ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #18,061
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Nini hii umepost?....Nadhan Hilo nilisha kupa jibu kuwa vitu kama hivyo now si vya kujivunia tena maana vimezagaa Kila kono mkoa wa njombe ko HiYo kwetu si hoja tena sisi now ni mwendo wa viwanda na mijengo ya kwenda juu kuanzia floor nne maana miji inayo kua kwa Kasi now Dunian ni Ile inayo jikita na viwanda na biashara ikifuatiwa na ya utalii Sasa njombe kupitia uwepo wa madin ya liganga na mchuchuma na uwepo wa utajir wa malighafi viwandani wameamua kuteua mji wa makambako uwe wa viwanda na biashara na hii tu View attachment 2855132View attachment 2855133View attachment 2855134
Kijiji cha buganguzi muleba Bukoba vijijini....
View: https://www.instagram.com/reel/C1XfDlnNPMX/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Wee Baki na hizo Takwimu zako...
Unajaza seva na hizi takataka,leta vitu vya maana kama hivi 👇
View: https://youtu.be/qwrOjc76Pag?si=MhRzzApfUU2iDkMq
Kwani Bukoba ndo hawajengi vyuo vikuu....
Huku Bukoba elimu ni kitu cha kawaida sana...
Sasa hiv tunaongelea jinsi ya kuitumia hio elimu ambayo 100% Bukoba watu wanayo
Wee Baki na hizo Takwimu zako...
Lakin huu ndo uhalisia huko vijijini...
View: https://www.instagram.com/reel/C1Xcmootct1/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Unafikiri hayo mambo hayafanyiki Bukoba? Sio..
Hawa hapa wahaya wanajadiliana jinsi ya kuwekeza mkoani kwao...unasimama unasema unataka kuwekeza Nini mkoani Kagera...
Halafu watu wa kusini huko Bado sana kwa wahaya...huwa tunawazoom tu...wahaya hawafanyi biashara za uchuuzi kariakoo siku hiz wanamiliki viwanda na mahekari ya mashamba....
Msikilize huyu jamaa...na mwakani wanajenga hotel ya nyota Tano katikati ya mji wa Bukoba
View: https://www.instagram.com/reel/C1WBa9SNOhn/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Sasa Nini hii umepost?....
Mkuu hebu zunguka Tanzania nionyeshe Kijiji kama hiki...unavyoongea utazani hatutembei Hii Tanzania?
Huku ni muleba Bukoba vijijini
View: https://www.instagram.com/reel/C1XikS-tyXJ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Sasa Nini hii umepost?....
Mkuu hebu zunguka Tanzania nionyeshe Kijiji kama hiki...unavyoongea utazani hatutembei Hii Tanzania?
Huku ni muleba Bukoba vijijini
View: https://www.instagram.com/reel/C1XikS-tyXJ/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
Leta nyumba za vijijini huko makete na ludewa tuone palivopaukaNadhan Hilo nilisha kupa jibu kuwa vitu kama hivyo now si vya kujivunia tena maana vimezagaa Kila kono mkoa wa njombe ko HiYo kwetu si hoja tena sisi now ni mwendo wa viwanda na mijengo ya kwenda juu kuanzia floor nne maana miji inayo kua kwa Kasi now Dunian ni Ile inayo jikita na viwanda na biashara ikifuatiwa na ya utalii Sasa njombe kupitia uwepo wa madin ya liganga na mchuchuma na uwepo wa utajir wa malighafi viwandani wameamua kuteua mji wa makambako uwe wa viwanda na biashara na hii tu View attachment 2855132View attachment 2855133View attachment 2855134
Tumekwambia HiYo so hoja tena kwa mkoa wa njombe takwimu hazi danganyi mzee hizo ni sehemu tu wilaya ya makete mkoa wa njombe ni next level na mtatoa Sana machoLeta nyumba za vijijini huko makete na ludewa tuone palivopauka
Ndo maana tumekwambia Chaka lenu la vijijin limesha Waka moto Kila Kona watu wanajenga miundombinu imefunguka saiz tupo bize kuifanya miji ikue endelevu ludewa dcLeta nyumba za vijijini huko makete na ludewa tuone palivopauka
Kumbe unaangalia future ya mji😂😂...Tulisha kwambia hayo mambo now vijijini ni kitu Cha kawaida Sana sio Cha kubaki unatukuza saiz tunacho angalia mji una future gan maana Kuna miji Ina dumaa baada ya kusogea mbele inarudi nyuma inapitwa na miji ya juzi kisa ukosefu wa dira na hii inapelekea hayaView attachment 2855922View attachment 2855925
Vitu Gani hiv unapost lakini...Tumekwambia HiYo so hoja tena kwa mkoa wa njombe takwimu hazi danganyi mzee hizo ni sehemu tu wilaya ya makete mkoa wa njombe ni next level na mtatoa Sana machoView attachment 2856117View attachment 2856118View attachment 2856119View attachment 2856120View attachment 2856121View attachment 2856128View attachment 2856129
Narudia tena Bukoba ni well planned town...mji unamuonekano wa kimji...city centre panajulikana na unajengwa vzr sana....Tumekwambia HiYo so hoja tena kwa mkoa wa njombe takwimu hazi danganyi mzee hizo ni sehemu tu wilaya ya makete mkoa wa njombe ni next level na mtatoa Sana machoView attachment 2856117View attachment 2856118View attachment 2856119View attachment 2856120View attachment 2856121View attachment 2856128View attachment 2856129
Yan bado Sana Kuna miji ambayo ipo planned sio bukobaNarudia tena Bukoba ni well planned town...mji unamuonekano wa kimji...city centre panajulikana na unajengwa vzr sana....
Hii ndo Bukoba mjini kati...hebu linganisha na miji yenu ya kusini...