ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #1,361
Kama kuna milima umewahi ona kati ya hiyo milima yenu kuna hata mmja uko kwenye orodha ya milima ya maana hata kufundishiwa jiografia ya darasa la tatu?Mwanza hatuna Mlima tuna milima, Wambeyaaa mpooo?
Kaa navyo alafu ujiulize kwanini kahama inaenda kuwa manispaa na sio mafinga/Mufindi [emoji124][emoji124]Navijua ndio,nikutajie?
Sheria ya kwanza no blah! bla! Umesahau, au labda hujui maana ya national park! Sio kila mlima au kila sehemu yenye wanyama ni hifadhi ya taifa, hapa nazungumzia hifadhi za taifa chini ya TANAPA, Tena hifadhi ya taifa ndani ya jiji, na kwa taarifa yako hiyo national park ya Mwanza ni man made, jibu swali jiji la mbeya lina national park?Unakoelekea utaanza kusema jijini mwanza kuna mawe mengi au ziwa ,mbeya lipo? acha upuuzi hatuzungumzii nature hapa ila man made structures
Huu hapa mlima Loleza na Mlima mbeya,watalii wanapanda vizuri tuu,Mwanza upo?
Kakwambia nani Mafinga haiendi kuwa manispaa?Kaa navyo alafu ujiulize kwanini kahama inaenda kuwa manispaa na sio mafinga/Mufindi [emoji124][emoji124]
We hamnazo,kwamba hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Saa nane ni man made? Tunazungumzia vitu man made sio nature,haya haipo onyesha mlima mkubwa uliopo Mwanza kama kama ulioko kando ya jiji la mbeya? Na ujue tu kwamba mlima mbeya ni sehemu ya hifadhi ya safu za miliya ya uporoto chini Mamlaka ya wanyama pori na TFSSheria ya kwanza no blah! bla! Umesahau, au labda hujui maana ya national park! Sio kila mlima au kila sehemu yenye wanyama ni hifadhi ya taifa, hapa nazungumzia hifadhi za taifa chini ya TANAPA, Tena hifadhi ya taifa ndani ya jiji, na kwa taarifa yako hiyo national park ya Mwanza ni man made, jibu swali jiji la mbeya lina national park?
Kama kawaida yako unaona Soo kujibu haipo, na kwa kuwa umeleta mamilima badala ya national park, ni dhahiri jijini mbeya hakuna national park. Hadi sasa 2-0.
Saini matokeo tuendelee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako huna exposure.Wewe sasa unaleta utoto..Huko kanda ya ziwa hakuna miji ya kati ya kulinganisha na Mafinga,Njombe,Makambako,Tunduma,Vwawa/Mlowo,Chunya nk..Hiyo kanda yote inategemea Mwanza tuu,,hata hiyo mwanza yenyewe zaidi ya kujazwa na maskini haina chochote cha maana cha kuzidi jiji la mbeya,kama kipo kitaje
Ukija kwenye Miji ya manispaa,uchafu wa shinyanga,musoma,bukoba hauwezi hata kusogeza pua kwa Iringa,Songea au Sumbawanga..Watu wa huko mtasalia maskini na choka mbaya maisha yenu yote ndio maana mnaishi kwenye tembe
Barabara tu za lami mumepata kipindi cha mkapa mlikuwa wa shamba wa kupitiliza,hamna cha kujipiga kifua nyie manamba wa migodini,taja hapa kilichosahaulika basi badala ya blaa blaa na kujichekesha toka toka mwanzo bila facts
Kwan kuna visiwa vingapi lake Victoria na sio national park! Kisiwa kipo enzi na enzi ila kufanya pawe national park ni man made, hata wale wanyama pale wamepelekwa na binadamu.We hamnazo,kwamba hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Saa nane ni man made? Tunazungumzia vitu man made sio nature,haya haipo onyesha mlima mkubwa uliopo Mwanza kama kama ulioko kando ya jiji la mbeya? Na ujue tu kwamba mlima mbeya ni sehemu ya hifadhi ya safu za miliya ya uporoto chini Mamlaka ya wanyama pori na TFS
Pole kwa poor thinking,hujaniwekea picha milima yenye hadhi ya utalii iliyo kando ya jiji kama nilivyoweka mimi,hapo ni mbeya city 4=0 ya MwanzaKwan kuna visiwa vingapi lake Victoria na sio national park! Kisiwa kipo enzi na enzi ila kufanya pawe national park ni man made, hata wale wanyama pale wamepelekwa na binadamu.
Hapo tumemaliza matokeo bado ni 2-0 haya twende kazi
Jiji la Mwanza linatumia uwanja wake kutua jijini, dreamliner inatua moja kwa moja jijini Mwanza, huko jijini mbeya vipi?
Kwa kukusaidia tu kuepusha blah blah Songwe sio Jijini mbeya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Blaa blaa za picha hazitoshi kuonesha kwamba mumeendelea,taja vitu tangible ambavyo unadhani viko mwanza havipo mbeya ili ku justify hoja yako ya mwanza ghost city kuendelea kuliko mbeya green city.Sio tu kutembea nimesoma huko mwanza na naijua vizuri sana japo sijafika kwa 3 years iliyopita.Tatizo lako huna exposure.
Hili jiji la mwanza ndo unalinganisha na kijiji kikubwa cha mbeya?.
Wew unataka battle.
Nitakuletea picha za manispaa za Kanda ya ziwa.Musoma, bukoba,shinyanga,Geita,Hadi kahama. Ila walau utembee kidogoView attachment 1426476View attachment 1426477View attachment 1426478View attachment 1426479View attachment 1426480View attachment 1426481
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado Niko na wew unayesema miji ya Kanda ya ziwa ni ya hovyo.Pole kwa poor thinking,hujaniwekea picha milima yenye hadhi ya utalii iliyo kando ya jiji kama nilivyoweka mimi,hapo ni mbeya city 4=0 ya Mwanza
Pili Usagara na Buhongwa pameungana au bado? kama pameungana basi unatakiwa kujua kwamba Songwe airport iko kwa ajili ya ku save mbeya city na usifikiri kuitwa Songwe basi ukadhani iko mkoa wa Songwe,uwanja uko mkoa wa Mbeya na mpaka ni mto baada ya kuvuka Songwe viwandani.Kwa hiyo hoja yako ya dreamliner kutua huko ghost city haina mashiko,leta fix nyingine
Sasa kuna nini hapo porini mkuuBado Niko na wew unayesema miji ya Kanda ya ziwa ni ya hovyo.
Huu ni mji wa musoma.
Leta vimji vyako sasaView attachment 1426525View attachment 1426526View attachment 1426527
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hiyo mbeya si kama musoma kabisa.Blaa blaa za picha hazitoshi kuonesha kwamba mumeendelea,taja vitu tangible ambavyo unadhani viko mwanza havipo mbeya ili ku justify hoja yako ya mwanza ghost city kuendelea kuliko mbeya green city.Sio tu kutembea nimesoma huko mwanza na naijua vizuri sana japo sijafika kwa 3 years iliyopita.
Wenzako wameshindwa kuleta picha za gulio kuuubwa la kahama
Mbeya green city
Musoma level yake ni Tunduma,achana na green city tembea uone vitu kama hiviSasa hiyo mbeya si kama musoma kabisa.
Hebu jionee aibu please.
Hii ni mwanzaView attachment 1426530View attachment 1426535
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona uchafu tu.Sasa kuna nini hapo porini mkuu
Cheki Tunduma hii,just town lakini inashinda hicho kijiji cha kuvulia dagaa mnaita manispaa
[emoji1787][emoji1787]ona sasa unavyopuyanga na akili zako za kindezi, usagara haiko jijini Mwanza na Songwe haiko jijini mbeya kwa hiyo hoja yako ni mufilisi, hapo mbeya jiji hakuna milima ambayo watalii wanakujaga kupanda danganya mandezi wenzio wa huko makete.Pole kwa poor thinking,hujaniwekea picha milima yenye hadhi ya utalii iliyo kando ya jiji kama nilivyoweka mimi,hapo ni mbeya city 4=0 ya Mwanza
Pili Usagara na Buhongwa pameungana au bado? kama pameungana basi unatakiwa kujua kwamba Songwe airport iko kwa ajili ya ku save mbeya city na usifikiri kuitwa Songwe basi ukadhani iko mkoa wa Songwe,uwanja uko mkoa wa Mbeya na mpaka ni mto baada ya kuvuka Songwe viwandani.Kwa hiyo hoja yako ya dreamliner kutua huko ghost city haina mashiko,leta fix nyingine
Hauko siriasi yaani kijiji hiki ndo unaita mji? Hivi mnaifahamu miji lakini? Kama hichi kijiji ni mji je Igawa mbarali tuite nini,City au? toa takataka hapaMimi naona uchafu tu.
Huu ni mji wa mtukula mpakani pia huko bukobaView attachment 1426568View attachment 1426569View attachment 1426570
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulielewa nilivyotaja hayo maeneo usingekuja kuandika uharo wako hapo,kasome upya[emoji1787][emoji1787]ona sasa unavyopuyanga na akili zako za kindezi, usagara haiko jijini Mwanza na Songwe haiko jijini mbeya kwa hiyo yako ni mufilisi, hapo mbeya jiji hakuna milima ambayo watalii wanakujaga kupanda danganya mandezi wenzio wa huko makete.
Ndani ya jiji la Mwanza Kuna bismack Rocky watalii hutoka Berlin huko kuja kutalii, jijini mbeya Kuna ziwa kweli? Nimeuliza hilo swali sababu ya undezi wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe tamko la TAMISEMI lililoutangaza mji wa Mafinga unaenda kuwa ManispaaKakwambia nani Mafinga haiendi kuwa manispaa?
Hebu tazama Kanda ya ziwa.Musoma level yake ni Tunduma,achana na green city tembea uone vitu kama hivi