ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #17,781
Utajua hujui.Mikoa mingi haipo nioneshe mikoa kama Iringa na ndugu zao wengone kwani sio Tanzania, hizo report za kijinga tu na zimekaa kuabishana, kama ile ya lile limama la kaskazini pale stendi ya JPM, linasema watu kutoka mikoa ya kanda ya ziwa wanaongoza kutelekezwa kwa figure gani alitumia sample size gani, na utafiti wake alitumia nji gani? Hizi report za kijinga na upumbavu tu ni chuki na wivu hakuna kingine.
Utaanza lini?Utajua hujui.
Soma hiyooo 👇
View: https://twitter.com/RailwaysAfrica/status/1726556629313761745?t=j28fHT0jx4xFcC--KS2CDA&s=19
Waliamua wapike kwenye vyoo tu.😅Kwenge hiyo report ya kijinga mbona hakuna baadhi ya mikoa au wakati wanapika taarifa walikuwa wanakimbizwa na nan?
Kila report za kipumbavu huwa wanakandamiza kanda ya ziwa na hwana fact, wala figure yoyote ya uhakika, ni ujinga tu.Waliamua wapike kwenye vyoo tu.😅
Tumechoka na post zako kutoka twitter, leta picha kamili sio kutupa kazi ya kufungua vitu vya ajabu.
Angalia value ndio uje kuongea pumba zako.Aisee mbeya imerekodi miradi miwili tu Kwa miezi mitatu 😂😂
View attachment 2821104
Idadi ya Miradi ni ishara ya wingi wa wawekezaji wanaovutiwa kuwekeza katika eneo husikaAngalia value ndio uje kuongea pumba zako.
Pili mradi mmja wa Rukwa ni sawa na miradi ya jero jero ya miaka 2 Kwa Mwanza 😂😂
Wingi wa jero jero ndio utakusaidia nini Sasa kwenye GDP?Idadi ya Miradi ni ishara ya wingi wa wawekezaji wanaovutiwa kuwekeza katika eneo husika