Sema kabisa dhahabu na wasukuma tu halafu ya kwao ya kusafirishia mchicha.....Ahahahahahaa Njombe weeeeeeeeeeWenzako wanasafirisha dhahabu nje wewe unakuja kulingishia kusafirisha michicha ya hamsini hamsini hapa!![emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu upuuzi ni njombe, Ni pakisolo sana napajua.Yaani wewe ni matobolwa kabisa mbona nimeweka picha nyingi sana zikiwemo za aeria? hadi sasa mnazungusha ulimi tu hata photos hakuna
Wewe piga domo la mkosaji wee,mimi nakupa namba tuu,soma hiyo hapo chini kutoka TRA
Kahama mji vs Mafinga mji ni ngapi? Make mada yako inahusu miji, haya sema ni ngapi?Mufindi DC+Mafinga TC=8.7bln,Kahama 6.2bln[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
weka picha za kahama pa kijanja acha kubwabwaja tuu mkuu
Ndo hivyo mkuu kula dhahabu upone corona π πππWenzako wanasafirisha dhahabu nje wewe unakuja kulingishia kusafirisha michicha ya hamsini hamsini hapa!![emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa ya dhahabu inaenda wapi mbona mnanuka umaskini sisi wenye michicha tunapeta tuu mjini hapaSema kabisa dhahabu na wasukuma tu halafu ya kwao ya kusafirishia mchicha.....Ahahahahahaa Njombe weeeeeeeeee
Tulia hivyo hvyo maana unakana kwenu,hiyo Iringa yako imebakia kutembelea nyota ya mafinga tuu saizi hakuna jipya hapo saiziMzee wa iringa..
nakaa kimya tu kwa heshima ya iringa na pia nisingependa battle maana Tz yote ni home kwangu.
Kahama naenda bila kulipa visa same na huko kusini mwa nchi..
Battle inaishaje sasa wakati ndugu zako wasukuma matorori na sululu waliokuposa wanaleta hadithi badala ya facts tunazowapa?Jamaa mtifuano mwema maana battle nyingi za moto zimepita kama ya dom vs moshi au mwanza vs arusha, ila yako naona bado hukubali iishe πππ
Hii ni part of fun nadhani ila all the best mnyalukolo
Wapi picha za gold city kahama? ππππKahama mji vs Mafinga mji ni ngapi? Make mada yako inahusu miji, haya sema ni ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukatoa dhahabu kwa mzungu akigundua dawa akukupa dawa ya corona, lakini hiyo michicha yenu hata barakoa huambulii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo hivyo mkuu kula dhahabu upone corona [emoji38] πππ
Hata nikiweka hutakiri hapa kwamba kahama ni zaidi ya njombe+mafinga bali utaendelea kupuyanga tu[emoji38][emoji38]weka picha za kahama pa kijanja acha kubwabwaja tuu mkuu
kwani ukisema hakuna picha za Kahama utapungua nini? π π π πHata nikiweka hutakiri hapa kwa kahama ni zaidi ya njombe+mafinga bali utaendelea kupuyanga tu[emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3]naona unarukaruka tu kama bisi kikaangoni, weka mapato ya kahama mji na ya mafinga mji hapa.Wapi picha za gold city kahama? ππππ
acha porojo ,wapi pesa ya dhahabu inaenda?Unaweza ukatoa dhahabu kwa mzungu akigundua dawa akukupa dawa ya corona, lakini hiyo michicha yenu hata barakoa huambulii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nirudie mara ngapi? nimeweka table za Halmashauri na TRA humu bado tu huelewi,sina cha kukusaidia mzee we tokota tuu kama uji wa mtama wa huko migodini[emoji3][emoji3]naona unarukaruka tu kama bisi kikaangoni, weka mapato ya kahama mji na ya mafinga mji hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliweka mufindi dc na kahama mji, sasa weka mafinga mji na kahama mji.Nirudie mara ngapi? nimeweka table za Halmashauri na TRA humu bado tu huelewi,sina cha kukusaidia mzee we tokota tuu kama uji wa mtama wa huko migodini
Zinakuja kuchukua dada zenu huko mabeki 3 wanaotufulia nguo za kutudekia mageto yetu, zingine tunawatumia bibi zenu pindi hawa mabeki 3 zetu wanapotuelezea maisha duni ya huko kwenu, siku hizi hadi tunawasomesha hawa dada zenu wakionyesha tabia njema.acha porojo ,wapi pesa ya dhahabu inaenda?
Picha zipo za kutosha.kwani ukisema hakuna picha za Kahama utapungua nini? π π π π