Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,212
Kwa hiyo njombe na Shinyanga ipi iko juu!?wapi nimetaja shinyanga mkuu?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo njombe na Shinyanga ipi iko juu!?wapi nimetaja shinyanga mkuu?
achaneni na maneno matupu lete video tuone maneno tumeshamaliza tuje kwenye uhalisia sasa.Drone footage ya Kahama kwa sasa hakuna, lakini hata ukitumia Google Earth details za majengo na miundo mbinu inaonekana Kahama is far away from Nyombe Mji [emoji13][emoji13][emoji13]
sijui kwa kuwa mada ni Njombe/Mafinga v Kahama.
Ulikuwa mtego.. ungejiroga useme Shy... ,, 🙂sijui kwa kuwa mada ni Njombe/Mafinga v Kahama.
Nachojua kanda ya ziwa kuna matajiri wengi zaidi kuliko nyanda za juu kusini.Ng'ana na dhahabu ni habari nyingine inatoa utajiri unaoeleweka.Mtu kugonga milioni 500 kitu cha kawaida.Njombe sijui ulime heka ngapi uje upige milioni 500.Njombe,mbeya ni miji ya watu wenye maisha ya hali ya chini wenye uhakika na ugali wa mchana na viazi mviringo. Mbeya,Nombe kila MTU analima, hivyo viwanda vya unga havilipi.Shy watu walizoea kununua unga tangu miaka ya 90+ hivi ilikuza viwanda vidogo vya unga.
Labda kama unaongea kinyume chake utaeleweka lakini huwezi linganisha watu mna vichwa vya kona kona kama burnt bricks na irregular shape afu ukajiita mzuri,kiukweli kimuonekano wasukuma nyie wengi ni wabaya na ushamba na umaskini ndio makao makuu hukoNi kweli Njombe ina watu wengi kuzidi Kahama ila makazi ya Kahama ni mazuri kuliko Njombe.
Na kwa kuongezea watu wa Kahama ni wazuri kuliko Njombe wanjombe nyie wafupi weusi tii na mamilima yenu
usiwe mjinga mkuu,get to know the so called kilimo biashara..Biashara sio kuzurura na mitumba na uchuuzi mwingine wa huko kahama ndio maana mnaishia kuongoza kwa umaskini tuNjombe Ni mji wa wakulima hakuna biashara pale ukifika msimu wa kilimo wote shambani ss analinganisha na miji ya biashara wap na wap hata like soko walilo Jenga meza ndo nyingi zipo 500 na frem 161 ko unaona jinsi gan hata serikali inawafahamu kuwa Ni wakulima t
compare na njombe
Ona mji ulivyopauka,yaani hapo mtakuwa mnapigwa na jua hadi akili zinayeyeuka
Mjini ni mahali wanapoishikwa kufanya kazi nyingine mbali na kilimo.usiwe mjinga mkuu,get to know the so called kilimo biashara..Biashara sio kuzurura na mitumba na uchuuzi mwingine wa huko kahama ndio maana mnaishia kuongoza kwa umaskini tu
Yaani toka tumeanza uzi huu hii ndio picha labda ya pili ya maana kutoka Kahama
Sasa nimekuelewa... Njombe has sentimental value for you.Ona mji ulivyopauka,yaani hapo mtakuwa mnapigwa na jua hadi akili zinayeyeuka
Sasa ndio ushangae huko mnakoita mjini mnagawana umaskini kutoka huyu kwenda mwingine na huku mnakoita shambani ndio tunazalisha mamilionea kila msimu,,huku kuna miti na mazao yake,vizai ulaya,parachichi,mahindi ,chai,pareto,ngano na mazao kibao ya matunda.Hapa bongo ukitoa pashions za nje ya nchi zingine zinatoka Njombe,the same to matunda damu nk nk..Sasa huwezi linganisha na nyie manamba wa migodini na kufanya uchuuzi wa mitumba eti ndio formal buznec,hauko xriac mkuuMjini ni mahali wanapoishikwa kufanya kazi nyingine mbali na kilimo.
Kijijini ni wanakoishi predominantly kwa kutegemea kilimo.
Ukikuta sehemu formal jobs ni Huduma kama elimu, afya na utawala wengine wote shambani.. hapo bado ni bush
Ukikuta sehemu ajira katika sekta kama huduma, viwanda na biashara ndiyo inaendesha sehemu kubwa ya uchumi wa mji .. hapo ndipo panaitwa mjini.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huku sio sehemu ya kuishi wavivu,huko kote umekutaja kumejaa maskini wa mali na akili like youUmeshafika Geita wewe?
Umeshafika Bariadi wewe?
Umeshafika Chato wewe?
Umeshafika Kahama wewe?
Umeshafika Musoma wewe?
Umeshafika Bukoba wewe?
Umeshafika Karagwe wewe?
Yani huko kote nilikokutaja ni balaa Njombe nimefika yani siwezi kuishi hata bure kwenye mamilima yasiyo na formula, watu wafupi na weusi tii muda wote makoti na makofia tu.
Sasa nyie watu wa kanda ya hohehahe Kahama si ndio mnaita senta yenu au? Sasa kama tunaizidi senta yenu wapi tena patabaki salama?,Kwamba shinyanga au? Shy naipa heko kwa viwanda tu nathing elseNjombe ya wapi ikaizidi Shinysnga,Tabora? Njombe ya Leo haiifikii Shinysnga ya mwaka 2000+.We endelea kufananisha Njombe na kahama, umeanza kuvuka mipaka dogo.
Inaweza kuwa bigger na ni sahihi but poor and ugly which is trueThis is waaaay bigger than NjoxView attachment 1624717
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ndio maana Nikasema ni kazi kueleweshana. Kunawatu leo wako kati ya 28-30 wamezaliwa Kahama na wameishi Kahama maisha yao yote hawaijui Dhahabu inafananaje.. wamesoma na wameajiriwa kwenye sector nyinginekabisa zisizokuwa na uhusiano na madini.Sasa ndio ushangae huko mnakoita mjini mnagawana umaskini kutoka huyu kwenda mwingine na huku mnakoita shambani ndio tunazalisha mamilionea kila msimu,,huku kuna miti na mazao yake,vizai ulaya,parachichi,mahindi ,chai,pareto,ngano na mazao kibao ya matunda.Hapa bongo ukitoa pashions za nje ya nchi zingine zinatoka Njombe,the same to matunda damu nk nk..Sasa huwezi linganisha na nyie manamba wa migodini na kufanya uchuuzi wa mitumba eti ndio formal buznec,hauko xriac mkuu