Kahama VS Njombe/Mafinga

Utajua hujui.
Soma hiyooo 👇

View: https://twitter.com/RailwaysAfrica/status/1726556629313761745?t=j28fHT0jx4xFcC--KS2CDA&s=19
 
Aisee mbeya imerekodi miradi miwili tu Kwa miezi mitatu 😂😂
 
Angalia value ndio uje kuongea pumba zako.

Pili mradi mmja wa Rukwa ni sawa na miradi ya jero jero ya miaka 2 Kwa Mwanza 😂😂
Idadi ya Miradi ni ishara ya wingi wa wawekezaji wanaovutiwa kuwekeza katika eneo husika
 
Idadi ya Miradi ni ishara ya wingi wa wawekezaji wanaovutiwa kuwekeza katika eneo husika
Wingi wa jero jero ndio utakusaidia nini Sasa kwenye GDP?

Sisi tunataka value kubwa,Wingi bakieni nao nyie harafu tukutane kwenye GDP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…