Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

1716776162789.jpg
 
HII NI CHANGAMOTO 👇👇👇👇Mbunge wa Viti Maalum, Suma Fyandomo amesema kwa sasa mtu akifika katika Jiji la Mbeya hajui mjini ni wapi kutokana na mpangilio wa jiji hilo.

"Wananchi wa mkoa wa Mbeya, kiu yao wanatamani kuona jiji lile linafanana na majiji mengine," amesema Fyandomo akisema sasa hivi haijulikani mjini ni wapi.

Amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 na kuongeza kuwa changamoto kubwa inayowakabili ni ujenzi holela, na kwamba ikitatuliwa wakazi wa Mbeya watakuwa wameheshimishwa.

Ameongeza kuwa ni muhimu jiji hilo likawa lenye hadhi inayokubalika ikifahamika kwamba ndipo anapotoka Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa Mabungeni Duniani, Dkt. Tulia Ackson.
1716857134791.jpg
 
Moja ya Barabara muhimu itakayo unganisha lupembe na makambako kwa km chache Sana km 39 ikikamilika na ya lupembe hadi mlimba gari nyingi zitapita hii Barabara maana ni Barabara yenye makazi ya kutosha tofauti na ya kibena eneo kubwa ni msitu wa tanwat na hii Ina km 15 hadi kuungana na ya lupembe hadi kidegembye km 25 wakati ya kibena hadi kidegembye ni km 41 ko hii ya mtwango Ina distance fupi kuliko kuzungukia kibena gari za kutoka ukanda wa mbeya zikifika makambako zitakuwa Zina select zipite Barabara ipi ya iringa au lupembe mji wa makambako unaenda kukua zaidi 👇👇👇👇👇
1717158856992.jpg
"MBUNGE SWALLE AHOJI UJENZI WA LAMI KUTOKA MTWANGO IKUNA HADI KIDEGEMBYE - YouTube"
View: https://m.youtube.com/watch?v=sScuUg5Olv8
 
Mheshimiwa Spika,hadi Aprili, 2024
ujenzi wa sehemu ya Kazilambwa – Chagu (km
36) na Urambo Roundaboutkwa kiwango cha
lami umekamilika. Aidha, ujenzi wa sehemu ya
Uvinza – Malagarasi (km 51.1) umefikia asilimia
53.
82.Mheshimiwa Spika,katika barabara ya
Ifakara – Kihansi – Mlimba – Madeke – Kibena
(km 346.43),Mkandarasi wa ujenzi kwa kiwango
cha lami sehemu ya Ifakara – Mbingu (km 62.5)
anaendelea na maandalizi ya ujenzi. Vilevile,
Mkataba wa ujenzi wa sehemu ya Mbingu – Chita
JKT (km 37.5)kwa kiwango cha lami umesainiwa
tarehe 13 Machi, 2024 na Mkandarasi anaendelea
na maandalizi ya kuanza ujenzi. Katika Barabara
ya Njombe (Kibena) – Lupembe – Madeke (km
126); Sehemu ya Kibena – Kidegembye (km 42)
taratibu za manunuzi ya Mkandarasi na Mhandisi
Mshauri kwa ajili ya ujenzi kwa kiwango cha lami
zinaendelea. Aidha, taratibu za manunuzi kwa ajili
ya kumpata Mhandisi Mshauri wa kufanya
Upembuzi Yakinifu na Usanifu wa Kina wa
50
 
Bora wameiona hii Barabara ya TAZAM INATAKIWA IPIGWE NJIA NNE YOTE 👇👇👇👇👇👇♨️♨️♨️♨️♨️ii.Kwa sehemu ya Chalinze – Morogoro yenye
urefu wa kilometa 84.9, Mshauri Elekezi
yupo katika hatua za mwisho kukamilisha
kazi ya Upembuzi Yakinifu.
iii.Kwa sehemu ya Morogoro – Dodoma (km
260) usanifu wa kina wa kawaida
(Conventional Design) uko katika hatua za
mwisho kukamilika. Usanifu utatumika
kujenga maono (Concept) ya Mradi wa PPP.
Aidha, Serikali inaandaa andiko la ujenzi wa
Barabara ya TANZAM kuanzia Morogoro – Iringa –
Mbeya hadi Tunduma kwa kuanzia na sehemu ya
Igawa – Mbeya hadi Tunduma ambayo kwa kiasi
kikubwa itasaidia kupunguza msongamano wa
magari katika mpaka wetu na Zambia pale
Tunduma na pia msongamano wa magari katika
Jiji la Mbeya ili kuijenga kwa utaratibu wa PPP.
 
Moja ya Barabara muhimu itakayo unganisha lupembe na makambako kwa km chache Sana km 39 ikikamilika na ya lupembe hadi mlimba gari nyingi zitapita hii Barabara maana ni Barabara yenye makazi ya kutosha tofauti na ya kibena eneo kubwa ni msitu wa tanwat na hii Ina km 15 hadi kuungana na ya lupembe hadi kidegembye km 25 wakati ya kibena hadi kidegembye ni km 41 ko hii ya mtwango Ina distance fupi kuliko kuzungukia kibena gari za kutoka ukanda wa mbeya zikifika makambako zitakuwa Zina select zipite Barabara ipi ya iringa au lupembe mji wa makambako unaenda kukua zaidi 👇👇👇👇👇View attachment 3004814"MBUNGE SWALLE AHOJI UJENZI WA LAMI KUTOKA MTWANGO IKUNA HADI KIDEGEMBYE - YouTube"
View: https://m.youtube.com/watch?v=sScuUg5Olv8

Hiyo Iko chini ya TARURA Sasa magari makubwa ya zaidi ya tani 10 hayataruhusiwa maana Tarura hawajengi lami zaidi ya hapo.

Magari makubwa yote yataputa Barabara kuu na kipaombele Cha Serikali Kwa lami ni Barabara kuu hizo za TanRoads ambapo hiyo ya Njombe(Kibena)-Ifakara-Turiani-Handeni kmepandishwa hadhi na kuwa Trunk Road
 
Hiyo Iko chini ya TARURA Sasa magari makubwa ya zaidi ya tani 10 hayataruhusiwa maana Tarura hawajengi lami zaidi ya hapo.

Magari makubwa yote yataputa Barabara kuu na kipaombele Cha Serikali Kwa lami ni Barabara kuu hizo za TanRoads ambapo hiyo ya Njombe(Kibena)-Ifakara-Turiani-Handeni kmepandishwa hadhi na kuwa Trunk Road
ILa itasaidia sana ni short cut na inamakazi mengi kuliko Ile ya kibena eneo kubwa ni msitu wa tanwat sema labda mkoa uangalie kupandisha hadhi iwe chini ya tanroad ni kutoka mtwango hadi kuunganisha HiYo Barabara ya lupembe ni km 15 tu
 
Back
Top Bottom