Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Njombe na Mafinga chalii kwa kahama, 🤣🤣yaani mji mmoja kahama umeigaragaza miji miwili njombe na mafinga. Ongezeni na Makambako mjaribu kusogeasogea kidogo.
Kusini pamesahaulika mno.
Wewe sasa unaleta utoto..Huko kanda ya ziwa hakuna miji ya kati ya kulinganisha na Mafinga,Njombe,Makambako,Tunduma,Vwawa/Mlowo,Chunya nk..Hiyo kanda yote inategemea Mwanza tuu,,hata hiyo mwanza yenyewe zaidi ya kujazwa na maskini haina chochote cha maana cha kuzidi jiji la mbeya,kama kipo kitaje
Ukija kwenye Miji ya manispaa,uchafu wa shinyanga,musoma,bukoba hauwezi hata kusogeza pua kwa Iringa,Songea au Sumbawanga..Watu wa huko mtasalia maskini na choka mbaya maisha yenu yote ndio maana mnaishi kwenye tembe
Barabara tu za lami mumepata kipindi cha mkapa mlikuwa wa shamba wa kupitiliza,hamna cha kujipiga kifua nyie manamba wa migodini,taja hapa kilichosahaulika basi badala ya blaa blaa na kujichekesha toka toka mwanzo bila facts
 
For Njombe region is better than Kahama due to the following factors:-
1.climate
2.hard working people
3.location......it found in high way of many regions such as Songea, mtwara,Lindi arc
4.it's economic growth.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tu kwa hizo sababu,nime weka hadi majedwali ya TRA hapo juu kote Njombe imeichakaza Kahama kwa revenues na still Njombe ni strategic region kwenye food na nishati/umeme..Kuna mabwawa 3 yako mbioni kujengwa kuzalisha umeme wa maji ,huku hakuna ukame kama huko Kahama
Hata hayo madini anayopiga kelele anasahau kwamba Ludewa(Liganga&Mchuchuma) kuna deposits kubwa sana ya chuma na makaa ya mawe,hapo hakuna cha wachimbaji wa sululu ni heavy duty plants ndio zitatumika ndio maana serikali iko makini kujadiliana na muwekezaji wa kichina na hivi tunavyoongea barabara ya asphalt inajengwa kuelekea huko
Hatuongei blaa blaa kama wasukuma ila tunawapa facts za serikalini
 
What you know is porojo since post no.1 hakuna mnachopost kama ushahidi zaidi ya blaa blaa kibao na kulalamika na kutoa mapovu
Nimetoa hadi majedwali ya takwimu lakini wapi..Ona hii summary makusanyo kwa mikoa mitano kwa mapato 2018/2019 harafu fanya hesabu with respect to populatio.Picha gani mnapata hapo?
1.DAR=163.5bln
2.Dodoma=82.7bln
3.Mwanza=32.6bln
4.Arusha=31.9bln
5.Mbeya=31.4 bln
Hii post hamuioni nyie nyumbu wa kanda ya ziwa?,linganisha mkoa wa nyumbu wavivu na sie wachapakazi
 

Attachments

  • images (5).jpg
    images (5).jpg
    6.9 KB · Views: 3
  • images (7).jpg
    images (7).jpg
    10.7 KB · Views: 3
  • images (8).jpg
    images (8).jpg
    9.5 KB · Views: 3
  • IMG_0959.JPG
    IMG_0959.JPG
    32.8 KB · Views: 3
  • 2017-03-15.jpg
    2017-03-15.jpg
    12.4 KB · Views: 3
  • download (1).jpg
    download (1).jpg
    8.6 KB · Views: 2
  • download.jpg
    download.jpg
    8.1 KB · Views: 2
  • information_items_1505362.jpg
    information_items_1505362.jpg
    18.3 KB · Views: 2
  • images (9).jpg
    images (9).jpg
    9.2 KB · Views: 2
  • IMG_0982.JPG
    IMG_0982.JPG
    28 KB · Views: 2
  • images (3).jpg
    images (3).jpg
    9.2 KB · Views: 2
  • images (2).jpg
    images (2).jpg
    5.4 KB · Views: 3
  • images (1).jpg
    images (1).jpg
    9.7 KB · Views: 3
Wewe sasa unaleta utoto..Huko kanda ya ziwa hakuna miji ya kati ya kulinganisha na Mafinga,Njombe,Makambako,Tunduma,Vwawa/Mlowo,Chunya nk..Hiyo kanda yote inategemea Mwanza tuu,,hata hiyo mwanza yenyewe zaidi ya kujazwa na maskini haina chochote cha maana cha kuzidi jiji la mbeya,kama kipo kitaje
Ukija kwenye Miji ya manispaa,uchafu wa shinyanga,musoma,bukoba hauwezi hata kusogeza pua kwa Iringa,Songea au Sumbawanga..Watu wa huko mtasalia maskini na choka mbaya maisha yenu yote ndio maana mnaishi kwenye tembe
Barabara tu za lami mumepata kipindi cha mkapa mlikuwa wa shamba wa kupitiliza,hamna cha kujipiga kifua nyie manamba wa migodini,taja hapa kilichosahaulika basi badala ya blaa blaa na kujichekesha toka toka mwanzo bila facts
[emoji1787][emoji1787]Kupata kichekesho kama hiki bonyeza * kisha # kitakuwa cha kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe sasa unaleta utoto..Huko kanda ya ziwa hakuna miji ya kati ya kulinganisha na Mafinga,Njombe,Makambako,Tunduma,Vwawa/Mlowo,Chunya nk..Hiyo kanda yote inategemea Mwanza tuu,,hata hiyo mwanza yenyewe zaidi ya kujazwa na maskini haina chochote cha maana cha kuzidi jiji la mbeya,kama kipo kitaje
Ukija kwenye Miji ya manispaa,uchafu wa shinyanga,musoma,bukoba hauwezi hata kusogeza pua kwa Iringa,Songea au Sumbawanga..Watu wa huko mtasalia maskini na choka mbaya maisha yenu yote ndio maana mnaishi kwenye tembe
Barabara tu za lami mumepata kipindi cha mkapa mlikuwa wa shamba wa kupitiliza,hamna cha kujipiga kifua nyie manamba wa migodini,taja hapa kilichosahaulika basi badala ya blaa blaa na kujichekesha toka toka mwanzo bila facts
Kahama ni zaidi ya njombe, mafinga na Makambako combined,
Mwanza aka Ziwa ni zaidi ya miji na manispaa zote za kusini likiwemo na likijiji likuwa ninaloitwa Mbeya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kahama ni zaidi ya njombe, mafinga na Makambako combined,
Mwanza aka Ziwa ni zaidi ya miji na manispaa zote za kusini likiwemo na likijiji likuwa ninaloitwa Mbeya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna facts wewe una mihemko tuu,hiyo makambako unayosema ina majengo marefu hadi 6 floors,itachukua karne gulio la kahama ku catch up
Mbeya The green City is a thriving City and awesome,weka au taja chochote unachozani kiko mwanza hakipo mbeya ili ueleweke
 
Mbeya The green City is a thriving City and awesome,weka au taja chochote unachozani kiko mwanza hakipo mbeya ili ueleweke

Jijini Mwanza tuna viwanja viwili vya michezo vyenye hadhi ya kuchezea mechi za ligi kuu, huko mbeya vipo vingapi?

Sheria ya mchezo ukipigwa unakubali,blah blah hazina nafasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi umefungwa hapa [emoji116][emoji116] hakuna haja ya kuendelea kubishana tena

Waziri wa TAMISEMI Mhe.Seleman Jafo amesema Serikali inatambua maeneo matatu hapa nchini ambayo serikali ipo katika mchakato wa kupandisha hadhi kuwa Manispaa kutokana na kukidhi vigezo vya kujitosheleza kimapato.

Mhe.Jafo ameyataja maeneo hayo kuwa ni pamoja na halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga,Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoani Pwani na Halmashauri ya mji wa Geita mkoani Geita na muda wowote kuanzia sasa maeneo hayo yatapandishwa hadhi kuwa Manispaa pindi mchakato utakapokamilika.
Huu uzi umeshafungwa hapa [emoji115][emoji115]
 
Jijini Mwanza tuna viwanja viwili vya michezo vyenye hadhi ya kuchezea mechi za ligi kuu, huko mbeya vipo vingapi?

Sheria ya mchezo ukipigwa unakubali,blah blah hazina nafasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ona hili jinga,Sokoine inatumikaga kuchezea mechi za ligi ya wapi? burundi au? tafuta fix nyingine hii imegota
Arusha tu ndio anaweza piga mbeya knock out sio uchafu wa mwanza uliojaa maskini
 
Ona hili jinga,Sokoine inatumikaga kuchezea mechi za ligi ya wapi? burundi au? tafuta fix nyingine hii imegota
Arusha tu ndio anaweza piga mbeya knock out sio uchafu wa mwanza uliojaa maskini
Ligi ya Tanzania umesikia wewe ndezi, sema mbeya vipo vingapi?

Unaona Soo kusema ee, Basi nikusaidie, mwanza viwili, mbeya kimoja, Hadi hapo moja bila, haya saini kwanza matokeo afu tuendelee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ligi ya Tanzania umesikia wewe ndezi, sema mbeya vipo vingapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Leta kingine unachozani kinapatikana Mwanza na hakipatikani green city mbeya almaarufu kijiji kikubwa kama ulivyotaja
Nyie ni watu hamtembei mnasimuliwa,yaani mimi kwa TZN hii sijafika hapo gulio la kahama tuu but picha mnazoweka zimeshindwa kujustify maendeleo ya kahama it seems inafanana na Tunduma tuu kama miji ya kichuuzi au magulio ya kuchumia pesa na kusepa
 
Leta kingine unachozani kinapatikana Mwanza na hakipatikani green city mbeya almaarufu kijiji kikubwa kama ulivyotaja
Nyie ni watu hamtembei mnasimuliwa,yaani mimi kwa TZN hii sijafika hapo gulio la kahama tuu but picha mnazoweka zimeshindwa kujustify maendeleo ya kahama it seems inafanana na Tunduma tuu kama miji ya kichuuzi au magulio ya kuchumia pesa na kusepa
Jijini Mwanza kuna national park, jijini mbeya ipo?

Sheria ya kwanza no blah blah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jijini Mwanza kuna national park, jijini mbeya ipo?

Sheria ya kwanza no blah blah

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakoelekea utaanza kusema jijini mwanza kuna mawe mengi au ziwa ,mbeya lipo? acha upuuzi hatuzungumzii nature hapa ila man made structures
Huu hapa mlima Loleza na Mlima mbeya,watalii wanapanda vizuri tuu,Mwanza upo? Ngoja nikuonyeshe na picha ya cyclists
 

Attachments

  • 5675867294_8a8bdd91a5_b.jpg
    5675867294_8a8bdd91a5_b.jpg
    49.9 KB · Views: 3
  • 47.jpg
    47.jpg
    55.4 KB · Views: 3
  • 720dc15b0f9e96ceeb224b3c274d44d9.jpg
    720dc15b0f9e96ceeb224b3c274d44d9.jpg
    47.1 KB · Views: 3
  • GREEN CITY (1).jpg
    GREEN CITY (1).jpg
    133.2 KB · Views: 4
  • images (33).jpg
    images (33).jpg
    9.2 KB · Views: 3
  • images.jpg
    images.jpg
    9.1 KB · Views: 3
  • maxresdefault (1).jpg
    maxresdefault (1).jpg
    44.2 KB · Views: 3
Unakoelekea utaanza kusema jijini mwanza kuna mawe mengi au ziwa ,mbeya lipo? acha upuuzi hatuzungumzii nature hapa ila man made structures
Huu hapa mlima Loleza na Mlima mbeya,watalii wanapanda vizuri tuu,Mwanza upo?
Mwanza hatuna Mlima tuna milima, Wambeyaaa mpooo?
 
Back
Top Bottom