Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Msaada Please,Hivi Beforward wana branch Kahama?

Naona kwenye web yao wapo Mwanza pekee.

Urgent.
 
Mimi si Mbena wala Msukuma ila niko objective..

Kahama kwa Data ni Mji wa nane kwa wingi wa watu nchini.. na lazima uko kati ya miji 10 mikubwa nchini.

Kwenye drone footage naona mazingira... Ukitumia kigezo chakuwa na miti na maji yanatitirika basi Dubai na Dar haziwezi kuifikia Njombe..

Ukitaka kujua eneo ni potential.. angalia wangapi wanaamka bila kuwa na ndugu wanaamua kwenda kuanza maisha eneo hilo kila mwaka.. Kahama nchini ni kati ya miji mitano inayovutia vijana kuzamia..

Watoto wanatoka mikoa ya mbali wanaunga kwenye malori hata wasiokuwa na fedha wananing'inia chini huko ili wafike Kahama... Hii nimeoniona. Wanachokimbilia ni opportunities...

Wengi hapa wanaperception isiyo sawa kwa mji huu wa Kahama.. mji huu ulianza na madini.. ukakua na Mpunga na sasa unajiendesha na Biashara na Huduma.. hiyo ni natural progression ya mji wowote kukua..

River Thames lilikuwa bonde la kilimo.. ila leo london hakuna anayelima watu wameshatoka huko.. na wamejikita kwenye sehemu ya pili.. Biashara na huduma na hapo ndio mahala wanaanza kuwa true Urban Center.

Ukisikia Buzwagi na Bulyanhulu kila mtu anadhani Kahama inajiendesha na madini .. wachimba madini ni sehemu ndogo tu ya Uchumi mkubwa wa Kahama.. Kahama primarily today.. ukiulizwa ni Mji gani.. unasema mji wa kibiashara..

Na biashara ndiyo inaupa mji huu uhai. Hakuna mashamba na mbuga nyingi za mpunga hazizalishi tena kama zamani.. hivyo watu wamegeukia sekta nyingine.. kama manufacturing na Huduma.

Kahama wengi wamehamia kwenye Rice Processing and Exportation... Maize Milling and Exportation, Viwanda vya vinywaji, Mafuta, Mabati, Nguo, Samani za Ndani, Gold Ellussion (Kusafisha Dhahabu), Transportation, Ujenzi na Huduma kama Elimu na Hotels.
.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sawa baba umeandika lakini mji gani wewe umeona haukui? mbona watu wanatoka maeneo kibao kuja kuanzisha kilimo biashara huku Njombe? na hiyo imechangia ukuaji wa mji maana Njombe ya zamani ni tofauti saaana na ya sasa
Huko kanda ya ziwa kuna lundo kubwa sana la watu kwa hiyo ni automatic uhamiaji mijini utakuwa mkubwa kwenye miji ya huko kumbuka sehemu kubwa ya mikoa ya kanda ya ziwa huwa inabahatisha kwenye kilimo mvua sio za uhakika ko kitu pekee watu wanaweza fanya ni kukimbilia mijini hii ni tofauti na huku Nyanda za Juu kusini yaani ukiona mvua ujue ni uhakika utavua
Kila mji una sekta zake kuu za kuendesha uchumi
 
Sawa baba umeandika lakini mji gani wewe umeona haukui? mbona watu wanatoka maeneo kibao kuja kuanzisha kilimo biashara huku Njombe? na hiyo imechangia ukuaji wa mji maana Njombe ya zamani ni tofauti saaana na ya sasa
Huko kanda ya ziwa kuna lundo kubwa sana la watu kwa hiyo ni automatic uhamiaji mijini utakuwa mkubwa kwenye miji ya huko kumbuka sehemu kubwa ya mikoa ya kanda ya ziwa huwa inabahatisha kwenye kilimo mvua sio za uhakika ko kitu pekee watu wanaweza fanya ni kukimbilia mijini hii ni tofauti na huku Nyanda za Juu kusini yaani ukiona mvua ujue ni uhakika utavua
Kila mji una sekta zake kuu za kuendesha uchumi
Na msingi wa mji ni watu!

Kama huna watu huwezi kushindana na mwenye watu.

China inampiku Marekani kwakuwa inawatu... Mmarekani aliwapikuwa Waingereza wajerumani na wajapani kwa kuwa ana watu..

Nigeria is the biggest economy in Africa kwa kuwa anawatu..

Watu ndio kila kitu. Sasa itoze miti na mabonde kodi... 🙂

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana Nikasema ni kazi kueleweshana. Kunawatu leo wako kati ya 28-30 wamezaliwa Kahama na wameishi Kahama maisha yao yote hawaijui Dhahabu inafananaje.. wamesoma na wameajiriwa kwenye sector nyinginekabisa zisizokuwa na uhusiano na madini.

Nikaeleza hapo awali madini yapo ila ndio hayo yanayowajengea njombe barabara maana kilimo hasa cha maparachichina mbao hakiwezi kamwe kuwa na mchango sawa na Dhahabu kwenye pato la Taifa.. lakini hiyo ni mali yetu sote watanzania.

Ingekuwa wanachukua yote halmashauri ya mji wa Kahama ..pangekuwa ulaya sasa..

Kinachofanya Kahama kuwa kubwa zaidi ya Njombe ni kuwa uwekezaji mkubwa kwenye madini umesababisha watu wengi kukimbilia hapo.. sasa umekuwa ndio meeting point ya wafanyabishara wa the great lakes.. na unaweza kuona namna gani influence ya wageni inavyoendelea kuushape mji.


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hasra mliyonayo ni kujihusisha na sekta ambazo zinashikwa na makabaila yaani matajiri wachache na serikali huku wengi wakisalia maskini wa kutupwa unlike sekta ya kilimo.
Haitakaa itokee kila mtu kujihusisha na sekta kuu ya uchumi wa eneo husika,sekta hizo hupelekea sekta zingine kuanzishwa lakini ukweli utabakia kwamba sekta kuu ambayo ni driving force ya uchumi wa Kahama na Geita ni dhahabu kama ambavyo ni kilimo kwa Njombe.
Seems uko mbali kidogo na updates za kilimo biashara ,baada ya utalii,na madini sekta ya horticulture ndio namba 3 kwa kuingiza pesa nyingi za kigeni,utofauti wa horticulture na hizo sekta za awali ni kwamba huko kuna serikal na mabwanyenye na huku kwenye horticulture ni individuals au wakulima wenyewe sasa hapo ndipo gap la maendeleo linapokuja.
Tunaweza ku agree to disagree lakini ni fedheha sana kuona maelfu ya watu wanaishi kimaskini saana kwenye miji ya Geita na Kahama licha ya kuambiwa kwamba wanaongoza kwa mapato sijui kutoa dhahabu.Hameni hizo sekta mtakufa maskini
 
Hasra mliyonayo ni kujihusisha na sekta ambazo zinashikwa na makabaila yaani matajiri wachache na serikali huku wengi wakisalia maskini wa kutupwa unlike sekta ya kilimo.
Haitakaa itokee kila mtu kujihusisha na sekta kuu ya uchumi wa eneo husika,sekta hizo hupelekea sekta zingine kuanzishwa lakini ukweli utabakia kwamba sekta kuu ambayo ni driving force ya uchumi wa Kahama na Geita ni dhahabu kama ambavyo ni kilimo kwa Njombe.
Seems uko mbali kidogo na updates za kilimo biashara ,baada ya utalii,na madini sekta ya horticulture ndio namba 3 kwa kuingiza pesa nyingi za kigeni,utofauti wa horticulture na hizo sekta za awali ni kwamba huko kuna serikal na mabwanyenye na huku kwenye horticulture ni individuals au wakulima wenyewe sasa hapo ndipo gap la maendeleo linapokuja.
Tunaweza ku agree to disagree lakini ni fedheha sana kuona maelfu ya watu wanaishi kimaskini saana kwenye miji ya Geita na Kahama licha ya kuambiwa kwamba wanaongoza kwa mapato sijui kutoa dhahabu.Hameni hizo sekta mtakufa maskini
Wakati wa Almasi ya Mwadui.
Mwadui was the most loved town in Tanzania... Maana Madini yalikuwa na direct impact na Miji inayozunguka migodi.

Sasa hivi sivyo..na kama ingekuwa Kahama ingekuwa the liking of Jo'burg migodi miwili yote ni heavyweight.. na mapato yake yako kwenye mamia ya mabilioni hata ingekuwa ni asilimia 5tu inabakia Kahama mji ule ungekuwa na mapato makubwa mno..

Tatizo mirahaba huwa hata haizidi milioni 700 na mapato mengine yote huenda serikali kuu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yupo Maeneo gani Mkuu?
Check huko facebook
Screenshot_20201112-125044.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Labda kama unaongea kinyume chake utaeleweka lakini huwezi linganisha watu mna vichwa vya kona kona kama burnt bricks na irregular shape afu ukajiita mzuri,kiukweli kimuonekano wasukuma nyie wengi ni wabaya na ushamba na umaskini ndio makao makuu huko
Sisi sio washamba wewe we own kitu inaitwa jiji kabla hujazaliwa!

Unawajua Kajala Masanja au Jacob Stephen (JB) (Bonge la bwana) (Eric Ford) wewe?
Unaona tulivyo wakubwa mtajilinganisha na nyie wafupii kama ********* 😀 Wasukuma siku kwanza ni weupe pole sana mtu mfupi.

BTW Kahama is the best yoo
 
Hasra mliyonayo ni kujihusisha na sekta ambazo zinashikwa na makabaila yaani matajiri wachache na serikali huku wengi wakisalia maskini wa kutupwa unlike sekta ya kilimo.
Haitakaa itokee kila mtu kujihusisha na sekta kuu ya uchumi wa eneo husika,sekta hizo hupelekea sekta zingine kuanzishwa lakini ukweli utabakia kwamba sekta kuu ambayo ni driving force ya uchumi wa Kahama na Geita ni dhahabu kama ambavyo ni kilimo kwa Njombe.
Seems uko mbali kidogo na updates za kilimo biashara ,baada ya utalii,na madini sekta ya horticulture ndio namba 3 kwa kuingiza pesa nyingi za kigeni,utofauti wa horticulture na hizo sekta za awali ni kwamba huko kuna serikal na mabwanyenye na huku kwenye horticulture ni individuals au wakulima wenyewe sasa hapo ndipo gap la maendeleo linapokuja.
Tunaweza ku agree to disagree lakini ni fedheha sana kuona maelfu ya watu wanaishi kimaskini saana kwenye miji ya Geita na Kahama licha ya kuambiwa kwamba wanaongoza kwa mapato sijui kutoa dhahabu.Hameni hizo sekta mtakufa maskini
Yaani nyie hatuwaachi hivi hivi ni kuwasiginia kunguni mpaka mkimbie, sasa hii miaka mitano ijayo Kahama ikipita vizuri, majiji mapya mawili yanayoweza kuongezwa ni Kahama na Morogoro, (Moshi ni siasa tu). Ni kukumbushe tu KAHAMA sio makao makuu ya Mkoa ni wilaya tu tofauti hata na hiyo miji mingine iliyoingia kwenye top 10 ya miji mikubwa Tanzania. Ingetokea tu Makao Makuu ya Mkoa wa Shinyanga yangekuwa Kahama tokea mwanzo si ajabu Kanda ya ziwa wangekuwa na Majiji makubwa mawili yaani Mwanza na Kahama. Ni rahisi KAHAMA kuwa jiji kabla ya NJOMBE pamoja na huo umasikini uliohaminishwa.

Yaani Njombe inachoizidi TABORA ni maparachichi tu 😛😛😛
1605210899500.png

 
Hali ya hewa Kagera na Njombe ni sawa tu ( Mbao, Chai, Parachichi, Kahawa, viazi chips, maharagwe, nanasi, ufugaji wa Ng'ombe wa maziwa) sema Kagera wamewazidi ndizi na uvuvi wa Samaki. Ni vizuri hii league tuitoe Kahama iwe Njombe na Kagera tu. Kwa sababu hata wilaya dume ya Kagera yaani Bukoba haiwezi simama na Kahama.


View attachment 1623630


View attachment 1623635

Yaani Njombe 2012 Maize milling mnazo tatu tu na mnajisifu ni viwanda vikubwa? Kwa waliofika Kahama tumwambie au tumuache tu huyu mtu mweusi? Hizo maize milling zao tunaziba na cotton Ginery nne tu Fresho, Kahama Cotton Company ltd, Kahama Oil Mills na Nida Textile. Hizo tea processing zao saba tunamtupa Kagongwa kwenye Paddy milling achilia mbali Malunga Kahama mjini. Bado kuna kiwanda cha bati, Kiwanda kipya cha vinywaji estimated investiment ya (10million USD) bado hujagusa mining industry.
View attachment 1623650
Hapo nakupinga aisee Hali ya hewa ya Kagera na njombe sio Sawa hata kidogo.

Bukoba sio sehemu yenye baridi Sana wala joto Sana. Bukoba mvua mvua sio za msimu ni mwaka Mzima na kijani muda wote.


Mkoa wa Kagera huwezi linganisha na mkoa wowote wa huko kusini na hata kanda ya ziwa maana asilimia kubwa ya vijiji vyake havina tofauti na mjini. Ndo maana Bukoba mjini wala haipaswi kuwa mji mkubwa wenye watu wengi hapana. Mji huu ni mji Tu muhimu wa starehe na huduma za kijamii na biashara kwa mkoa.kama ulishawahi fika bukoba utashangaa Sana system za daladala zake. Daladala nyingi huanzia bukoba kwenda kwenye vijiji mbalimbali vya mkoa huu . Abiria wengi huja mjini asubuhi na kuondoka jioni watu huishi katika vijiji vyao.

Ndo maana NBS inautaja mkoa huu kama mkoa wa pili nchini baada ya klm kwa makazi Bora vijijini.

Na kama hujui mkoa huu ni watatu nchini kwa population density na population baada ya dar na mwanza.


Mji wa bukoba.

Mji huu ( manispaa hii) wala siwezi kusema inaizidi kahama kwa ukubwa wala watu na hata mzunguko wa pesa ! La hasha. Lakin ni mji muhimu na wa kipekee kanda ya ziwa baada ya jiji la mwanza . Ndo maana meli hapo mwanza hubeba watu Zaidi ya buku kupeleka bukoba na kuwarudisha.

Kimiundombinu bukoba inatupa mbali Sana kahama.ni sehemu chache Sana za bukoba hazina lami,kuna bandari,uwanja wa ndege, shule huko ndo nyumbani Hadi dar inazidiwa na Kagera kwa idadi ya shule, hospital za binafsi zipo nyingi

Kimandhari na ubora wa maisha bukoba imeizidi mbali kahama na hata baadhi ya sehemu za jiji la mwanza. Bukoba sio kubwa Sana lakini ina baadhi ya mitaa iko poa Sana na huwezi ipata popte tz. Bila kusahau beach kibao kama Miami,kabuhara,kiroyera,bunena ,spice,yasira, nk.
Bukoba pia ni mji wa kitalii .kuna hotel nyingi kuliko kahama . Kagera kuna burigi chato,ibanda na rumanyika national parks.


Kimajengo bukoba inatupilia mbali kahama . Baada ya mwanza mji wenye majengo na maghorofa mengi ni bukoba. Kahama nyumba zake nyingi ni za chini. Wakati bukoba ghorofa moja,mbili Hadi nne zimejaa mjini.



Kitu pekee kahama inachoizidi bukoba ni ukubwa, wingi wa watu na mzunguko wa kibiashara basi. Lakin kimaisha ,kijamii, na maisha Bora bukoba mji unafaa Sana.
 
mkuu hata serikali inajua kua mkoa wanjombe unaizidi miko ya kanda ya ziwa labda jiji la mwanza na uwingi wa watu but in terms of per Capita Income Kanda ya ziwa haifikii njombe,nenda kaone Njombe vijiji huko watu walivyoshusha makazi bora.
Sorry ulishawahi fika kagera Bukoba huko vijijini.

Kagera ni kanda ya ziwa pia..


Mfano wa kijiji huko bukoba vijijini.

Njombe mnaizidi kagera kwa per capital kwa sababu mna population ndogo Sana. Wilaya ya muleba na misenyi Peke yake zinawazidi population.

Njombe kuna watu laki Tisa. Huku kagera ina watu 3 million mkoa ukiwa wa tatu nchini kwa idadi ya watu na density. Ndo maana mnaonekana mko juu

Lakin kiuhalisia huwezi linganisha maisha ya MTU wa bukoba vijijini na huko kusini
FB_IMG_16037235476935609.jpg
tapatalk_1600550226057.jpg
 
K
Sorry ulishawahi fika kagera Bukoba huko vijijini.

Kagera ni kanda ya ziwa pia..


Mfano wa kijiji huko bukoba vijijini.

Njombe mnaizidi kagera kwa per capital kwa sababu mna population ndogo Sana. Wilaya ya muleba na misenyi Peke yake zinawazidi population.

Njombe kuna watu laki Tisa. Huku kagera ina watu 3 million mkoa ukiwa wa tatu nchini kwa idadi ya watu na density. Ndo maana mnaonekana mko juu

Lakin kiuhalisia huwezi linganisha maisha ya MTU wa bukoba vijijini na huko kusiniView attachment 1625315View attachment 1625316
Kagera sijafika tu, nimeishi miaka miwili mtaa wa Kibeta - Bukoba mjini, nimetembelea wilaya zote.
 
Hali ya hewa Kagera na Njombe ni sawa tu ( Mbao, Chai, Parachichi, Kahawa, viazi chips, maharagwe, nanasi, ufugaji wa Ng'ombe wa maziwa) sema Kagera wamewazidi ndizi na uvuvi wa Samaki. Ni vizuri hii league tuitoe Kahama iwe Njombe na Kagera tu. Kwa sababu hata wilaya dume ya Kagera yaani Bukoba haiwezi simama na Kahama.


View attachment 1623630


View attachment 1623635

Yaani Njombe 2012 Maize milling mnazo tatu tu na mnajisifu ni viwanda vikubwa? Kwa waliofika Kahama tumwambie au tumuache tu huyu mtu mweusi? Hizo maize milling zao tunaziba na cotton Ginery nne tu Fresho, Kahama Cotton Company ltd, Kahama Oil Mills na Nida Textile. Hizo tea processing zao saba tunamtupa Kagongwa kwenye Paddy milling achilia mbali Malunga Kahama mjini. Bado kuna kiwanda cha bati, Kiwanda kipya cha vinywaji estimated investiment ya (10million USD) bado hujagusa mining industry.
View attachment 1623650
Aisee unaivunjia Bukoba heshima yake ya kipekee.
Mji ule Una hadhi yake ya kipekee.



Nakubali kahama inaizidi bukoba kwa idadi ya watu na mzunguko wa kibiashara lakini mambo mengi kama miundombinu,majengo( maghorofa) maisha ya MTU mmoja mmoja ,na hata mandhari.

Hebu huyo MTU wa njombe atazame miji ya kanda ya ziwa .hii ni bukoba
Kigali-Rwanda.jpg
images.jpg
images%20(1).jpg
images%20(2).jpg
aa6b81fe51c9a513e6deced791e7ec06.jpg
481f4f2f2b480d2e15f1d7b34419ca29.jpg
43a88a9d8b23d59568ad9b6db1053de2.jpg
2019-10-01.jpg
images%20(3).jpg
images%20(4).jpg
images%20(5).jpg
 
Aisee unaivunjia Bukoba heshima yake ya kipekee.
Mji ule Una hadhi yake ya kipekee.



Nakubali kahama inaizidi bukoba kwa idadi ya watu na mzunguko wa kibiashara lakini mambo mengi kama miundombinu,majengo( maghorofa) maisha ya MTU mmoja mmoja ,na hata mandhari.

Hebu huyo MTU wa njombe atazame miji ya kanda ya ziwa .hii ni bukobaView attachment 1625354View attachment 1625355View attachment 1625356View attachment 1625358View attachment 1625359View attachment 1625360View attachment 1625361View attachment 1625363View attachment 1625364View attachment 1625365View attachment 1625366
Unawachanganya wa Njombe ukiwaambia huu mji wa Bukoba hauifikii Kahama 🤣🤣🤣
 
Haya tunayoongea yangekua kweli TZ ingekua mbali sana aisee.Nikweli madini yanafedha lakini bahati mbaya hayawagusi wakazi halisi wengi ni wachimbaji wadogo wasio na vifaa na shimo moja linawatu kumi hata wakipata fedha huishia kwa watu wachache tu.Ukiongelea standard ya maisha Njombe itabaki kua juu.Hoja ya baridi ni hoja ya kipuuzi sana.Kila mahali kumeumbwa na hali ya hewa yake na MUNGU akaweka upendeleo maalumu ndio maana ukifika unakaribishwa na tea estate kila kona,tree plantation,Now parachichi,suala wananchi wa kawaida kua milioni milioni ni kawaida sana njombe.
Itabaki kuwa juu kuliko bukoba vijijini kimaisha?[emoji23]


Mzee funga safari nenda kanda ya ziwa hasa mkoa wa kagera uone jinsi elimu ilivyofanya vijiji vya bukoba viwe.


Bukoba ndo sehemu yenye mvua nyingi kuliko popote tz . Hio mandhari yake huwezi iona popote.


Hayo uliyoyataja yote yanalimwa kagera na nikuongezee kahawa, vanilla,alizeti,ndizi,miwa mpaka kuna kagera sugar,

Bado kuna biashara za mpakani, uvuvi,utalii ( burigi,ibanda, rumanyika national parks) elimu nk
 
Yaani nyie hatuwaachi hivi hivi ni kuwasiginia kunguni mpaka mkimbie, sasa hii miaka mitano ijayo Kahama ikipita vizuri, majiji mapya mawili yanayoweza kuongezwa ni Kahama na Morogoro, (Moshi ni siasa tu). Ni kukumbushe tu KAHAMA sio makao makuu ya Mkoa ni wilaya tu tofauti hata na hiyo miji mingine iliyoingia kwenye top 10 ya miji mikubwa Tanzania. Ingetokea tu Makao Makuu ya Mkoa wa Shinyanga yangekuwa Kahama tokea mwanzo si ajabu Kanda ya ziwa wangekuwa na Majiji makubwa mawili yaani Mwanza na Kahama. Ni rahisi KAHAMA kuwa jiji kabla ya NJOMBE pamoja na huo umasikini uliohaminishwa.

Yaani Njombe inachoizidi TABORA ni maparachichi tu 😛😛😛
View attachment 1625146
Mkuu unayumba sana,hapa hatushindanishi populationbali maendeleo,kuzaa sana kama panya ndio kumewafanya mnaongoza kwa umaskini.
Ingekuwa kulundikana ndio maendeleo basi kahama ingekuwa jiji toka 2012 sasa hata Manispaa bado which means mko nyuma saaana kwenye basic social and economic infrastructures.Kiufupi ni kwamba kwa mapato yenu hamkidhi kigezo cha kuweza kujiendesha ili muhudumie idadi hiyo ya watu.
Usicheze na kitu inaitwa maparachichi al maarufu greengold mkuu,inatuweka huko Ulaya
 
Back
Top Bottom