Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Nimeweka Tokyo ili kuonyesha ukichwa nazi wako wa kudhani zinapatikana Mwanza tu ndo maana umeponda, make wewe umezoea kuishi huko kwenu makete tu, ukitoka sana umeenda njombe [emoji38][emoji38]. Hizo zipo miji yote ya kijanja, au nikuonyeshe na za London, New York , na sehemu zingine za kijanja kama hizo.
Kusini kuchelee [emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti miji ya kijanja duu kweli wewe kichwa ngumu..Hata mbeya ipo proposed pedestrian bridge,render hii hapa chini..hii haina uhusiano na miji ya kijanja,toka lini wasukuma wakaacha ushamba na kuwa wajanja?
 

Attachments

  • 8349469718_dfa48125a4.jpg
    8349469718_dfa48125a4.jpg
    20.1 KB · Views: 3
Njombe Town
 

Attachments

  • 6 (15).jpg
    6 (15).jpg
    60.6 KB · Views: 3
  • DJI_0012.JPG
    DJI_0012.JPG
    184 KB · Views: 3
  • A-2.JPG
    A-2.JPG
    151.7 KB · Views: 3
  • 1674046_Screen-Shot-2014-07-18-at-11.52.44.png
    1674046_Screen-Shot-2014-07-18-at-11.52.44.png
    75.7 KB · Views: 3
  • 6.png
    6.png
    118.4 KB · Views: 3
  • iringa+pic.jpg
    iringa+pic.jpg
    29.1 KB · Views: 3
  • wp7ee2664b_05_06.jpg
    wp7ee2664b_05_06.jpg
    46.8 KB · Views: 3
  • unnamed.png
    unnamed.png
    75.3 KB · Views: 3
  • unnamed.jpg
    unnamed.jpg
    6.7 KB · Views: 3
  • EBcpp_dWkAAA22W.jpg
    EBcpp_dWkAAA22W.jpg
    42.7 KB · Views: 3
  • IMG-20190511-WA0023.jpg
    IMG-20190511-WA0023.jpg
    18.5 KB · Views: 3
  • P1130699.JPG
    P1130699.JPG
    23.5 KB · Views: 3
  • unilever-tea-tanzania.jpg
    unilever-tea-tanzania.jpg
    38.9 KB · Views: 3
  • PIC-1-4-1024x683.jpg
    PIC-1-4-1024x683.jpg
    47.9 KB · Views: 3
Haka kajiji kenu kana cbd ndogo sana imejikusanya hapo mjini tuu ndio maana rahisi kupata aerial view tofauti na Mbeya ambayo giografia yake ni milima na mabonde na ina cbd 2 kama Dar yaani mwanjelwa na sokomatola,so huwezi pata clear picture ila kwa isolated buildings kama hivi..SAUT Mbeya Centre
Kama milima Mwanza ndo kwao tembea uyaone, Hiyo mnayoiita CBD huko kwenu kwa Mwanza ni sawa na sehemu za pembezoni mwa CBD na panazidiwa na maeneo Kama ghana na isamilo
1574746567-DESEMBA.JPG
View attachment 1427947
images-36.jpg
images-38.jpg
images-47.jpg
images-48.jpg
images-49.jpg
1562121_2016-09-02.jpg
1560450_1Hamid.jpg
images-52.jpg
images-51.jpg
images-41.jpg
images-50.jpg
images-42.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti miji ya kijanja duu kweli wewe kichwa ngumu..Hata mbeya ipo proposed pedestrian bridge,render hii hapa chini..hii haina uhusiano na miji ya kijanja,toka lini wasukuma wakaacha ushamba na kuwa wajanja?
Kwa kuwa vitu vya kijanja havipo umeamua kupost michoro [emoji23][emoji23][emoji23] sema tu 'havipo' usione aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haka kajiji kenu kana cbd ndogo sana imejikusanya hapo mjini tuu ndio maana rahisi kupata aerial view tofauti na Mbeya ambayo giografia yake ni milima na mabonde na ina cbd 2 kama Dar yaani mwanjelwa na sokomatola,so huwezi pata clear picture ila kwa isolated buildings kama hivi..SAUT Mbeya Centre
Hiyo SAUT ni branch yetu [emoji38][emoji38], kama tumewajengea huko porini kabranch kama hako jiulize huku town main Campus tumejijengeaje?!
Hako kamwanjelwa kanafunikwa mbaya na Buzuruga tu
images-30.jpg
images-31.jpg
images-32.jpg
69200985_224815795154935_3593090231840437843_n.jpg
1745020_upload_2018-4-26_16-51-19.jpg
IMG20200423120537.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haka kajiji kenu kana cbd ndogo sana imejikusanya hapo mjini tuu ndio maana rahisi kupata aerial view tofauti na Mbeya ambayo giografia yake ni milima na mabonde na ina cbd 2 kama Dar yaani mwanjelwa na sokomatola,so huwezi pata clear picture ila kwa isolated buildings kama hivi..SAUT Mbeya Centre
Hebu tazama mwanza ilivyotapakaa.

Hii ni CBD peke yake
tapatalk_1586579479055.jpeg
tapatalk_1586579506713.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo SAUT ni branch yetu [emoji38][emoji38], kama tumewajengea huko porini kabranch kama hako jiulize huku town main Campus tumejijengeaje?!
Hako kamwanjelwa kanafunikwa mbaya na Buzuruga tuView attachment 1427963View attachment 1427964View attachment 1427965View attachment 1427966View attachment 1427967View attachment 1427968

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anakupotezea muda tu .Huwezi kulinganisha mwanza na mbeya.huo ndo ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo SAUT ni branch yetu [emoji38][emoji38], kama tumewajengea huko porini kabranch kama hako jiulize huku town main Campus tumejijengeaje?!
Hako kamwanjelwa kanafunikwa mbaya na Buzuruga tuView attachment 1427963View attachment 1427964View attachment 1427965View attachment 1427966View attachment 1427967View attachment 1427968

Sent using Jamii Forums mobile app
Unanichafulia uzi wangu wa Kahama vs Njombe/Mafinga na mapicha picha yako ya Mwanza..Ukitaka ligi ya hayo mapicha kalinganishe na Arusha au Dodoma uone kama hujatolewa KO
 

Attachments

  • MMG_0357.JPG
    MMG_0357.JPG
    169.9 KB · Views: 3
  • download.jpg
    download.jpg
    8.5 KB · Views: 3
  • DfvNupiWkAEYNwj.jpg
    DfvNupiWkAEYNwj.jpg
    131.6 KB · Views: 3
  • download (1).jpg
    download (1).jpg
    9.5 KB · Views: 3
  • images (20).jpg
    images (20).jpg
    8.5 KB · Views: 3
  • images (22).jpg
    images (22).jpg
    9.2 KB · Views: 4
  • download (1).jpg
    download (1).jpg
    9.5 KB · Views: 4
  • 5675866708_511fc1d47f_b.jpg
    5675866708_511fc1d47f_b.jpg
    59.6 KB · Views: 4
  • IMG_3705.JPG
    IMG_3705.JPG
    43.8 KB · Views: 3
  • DSCF4425.JPG
    DSCF4425.JPG
    134.9 KB · Views: 3
  • DSCN3737.JPG
    DSCN3737.JPG
    29 KB · Views: 4
  • images (20).jpg
    images (20).jpg
    8.5 KB · Views: 3
  • images (75).jpg
    images (75).jpg
    9 KB · Views: 3
  • images (71).jpg
    images (71).jpg
    6.7 KB · Views: 2
  • MMG_0626.JPG
    MMG_0626.JPG
    172.6 KB · Views: 2
  • 5675304909_5a3eb53d47_b.jpg
    5675304909_5a3eb53d47_b.jpg
    102.1 KB · Views: 2
  • PIC_2272.JPG
    PIC_2272.JPG
    154.4 KB · Views: 2
  • images (64).jpg
    images (64).jpg
    8.1 KB · Views: 2
  • GREEN CITY.jpg
    GREEN CITY.jpg
    133.2 KB · Views: 2
We kenge hivyo ni vichuguu sio milima,shule ulienda kukua na kuhudhuria?
 
Umehama hoja,hapa ilikuwa kutaja vitu ambavyo havipo Mbeya ila mwanza vipo sio kushindanisha maghorofa..Ukitaka ligi ya magorofa kashindane na Arusha na Dodoma hapa sio mahali pake
Sasa kitu gan mbeya inacho kuzidi mwanza?

Stendi? mwanza zipo mbili
Viwanja vya michezo ? Mwanza kuna CCM kirumba wa pili Kwa ukubwa nchini,na nyamagana nyasi bandia.
Bandari ? Mwanza ziko mbili kusini na kasikan na moja ndo kuna Chelezo ya ujenzi wa Melo.

Ukubwa? Mwanza inamanispaa mbili ilemela na nyamagana.

Watu? Mwanza 1m +

Miundombinu? Barabara za mwanza zipo standard mpaka njia mbili mbili.

Airport kuna kubwa Sana.

Uchumi Huwezi linganisha mwanza na mbeya.

Majengo magorofa Huwezi kulinganisha mwanza na mbeya.

Hotel ndo kabisa husiseme.


Mandhari Hali ya hewa NK .mwanza sio joto wala baridi,beaches NK.hadi national park.

Vyuo huko ndo husiseme

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kitu gan mbeya inacho kuzidi mwanza?

Stendi? mwanza zipo mbili
Viwanja vya michezo ? Mwanza kuna CCM kirumba wa pili Kwa ukubwa nchini,na nyamagana nyasi bandia.
Bandari ? Mwanza ziko mbili kusini na kasikan na moja ndo kuna Chelezo ya ujenzi wa Melo.

Ukubwa? Mwanza inamanispaa mbili ilemela na nyamagana.

Watu? Mwanza 1m +

Miundombinu? Barabara za mwanza zipo standard mpaka njia mbili mbili.

Airport kuna kubwa Sana.

Uchumi Huwezi linganisha mwanza na mbeya.

Majengo magorofa Huwezi kulinganisha mwanza na mbeya.

Hotel ndo kabisa husiseme.


Mandhari Hali ya hewa NK .mwanza sio joto wala baridi,beaches NK.hadi national park.

Vyuo huko ndo husiseme

Sent using Jamii Forums mobile app
Unazingua sana kwa hivyo vipimo na vigezo vyako
Stendi Mbeya ziko 2,Stand kuu na nane nane na zinajengwa zingine 2,utaona hapo chini

Kuna uwanja wa Sokoine na vingine vidogo vidogo visivyo na idadi vina uwezo wa kutumiwa na ligi daraja la kwanza mfano uwanja wa MUST

Hapo kwenye barabara unazingua sana,Barabara Mbeya ziko za kutosha na zingine km 29 zinaanza kujengwa mwaka huu,kuwa dual caariage way sio kwamba ndo unazidi sehemu fulani,hata Sumbawanga na Singida kuna barabara 2

Airport ya Songwe unaijua haihitaji maelezo mengi

Kwa Vyuo vikuu na vinginevyo Mbeya ni Centre ya elimu na ni vingi kuliko Mwanza

Mandhari ndio hatuulizi,this is green City hadi ulaya wanatamani tubadilishane

Uchumi mnaongoza kwa quantity na sio quality hata wewe unajua

Mambo ya population,magorofa na mahotel sawa
 

Attachments

Unazingua sana kwa hivyo vipimo na vigezo vyako
Stendi Mbeya ziko 2,Stand kuu na nane nane na zinajengwa zingine 2,utaona hapo chini

Kuna uwanja wa Sokoine na vingine vidogo vidogo visivyo na idadi vina uwezo wa kutumiwa na ligi daraja la kwanza mfano uwanja wa MUST

Hapo kwenye barabara unazingua sana,Barabara Mbeya ziko za kutosha na zingine km 29 zinaanza kujengwa mwaka huu,kuwa dual caariage way sio kwamba ndo unazidi sehemu fulani,hata Sumbawanga na Singida kuna barabara 2

Airport ya Songwe unaijua haihitaji maelezo mengi

Kwa Vyuo vikuu na vinginevyo Mbeya ni Centre ya elimu na ni vingi kuliko Mwanza

Mandhari ndio hatuulizi,this is green City hadi ulaya wanatamani tubadilishane

Uchumi mnaongoza kwa quantity na sio quality hata wewe unajua

Mambo ya population,magorofa na mahotel sawa
We mbwa, uwanja wa kirumba ni wa kimataifa, mechi za CAF huchezwa pale, sio Kama hilo jaluba la sokoine.


https://www.google.com/url?sa=t&sou...WMAN6BAgCEAE&usg=AOvVaw3OylKwuJYiPfvBMarAHVhl

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom