ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #1,401
Eti miji ya kijanja duu kweli wewe kichwa ngumu..Hata mbeya ipo proposed pedestrian bridge,render hii hapa chini..hii haina uhusiano na miji ya kijanja,toka lini wasukuma wakaacha ushamba na kuwa wajanja?Nimeweka Tokyo ili kuonyesha ukichwa nazi wako wa kudhani zinapatikana Mwanza tu ndo maana umeponda, make wewe umezoea kuishi huko kwenu makete tu, ukitoka sana umeenda njombe [emoji38][emoji38]. Hizo zipo miji yote ya kijanja, au nikuonyeshe na za London, New York , na sehemu zingine za kijanja kama hizo.
Kusini kuchelee [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama milima Mwanza ndo kwao tembea uyaone, Hiyo mnayoiita CBD huko kwenu kwa Mwanza ni sawa na sehemu za pembezoni mwa CBD na panazidiwa na maeneo Kama ghana na isamiloHaka kajiji kenu kana cbd ndogo sana imejikusanya hapo mjini tuu ndio maana rahisi kupata aerial view tofauti na Mbeya ambayo giografia yake ni milima na mabonde na ina cbd 2 kama Dar yaani mwanjelwa na sokomatola,so huwezi pata clear picture ila kwa isolated buildings kama hivi..SAUT Mbeya Centre
Kwa kuwa vitu vya kijanja havipo umeamua kupost michoro [emoji23][emoji23][emoji23] sema tu 'havipo' usione aibu.Eti miji ya kijanja duu kweli wewe kichwa ngumu..Hata mbeya ipo proposed pedestrian bridge,render hii hapa chini..hii haina uhusiano na miji ya kijanja,toka lini wasukuma wakaacha ushamba na kuwa wajanja?
Hiyo SAUT ni branch yetu [emoji38][emoji38], kama tumewajengea huko porini kabranch kama hako jiulize huku town main Campus tumejijengeaje?!Haka kajiji kenu kana cbd ndogo sana imejikusanya hapo mjini tuu ndio maana rahisi kupata aerial view tofauti na Mbeya ambayo giografia yake ni milima na mabonde na ina cbd 2 kama Dar yaani mwanjelwa na sokomatola,so huwezi pata clear picture ila kwa isolated buildings kama hivi..SAUT Mbeya Centre
Hebu tazama mwanza ilivyotapakaa.Haka kajiji kenu kana cbd ndogo sana imejikusanya hapo mjini tuu ndio maana rahisi kupata aerial view tofauti na Mbeya ambayo giografia yake ni milima na mabonde na ina cbd 2 kama Dar yaani mwanjelwa na sokomatola,so huwezi pata clear picture ila kwa isolated buildings kama hivi..SAUT Mbeya Centre
Huyo anakupotezea muda tu .Huwezi kulinganisha mwanza na mbeya.huo ndo ukweliHiyo SAUT ni branch yetu [emoji38][emoji38], kama tumewajengea huko porini kabranch kama hako jiulize huku town main Campus tumejijengeaje?!
Hako kamwanjelwa kanafunikwa mbaya na Buzuruga tuView attachment 1427963View attachment 1427964View attachment 1427965View attachment 1427966View attachment 1427967View attachment 1427968
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata lenyewe linajua ila limeamua kujitoa akili hapa.Huyo anakupotezea muda tu .Huwezi kulinganisha mwanza na mbeya.huo ndo ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Umehama hoja,hapa ilikuwa kutaja vitu ambavyo havipo Mbeya ila mwanza vipo sio kushindanisha maghorofa..Ukitaka ligi ya magorofa kashindane na Arusha na Dodoma hapa sio mahali pakeHebu tazama mwanza ilivyotapakaa.
Hii ni CBD peke yakeView attachment 1427969View attachment 1427970
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanichafulia uzi wangu wa Kahama vs Njombe/Mafinga na mapicha picha yako ya Mwanza..Ukitaka ligi ya hayo mapicha kalinganishe na Arusha au Dodoma uone kama hujatolewa KOHiyo SAUT ni branch yetu [emoji38][emoji38], kama tumewajengea huko porini kabranch kama hako jiulize huku town main Campus tumejijengeaje?!
Hako kamwanjelwa kanafunikwa mbaya na Buzuruga tuView attachment 1427963View attachment 1427964View attachment 1427965View attachment 1427966View attachment 1427967View attachment 1427968
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 Umepanic,lenyewe linachojua ni beautiful Mbeya
Hiyo ni render we mburukenge,nenda skyscrapercity utaikutaKwa kuwa vitu vya kijanja havipo umeamua kupost michoro [emoji23][emoji23][emoji23] sema tu 'havipo' usione aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
We kenge hivyo ni vichuguu sio milima,shule ulienda kukua na kuhudhuria?Kama milima Mwanza ndo kwao tembea uyaone, Hiyo mnayoiita CBD huko kwenu kwa Mwanza ni sawa na sehemu za pembezoni mwa CBD na panazidiwa na maeneo Kama ghana na isamiloView attachment 1427948View attachment 1427947View attachment 1427949View attachment 1427950View attachment 1427951View attachment 1427952View attachment 1427953View attachment 1427954View attachment 1427955View attachment 1427956View attachment 1427957View attachment 1427958View attachment 1427959View attachment 1427960
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kitu gan mbeya inacho kuzidi mwanza?Umehama hoja,hapa ilikuwa kutaja vitu ambavyo havipo Mbeya ila mwanza vipo sio kushindanisha maghorofa..Ukitaka ligi ya magorofa kashindane na Arusha na Dodoma hapa sio mahali pake
Unazingua sana kwa hivyo vipimo na vigezo vyakoSasa kitu gan mbeya inacho kuzidi mwanza?
Stendi? mwanza zipo mbili
Viwanja vya michezo ? Mwanza kuna CCM kirumba wa pili Kwa ukubwa nchini,na nyamagana nyasi bandia.
Bandari ? Mwanza ziko mbili kusini na kasikan na moja ndo kuna Chelezo ya ujenzi wa Melo.
Ukubwa? Mwanza inamanispaa mbili ilemela na nyamagana.
Watu? Mwanza 1m +
Miundombinu? Barabara za mwanza zipo standard mpaka njia mbili mbili.
Airport kuna kubwa Sana.
Uchumi Huwezi linganisha mwanza na mbeya.
Majengo magorofa Huwezi kulinganisha mwanza na mbeya.
Hotel ndo kabisa husiseme.
Mandhari Hali ya hewa NK .mwanza sio joto wala baridi,beaches NK.hadi national park.
Vyuo huko ndo husiseme
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii ni nini?!Hiyo ni render we mburukenge,nenda skyscrapercity utaikuta
Hapo kikubwa ni kungalia matumizi ya umeme. Consumption ya umeme huwa ni kigezo tosha kujua maendeleo ya sehemu husika.Angalia idadi ya banks na matawi yake
[emoji1787][emoji1787]Sasa we mbwa jike malaya, katika vyote umeona ureply kuhusu milima tu! Ungesaini matokeo ya isamilo&isamilo kukilambisha mchanga hicho mnachokiita CBD huko kwenu.We kenge hivyo ni vichuguu sio milima,shule ulienda kukua na kuhudhuria?
Ndani ya jiji la Mwanza kuna manispaa, Ndani ya jiji la mbeye hakuna.Umehama hoja,hapa ilikuwa kutaja vitu ambavyo havipo Mbeya ila mwanza vipo sio kushindanisha maghorofa..Ukitaka ligi ya magorofa kashindane na Arusha na Dodoma hapa sio mahali pake
We mbwa, uwanja wa kirumba ni wa kimataifa, mechi za CAF huchezwa pale, sio Kama hilo jaluba la sokoine.Unazingua sana kwa hivyo vipimo na vigezo vyako
Stendi Mbeya ziko 2,Stand kuu na nane nane na zinajengwa zingine 2,utaona hapo chini
Kuna uwanja wa Sokoine na vingine vidogo vidogo visivyo na idadi vina uwezo wa kutumiwa na ligi daraja la kwanza mfano uwanja wa MUST
Hapo kwenye barabara unazingua sana,Barabara Mbeya ziko za kutosha na zingine km 29 zinaanza kujengwa mwaka huu,kuwa dual caariage way sio kwamba ndo unazidi sehemu fulani,hata Sumbawanga na Singida kuna barabara 2
Airport ya Songwe unaijua haihitaji maelezo mengi
Kwa Vyuo vikuu na vinginevyo Mbeya ni Centre ya elimu na ni vingi kuliko Mwanza
Mandhari ndio hatuulizi,this is green City hadi ulaya wanatamani tubadilishane
Uchumi mnaongoza kwa quantity na sio quality hata wewe unajua
Mambo ya population,magorofa na mahotel sawa