Bukoba inaizidi nini Njombe labda? Nimeishi Bukoba naijua vizuri.Please tengua kauli bukoba municipal huwezi linganisha na miji ya kusini huko.
Bukoba itabaki kuwa bukoba na identity yake kama mji muhimu na wa kihistoria kanda ya ziwa na Tz kwa ujumla.
Bk tzView attachment 1658835
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Bora mshindane na kahama tu bukoba Achana nayo.Bukoba inaizidi nini Njombe labda? Nimeishi Bukoba naijua vizuri.
Unamchanganya ChoiceVariable 😀😀😀😀Bora mshindane na kahama tu bukoba Achana nayo.
Serikali sio wajinga kuifanya bukoba munispal miaka ya 90View attachment 1658841View attachment 1658842View attachment 1658843View attachment 1658844View attachment 1658845View attachment 1658846View attachment 1658847View attachment 1658848View attachment 1658849
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Aisee unaikosea heshima BukobaBukoba inaizidi nini Njombe labda? Nimeishi Bukoba naijua vizuri.
Kwa hizo biashara population mattersKwahiyo wakuu, mji wenye fursa kwa vijana wanaoanza maisha wenye biashara ndogondogo kama (kuuza nguo,bodaboda,kuuza chips,kutembeza matunda etc) ......kati ya Njombe na Kahama ni upi?
KahamaKwahiyo wakuu, mji wenye fursa kwa vijana wanaoanza maisha wenye biashara ndogondogo kama (kuuza nguo,bodaboda,kuuza chips,kutembeza matunda etc) ......kati ya Njombe na Kahama ni upi?
Kwamba kahama ina population kubwa?Kwa hizo biashara population matters
Shukrani mkuu....Kahama
Ni mji wa nane nchini kuwa na Idadi kubwa ya watu. Kwa hizo biashara ulizotaja fursa zipo.Kwamba kahama ina population kubwa?
Asante mkuu, mwakani nikiacha ajira nitakuwa huko kuangalia upande wapili wamaishaNi mji wa nane nchini kuwa na Idadi kubwa ya watu. Kwa hizo biashara ulizotaja fursa zipo.
mkuu Njombe hospitali zipo nyingi sanaHuduma kama hizi za Aga Khan Hospital zinapatikana kwenye miji kama KAHAMA, MWANZA, DSM, ARUSHA na kwa baadhi ya makao makuu ya mikoa yenye potential, sijajua kama NJOMBE zipo ?View attachment 1658755
Wilaya ya Kahama ina Halmashauri Tatu (Ushetu DC, Msalala DC na KMC) chini ya Mkuu wa wilaya Anamlingi Macha) Inakadiriwa wilaya ya Kahama ina Idadi ya watu 1.2 million huku Kahama Municipal Council ikiwa na idadi ya watu 320,000. Ni rahisi na mapema sana hiyo KMC kuwa Jiji kabla ya NjombeWatasema nn.. wakati wanavyovisema humu ni huwa ni hadithi tupu...
Wa
Tu wanajenga na own sources, makusanyo yao nyanafanya 50% ya makusanyo ya mkoa mzima.. unakuja unasema tunalima miti na chai!?
Kahama imekuwa Manispaa kabla ya Geita na Kibaha. Halmashauri tatu ambazo zilipendekezwa kuwa Manispaa. Geita alipokuepo Raisi haijatangazwa mpaka sasa na Kahama alipopita imetangazwa wacha tusubirie na Kibaha kama atapita.Kahama habari nyingine kabisa.
Kahama pamechangamka kibiashara aisee. Pamestahili kupewa hadhi ya municipal.Kahama imekuwa Manispaa kabla ya Geita na Kibaha. Halmashauri tatu ambazo zilipendekezwa kuwa Manispaa. Geita alipokuepo Raisi haijatangazwa mpaka sasa na Kahama alipopita imetangazwa wacha tusubirie na Kibaha kama atapita.