Kahama VS Njombe/Mafinga

Sasa Nini hii umepost?....

Mkuu hebu zunguka Tanzania nionyeshe Kijiji kama hiki...unavyoongea utazani hatutembei Hii Tanzania?
Huku ni muleba Bukoba vijijini

View: https://www.instagram.com/reel/C1XikS-tyXJ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Kwani Bukoba ndo hawajengi vyuo vikuu....
Huku Bukoba elimu ni kitu cha kawaida sana...
Sasa hiv tunaongelea jinsi ya kuitumia hio elimu ambayo 100% Bukoba watu wanayo
Wee Baki na hizo Takwimu zako...

Lakin huu ndo uhalisia huko vijijini...

View: https://www.instagram.com/reel/C1Xcmootct1/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
📌📌🔨

Katika Matawi yote ya Udsm yaani Mbeya,Kagera na Lindi ..Ni Tawi la Mbeya tuu ndio liko designed kuwa full fledged University baadae Kwa sababu ni maalumu Kwa Ajili ya Fani ya udaktri.

Kwa taarifa Yako tuu kutakuwa na
-Chuo Cha fani za afya
-Teaching Hospital
-Kiwanda Cha vifaa tiba.
 
Uwekezaji WA shule yenye hadhi ya kimataifa iliyo chukia eneo zaidi ya ekari 30 unaendelea ndani ya makambako tc
 
 
Sasa Nini hii umepost?....

Mkuu hebu zunguka Tanzania nionyeshe Kijiji kama hiki...unavyoongea utazani hatutembei Hii Tanzania?
Huku ni muleba Bukoba vijijini

View: https://www.instagram.com/reel/C1XikS-tyXJ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Tulisha kwambia hayo mambo now vijijini ni kitu Cha kawaida Sana sio Cha kubaki unatukuza saiz tunacho angalia mji una future gan maana Kuna miji Ina dumaa baada ya kusogea mbele inarudi nyuma inapitwa na miji ya juzi kisa ukosefu wa dira na hii inapelekea haya
 
Leta nyumba za vijijini huko makete na ludewa tuone palivopauka
 
Kumbe unaangalia future ya mji😂😂...

Mzee kwanza tunapoteza muda kulinganisha Bukoba na hizo slums za huko kusini


Hebu tuanze project zilizoko Bukoba...
Hii ni hotel mpya kabisa inayojengwa mjini Bukoba...Tazama kibao uone hata Ramani yake
 

Attachments

  • DJI_20231228184055_0145_D.JPG
    3.9 MB · Views: 2
  • DJI_20231228183855_0139_D.JPG
    4.4 MB · Views: 3
  • DJI_20231228183908_0140_D.JPG
    4.5 MB · Views: 2
  • DJI_20231228183929_0141_D.JPG
    4.7 MB · Views: 2
Narudia tena Bukoba ni well planned town...mji unamuonekano wa kimji...city centre panajulikana na unajengwa vzr sana....

Hii ndo Bukoba mjini kati...hebu linganisha na miji yenu ya kusini...
 

Attachments

  • DJI_20231228182045_0119_D.JPG
    5.7 MB · Views: 3
  • DJI_20231228182057_0122_D.JPG
    3.6 MB · Views: 2
  • DJI_20231228182054_0121_D.JPG
    3.7 MB · Views: 2
  • DJI_20231228182049_0120_D.JPG
    5.7 MB · Views: 3
Narudia tena Bukoba ni well planned town...mji unamuonekano wa kimji...city centre panajulikana na unajengwa vzr sana....

Hii ndo Bukoba mjini kati...hebu linganisha na miji yenu ya kusini...
Yan bado Sana Kuna miji ambayo ipo planned sio bukoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…