ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #1,321
Zipo wapi? mdomoni kwako au? zinakataa kupostiwa hapa au 😀😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo wapi? mdomoni kwako au? zinakataa kupostiwa hapa au 😀😀😀😀😀
Usifananishe KAHAMA na vitu vya kijinga
Tulia hivyo hvyo maana unakana kwenu,hiyo Iringa yako imebakia kutembelea nyota ya mafinga tuu saizi hakuna jipya hapo saizi
Battle inaishaje sasa wakati ndugu zako wasukuma matorori na sululu waliokuposa wanaleta hadithi badala ya facts tunazowapa?
Mzee wa iringa..
nakaa kimya tu kwa heshima ya iringa na pia nisingependa battle maana Tz yote ni home kwangu.
Kahama naenda bila kulipa visa same na huko kusini mwa nchi..
Wapi picha za gold city kahama? 😀😀😀😀
Niwapostie nyie walima mchicha msiokubali kushindwa! Sifanyi huo upuuzi.Zipo wapi? mdomoni kwako au? zinakataa kupostiwa hapa au 😀😀😀😀😀
Mzee hizi ligi ndogondogo zinatufanya tusahau stress za Corona na angalau unaona inakuwa asubuhi mara jioni na kisha tunalala tena, Wengine imetulazimu tufanye kazi tokea Nyumbani,
Vinginevyo Nakuja Kula Mbuzi na bia hapo Kahama Corona ikiisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ntakuwa ng'wanza maana Kahama sio sehemu yangu mkuu
Hakuna cha ku post zaidi ya ile gest moja na ka nssf moja? kwani mtu akikataa ndo itabadili ukweli? wengine watakubali hii ni nyuzi ya bublicNiwapostie nyie walima mchicha msiokubali kushindwa! Sifanyi huo upuuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Machimboni huko mkuu hakuna cha kuvutia zaidi ya kujaa ma gest houses tuu
Kwan nisipopost nitabadili ukweli?!Hakuna cha ku post zaidi ya ile gest moja na ka nssf moja? kwani mtu akikataa ndo itabadili ukweli? wengine watakubali hii ni nyuzi ya bublic
Usipopost itathibitisha kwamba huna cha kupost na uza wangu utakuwa umefungwa rasmi kwa kuiumbua kahama machimboni na wapambe wake..Njombe hoyee
Kahama imezibutua njombe na mafinga combined. Kahama imetisha sana.Usipopost itathibitisha kwamba huna cha kupost na uza wangu utakuwa umefungwa rasmi kwa kuiumbua kahama machimboni na wapambe wake..Njombe hoyee
kwenye mdomo wako imezibutua lakini kwenye uhalisia hakuna kitu huko gulioni kahama zaidi ya mashimoKahama imezibutua njombe na mafinga combined. Kahama imetisha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu alieanzisha huu uzi aufunge sasa... ila hata funga kwasababu yeye na mwenzake kichwani hakuna akili [emoji28]Watu wangu wa Njombe asanteni kwa ushiriki wenu kwenye hii thread, ningependa kuhitimisha mada hii kwa kuja taarifa kutoka kwa Waziri wa Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa TAMISEMI ,Mhe.Seleman Jafo. Tanzania nzima maeneo yaliyokizi vigezo vya kuwa Manispaa ni matatu tu.
Waziri wa TAMISEMI Mhe.Seleman Jafo amesema Serikali inatambua maeneo matatu hapa nchini ambayo serikali ipo katika mchakato wa kupandisha hadhi kuwa Manispaa kutokana na kukidhi vigezo vya kujitosheleza kimapato.
Mhe.Jafo ameyataja maeneo hayo kuwa ni pamoja na halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga,Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoani Pwani na Halmashauri ya mji wa Geita mkoani Geita na muda wowote kuanzia sasa maeneo hayo yatapandishwa hadhi kuwa Manispaa pindi mchakato utakapokamilika.
Na kwa taarifa yenu kwa kanda ya ziwa baada ya Mwanza Jiji (Rock city) mji unaofuata kwa shughuli za kibiashara ni Kahama mjini yaani hata Geita mji, Bukoba mji, Shinyanga Mji na Musoma mji, Bariadi mji (Simiyu) wanasubiri sana.
MKOME KULIGANISHA DHAHABU NA MISITU
Kahama VS Njombe/Mafinga - JamiiForums
View attachment 1424014
Hivi we unahisi mimi naweza kukuskiliza wewe... niache kuiskiliza serikali kweli[emoji28][emoji28]kwenye mdomo wako imezibutua lakini kwenye uhalisia hakuna kitu huko gulioni kahama zaidi ya mashimo
Njombe na Mafinga chalii kwa kahama, 🤣🤣yaani mji mmoja kahama umeigaragaza miji miwili njombe na mafinga. Ongezeni na Makambako mjaribu kusogeasogea kidogo.kwenye mdomo wako imezibutua lakini kwenye uhalisia hakuna kitu huko gulioni kahama zaidi ya mashimo