Weka wazi kabisa na kuna bank zenye branch zaidi ya moja hapo hapo Kahama mjiniKahama ndio wilaya yenye uchumi mkubwa kuliko wilaya zote tanzania na mikoa kadhaa,kahama kuna bank nane kwahiyo kwa hilo tu utaona mzunguko wa kibiashara uko juu.
Kukuta bank kama DTB,BOA wako jua kuna kituo wameona,ukiacha hao crdb,nmb,nbc,tpb,access bank wote wapo kahama
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo atakua anasifia kwao,ila kiukweli kahama inazidi mikoa ya kusini kimapato plus mzunguko wa pesa,geita haina uchumi wa kahama hata nusuKwa hiyo unataka waache kujenga eti kisa Mafinga kipo cha nguzo za tanesco? Au una maanisha nini?
We jamaa punguza wivu [emoji23]
Uzi ulikuwa ushakuwa mrefu... Kumbe awakujua wanaringanisha mwanaume na mvulana!Kahama ndio wilaya yenye uchumi mkubwa kuliko wilaya zote tanzania na mikoa kadhaa,kahama kuna bank nane kwahiyo kwa hilo tu utaona mzunguko wa kibiashara uko juu.
Kukuta bank kama DTB,BOA wako jua kuna kituo wameona,ukiacha hao crdb,nmb,nbc,tpb,access bank wote wapo kahama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue ushamba na ujinga wa hawa herders ndio unawasumbua,hadi sasa wameshindwa ku justify na kutetea mji wao..Ni vyema kutofautisha Mji na machimbo
We fika tu, TAMISEMI inaitambua miji mitatu tu iliyokidhi hadhi ya kuwa Manispaa Tanzania nzima ambayo ni Kahama, Geita na Kibaha na kigezo kimoja wapo ni uwezo wa mji kujitosheleza kimapato kwa zaidi ya 70%. Mkome kulinganisha Kahama na vitu vya kijinga, Kahama sio level za Njombe/ Mafinga labda mjilinganishe na kata ya Kagongwa.Mimi nimefika kahama several times ni mji wa hovyo sana.
Yaani ukitoa madini yanayokwisha labda pamba nayo walimaji wamekata tamaa kabisa.
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi linganisha Mfundi na kahama hata kidogo
Labda alinganishe kahama na kilindi au kiteto au wilaya ya mvomelo lakini sio mufindi
We fika tu, TAMISEMI inaitambua miji mitatu tu iliyokidhi hadhi ya kuwa Manispaa Tanzania nzima ambayo ni Kahama, Geita na Kibaha na kigezo kimoja wapo ni uwezo wa mji kujitosheleza kimapato kwa zaidi ya 70%. Mkome kulinganisha Kahama na vitu vya kijinga, Kahama sio level za Njombe/ Mafinga labda mjilinganishe na kata ya Kagongwa.
We fika tu, TAMISEMI inaitambua miji mitatu tu iliyokidhi hadhi ya kuwa Manispaa Tanzania nzima ambayo ni Kahama, Geita na Kibaha na kigezo kimoja wapo ni uwezo wa mji kujitosheleza kimapato kwa zaidi ya 70%. Mkome kulinganisha Kahama na vitu vya kijinga, Kahama sio level za Njombe/ Mafinga labda mjilinganishe na kata ya Kagongwa.
Wacha kulinganisha dhahabu na vitu vya kijinga Mkuu, utachekwaaaTamisemi yawezekana kuna bias sana.
Wewe kwa akili zako zaidi ya dhahabu kitu gani kinaingizia pato la Taifa toka kahama?
Mimi nakutajia Mufindi
1. Mbao
2. Magogo
3. Pareto
4. Chai
5. Mchele
6. Mahindi
Kesho kahama ni Municipal council na Njombe collabo Mufindi bado ni Town council hamjafikiliwa yaani. TAMISEMI wakaiona Kibaha ni bora iwe Municipal concil kuliko Njombe collabo Mufindi?????? Nyie level yenu kata ya Kagongwa tu,Nimechunguza pia level yako ya uelewa alafu inaonesha ulipitolewa moshi kule kishumundu ukawekwa pale kahama kuuza simu ndio maana tunapata taabu sana kukuelewesha.
Kweli mtu ufia chake! Yani unaringanisha dhahabu na kitu unachoweza kukipata popote? nani akitaka magogo au mahindi anaweza kukosa? Dhahabu ni urithi asilia na hailimwi bali utafutwa! ndo maana unaona wazungu wakija kuifata... kwanini wasilime kwao kama mahindi na wao wakawa nayo?Tamisemi yawezekana kuna bias sana.
Wewe kwa akili zako zaidi ya dhahabu kitu gani kinaingizia pato la Taifa toka kahama?
Mimi nakutajia Mufindi
1. Mbao
2. Magogo
3. Pareto
4. Chai
5. Mchele
6. Mahindi
Wacha kulinganisha dhahabu na vitu vya kijinga Mkuu, utachekwaaa
Toka waseme kahama akuna shule nkashituka... nkajua najibishana na watu wasio ijua Kahama, Kahama kuna shule zinapokea wanafunzi kutoka nchi zingine za east East Africa acha tz pekee, Kama Rocken Hill Academy na Kwema Primary ambayo iliwahi kuwa ya Kwanza kitaifa kabisa, halafu mtu anasema akuna ata shule huko, utamjibuje sasa?
Toka waseme kahama akuna shule nkashituka... nkajua najibishana na watu wasio ijua Kahama, Kahama kuna shule zinapokea wanafunzi kutoka nchi zingine za east East Africa acha tz pekee, Kama Rocken Hill Academy na Kwema Primary ambayo iliwahi kuwa ya Kwanza kitaifa kabisa, halafu mtu anasema akuna ata shule huko, utamjibuje sasa?
Kahama ndio wilaya yenye uchumi mkubwa kuliko wilaya zote tanzania na mikoa kadhaa,kahama kuna bank nane kwahiyo kwa hilo tu utaona mzunguko wa kibiashara uko juu.
Kukuta bank kama DTB,BOA wako jua kuna kituo wameona,ukiacha hao crdb,nmb,nbc,tpb,access bank wote wapo kahama
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo atakua anasifia kwao,ila kiukweli kahama inazidi mikoa ya kusini kimapato plus mzunguko wa pesa,geita haina uchumi wa kahama hata nusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimefika kahama several times ni mji wa hovyo sana.
Yaani ukitoa madini yanayokwisha labda pamba nayo walimaji wamekata tamaa kabisa.
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi linganisha Mfundi na kahama hata kidogo
Labda alinganishe kahama na kilindi au kiteto au wilaya ya mvomelo lakini sio mufindi
🤣🤣🤣🤣! Tulishampa ushindi...!
Hulda-Tamarri acha kubishana naye...mtu nikiona anaandika "ko" naonaga ana shida tayari upstairs!...umri huo unaandika "ko"... Stands for??
We fika tu, TAMISEMI inaitambua miji mitatu tu iliyokidhi hadhi ya kuwa Manispaa Tanzania nzima ambayo ni Kahama, Geita na Kibaha na kigezo kimoja wapo ni uwezo wa mji kujitosheleza kimapato kwa zaidi ya 70%. Mkome kulinganisha Kahama na vitu vya kijinga, Kahama sio level za Njombe/ Mafinga labda mjilinganishe na kata ya Kagongwa.
Hapa mjadala umefungwa rasmi.Watu wangu wa Njombe asanteni kwa ushiriki wenu kwenye hii thread, ningependa kuhitimisha mada hii kwa kuja taarifa kutoka kwa Waziri wa Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa TAMISEMI ,Mhe.Seleman Jafo. Tanzania nzima maeneo yaliyokizi vigezo vya kuwa Manispaa ni matatu tu.
Waziri wa TAMISEMI Mhe.Seleman Jafo amesema Serikali inatambua maeneo matatu hapa nchini ambayo serikali ipo katika mchakato wa kupandisha hadhi kuwa Manispaa kutokana na kukidhi vigezo vya kujitosheleza kimapato.
Mhe.Jafo ameyataja maeneo hayo kuwa ni pamoja na halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga,Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoani Pwani na Halmashauri ya mji wa Geita mkoani Geita na muda wowote kuanzia sasa maeneo hayo yatapandishwa hadhi kuwa Manispaa pindi mchakato utakapokamilika.
Na kwa taarifa yenu kwa kanda ya ziwa baada ya Mwanza Jiji (Rock city) mji unaofuata kwa shughuli za kibiashara ni Kahama mjini yaani hata Geita mji, Bukoba mji, Shinyanga Mji na Musoma mji, Bariadi mji (Simiyu) wanasubiri sana.
MKOME KULIGANISHA DHAHABU NA MISITU
Kahama VS Njombe/Mafinga - JamiiForums
View attachment 1424014
Mngekuwa nayo mngekuwa mnapost mashambaNdugu hapa tunazungumzia wapi kwani? Magorofa yapo mengi tu Mafinga na Njombe kupita Kahama