Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama ikichangiwa na njombe+mafinga imeigaragaza vibaya sana hiyo miji, tunaomba iongezwe makambako ije kusaidia mpambano uwe KAHAMA vs NJOMBE+MAFINGA+MAKAMBAKO labda kwa mbaali wataisogelea kahama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulia hivyo hvyo maana unakana kwenu,hiyo Iringa yako imebakia kutembelea nyota ya mafinga tuu saizi hakuna jipya hapo saizi

Naipenda iringa kwa hali ya hewa, mji ulipo na hata life style yake. Mdogo lakini mzuri kiasi japo ni muda sijafika
 
Mzee hizi ligi ndogondogo zinatufanya tusahau stress za Corona na angalau unaona inakuwa asubuhi mara jioni na kisha tunalala tena, Wengine imetulazimu tufanye kazi tokea Nyumbani,
Vinginevyo Nakuja Kula Mbuzi na bia hapo Kahama Corona ikiisha.
Mzee wa iringa..
nakaa kimya tu kwa heshima ya iringa na pia nisingependa battle maana Tz yote ni home kwangu.
Kahama naenda bila kulipa visa same na huko kusini mwa nchi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee hizi ligi ndogondogo zinatufanya tusahau stress za Corona na angalau unaona inakuwa asubuhi mara jioni na kisha tunalala tena, Wengine imetulazimu tufanye kazi tokea Nyumbani,
Vinginevyo Nakuja Kula Mbuzi na bia hapo Kahama Corona ikiisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani ntakuwa ng'wanza maana Kahama sio sehemu yangu mkuu
 
Watu wangu wa Njombe asanteni kwa ushiriki wenu kwenye hii thread, ningependa kuhitimisha mada hii kwa kuja taarifa kutoka kwa Waziri wa Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa TAMISEMI ,Mhe.Seleman Jafo. Tanzania nzima maeneo yaliyokizi vigezo vya kuwa Manispaa ni matatu tu.

Waziri wa TAMISEMI Mhe.Seleman Jafo amesema Serikali inatambua maeneo matatu hapa nchini ambayo serikali ipo katika mchakato wa kupandisha hadhi kuwa Manispaa kutokana na kukidhi vigezo vya kujitosheleza kimapato.

Mhe.Jafo ameyataja maeneo hayo kuwa ni pamoja na halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga,Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoani Pwani na Halmashauri ya mji wa Geita mkoani Geita na muda wowote kuanzia sasa maeneo hayo yatapandishwa hadhi kuwa Manispaa pindi mchakato utakapokamilika.

Na kwa taarifa yenu kwa kanda ya ziwa baada ya Mwanza Jiji (Rock city) mji unaofuata kwa shughuli za kibiashara ni Kahama mjini yaani hata Geita mji, Bukoba mji, Shinyanga Mji na Musoma mji, Bariadi mji (Simiyu) wanasubiri sana.


MKOME KULIGANISHA DHAHABU NA MISITU


Kahama VS Njombe/Mafinga - JamiiForums

View attachment 1424014
Mkuu huyu alieanzisha huu uzi aufunge sasa... ila hata funga kwasababu yeye na mwenzake kichwani hakuna akili [emoji28]

...
 
kwenye mdomo wako imezibutua lakini kwenye uhalisia hakuna kitu huko gulioni kahama zaidi ya mashimo
Hivi we unahisi mimi naweza kukuskiliza wewe... niache kuiskiliza serikali kweli[emoji28][emoji28]

Em funga huu uzi... mmeshindwa na watu wa kahama.

Anzisha nani anatumia sana mbwa kati ya watu wa kahama na njombe/mafinga

...
 
Back
Top Bottom