuliko Kahama,hizo takwimu ni za 2018/2019 kwa mapato ya Ndani ya Halmashauri
 
Kufananisha kahama na mufindi ni dharau...

Kahama wako vzur ase...

msidanganyane hapa

...
Tunalinganisha kwa porojo na mihemko kama yako au kwa facts mkuu? Weka facta acha porojo sisi tumeweka facts,unaposema wako juu ,ni juu kwa lipi
 
Narudia, niliweka hizi parameters ambazo kama mtu mwenye akili lazima aziorodheshe kama viashiria vya Maendeleo,

1.Makazi ya Watu
2. Huduma za Elimu
3.Upatikanaji wa Huduma za Afya
4.Miundombinu ya Barabara
5. Huduma za Umeme na Maji safi kwa wananchi
6. Mazingira na Hali ya hewa
7.Viwanda
Prove me wrong kama kuna hata moja kati ya hayo Kahama imezidi Mufindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kwa hizo parameters zote Kahama ni chalii,ila utasikia wasukuma wakikwambia khm iko juu kwa hisia,haaaa
 
Hili jitu linateseka sana na Kanda ya ziwa. Nawapa pole mnaopoteza muda kujibishana na taahira. Hiyo Njombe yake na Mafinga tunayafahamu sana hayo maeneo. Hakuna chochote cha maana cha kumfanya mtu akaishi huko kwenye umande kama nyani. Kwa kukosa kwake ufahamu halielewi kwamba dhahabu ni volcanic huwa haiishi bali hupungua kisha kuzaana. Liache lisubiri sana kwamba dhahabu itaisha kanda ya ziwa mpaka litakufa litaiacha dhabu ipo kanda ya ziwa. Nawashauri msibishane na taahira.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umepanic wakat ndo mwanzo tu wa nyundo ulizopewa,pole sana ila hapa hatuongei blaa blaa na porojo ila facts with evidences kama tulivyoziwasilisha
Dhahabu gani isiyowasaidia mnapauka tuu huko? umaskini umejaa huko magulioni pole sana vumilia tuu ukweli lazima usemwe tuu
 
Kahama
Ina machimbo ya Madini dhahabu karibu kabisa na mji. Lakini ina lack infrastructure zake za kimtaa.
Kahama haijatanuka sana kwa maana ya ukuaji.
Kahama inategemea 98% madini tu.


Mafinga
Ni mji unao kua kwa kasi sana na umepanuka sana
Toka lungemba ,kinyanambo, mafinga,sabasaba,changalawe, donbosko,jeshini, mpaka makalala kote huko mji umeungana. Ukiangalia mji umepimwa vizuri sana sio kama pale kahama. Majengo yao ni bora na ya kiushindani

Wanategemea nini mafinga?
Viwanda hasa mbao nyingi sana kumbukeni mbao ndizo zinatoka hapo na kusambazwa africa mashariki na kati saohil.
Pareto kiwanda kikubwa kipo hapo
Chai kiwanda kipo pale
Mchele toka madibila unaletwa hapo na kukobolewa tayari kitawanywa tanzania
Kilimo cha mahindi
Kwahiyo Mafinga ni eneo sahihi kukaa maisha ni very cheap. Ila kuna baridi sana.

Njombe ni mkoa unaochukua makambako na maeneo mengine . Hatuwezi kujadili level ya mkoa
Ujue ushamba na ujinga wa hawa herders ndio unawasumbua,hadi sasa wameshindwa ku justify na kutetea mji wao..Ni vyema kutofautisha Mji na machimbo
 
Unatumia nguvu kubwa sana... kuaminisha watu, we unahs watu hawajawah kufika huko mufindi

Ukiona picha za dodoma zilivyo na ukifika dodoma ni tofaut kwahyo acha kupumbaza watu.



...
Nguvu kubwa ipi kwani kila siku husomi takwimu za serikali kuhusu umaskini wa huko usukumani na ustawi wa Nyanda za Juu? picha zinasadifu,hiyo Dom unayoitaja ni sawa tu na huko kwenu,uchumi haujashikiliwa na wenyeji tofauti na Mafinga au Njombe
Kwa mantiki hiyo anaetumia nguvu ni wewe ambaye huna facts ili udanganye wasiojua kuja kupauka na kuishi maisha ya hovyo hovyo huko usukumani
 
Na hii SGR italeta balaa sana.

Kuna maeneo ya logistic centers tatu tayari yametengwa.

Kutokana na hizo nchi mbili kutoaminika sana kwenye suala la amani,Khm ina nafasi kubwa kupata viwanda vinavyolenga soko la Rwanda na Burundi.
We want things happen on grounds sio wishful thinking na porojo mkuu..Tukianza kutaja kilichopangwa kwa kila mji hutoweza kuhimili.Tunduma pale pamejaa ma yard na malori mara kumi ya huko Kahama lakini Tunduma sio mji bora kupita Kahama au Tunduma
 
Aisee nimezaliwa mufindi na nimeishi huko for 25yrs...maisha ya mufindi ni marahisi kwa wale matop layer...wenyej wa huko ni maskini...tofauti ya huku na huko huko nyumba ni bora...ila mfukoni kugumu...mtu aachuma chai mwishoo wa mwezi anapokea 40!zot zimekatwa madeni...huku hata maskini akiamua 40 kwa siku moja anaipata! Jiulize umewah sikia bek 3anatoka mitaa ya madini? Never.beki 3 wanatoka huko...! Kifupi ukitaka kusikia definition ya tabaka la wenye nacho na wasio nacho ni huko!..huko wazungu na mameneja na maasst manager ndo wanahela...labda na wenye biasharq za mbao!...
Ndio maana ya utofauti wa miji ya magulioni na wastaarabu,kwa hoja yako ni dhahiri huku kuna tabaka la wenye pesa tofauti na uswahili wa huko migodini
 
Ndio maana ya utofauti wa miji ya magulioni na wastaarabu,kwa hoja yako ni dhahiri huku kuna tabaka la wenye pesa tofauti na uswahili wa huko migodini


😅😅😅...huko gunia la viazi unachukua (let say kwa 40)...unalipeleka dar..tuseme unaweza pata 20@....sasa huku wenzako wanatengeneza kuanzia 50-80@! Tena huyo ni yule asie na mtaji...!
Sema utofauti huko wanaiheshim hela sio huku...!
 
Back
Top Bottom