Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Wakati huo huo cold rooms wanajenga Mbeya na Njombe Airport,hao wawekezaji watajiongeza Kwa gharama za transport au?

Mimi nilisikia litakuwa soko na mazao ya nafaka kama kule Ikozi-Momba au Tunduma.
Kuna cold zingine wanajenga makambako kwenye eneo la bandari kavu la nafaka limeshajengwa tayari na bado majengo MENGINE yanaendelea na limeanza kutumika
1716607151722.jpg
 
Wakati huo huo cold rooms wanajenga Mbeya na Njombe Airport,hao wawekezaji watajiongeza Kwa gharama za transport au?

Mimi nilisikia litakuwa soko na mazao ya nafaka kama kule Ikozi-Momba au Tunduma.

Wakati huo huo cold rooms wanajenga Mbeya na Njombe Airport,hao wawekezaji watajiongeza Kwa gharama za transport au?

Mimi nilisikia litakuwa soko na mazao ya nafaka kama kule Ikozi-Momba au Tunduma.

View: https://www.facebook.com/channeltentz/videos/555633393368526/?mibextid=4JI6Y0kjsizIxO7p
IMG-20240520-WA0027.jpg
 
Makambako nonono labda mbao market! 😁😁😁.
Makambako nonono labda mbao market! 😁😁😁.
Makamako inazingukwa na maeneo yenye uzalishaji mkubwa wa mazao ndo maana Serikali imerifikiria Hilo na Kuna makampuni makubwa kama Azania , mo, nk Yana godawn za kutosha za kuhifadhia mazao makambako pia NFRA Ina ofisi zao za Kanda labda kama hujui kuwa wilaya ya mbalari inapakana na wapi ,blonde la kilombero , mkoa wa iringa ,ruvuma na mkoa wa njombe wenyewe na Kuna biashara kubwa ya mazao tofauti na unavofikiri
The-Southern-Highlands-of-Tanzania-illustrating-the-mixed-land-use-occurring-in-this.jpg
1704432526050.jpg
40303333.jpg
1711451397331.jpg
 

Attachments

  • 1704432526050.jpg
    1704432526050.jpg
    186.8 KB · Views: 1
Makambako nonono labda mbao market! 😁😁😁.

Kanda ya Makambako​

Ofisi za Kanda ya Makambako zipo katika Mji wa Makambako, Mkoa wa Njombe na inaongozwa na Meneja wa Kanda. Kanda ilianzishwa kimkakati ili kuweza kuhudumia Mikoa ya Njombe, Iringa, Mbeya na Songwe. Katika kuongeza ufanisi, Kanda hii iligawanywa na kutoa kanda mbili ambazo ni Kanda ya Makambako (Njombe na Iringa) na Songwe (Songwe na Mbeya). Kanda ya Makambako ina maghala yenye uwezo wa kuhifadhi tani 22,000 za nafaka.
Kwa sasa, Wakala inatekeleza mradi wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kwa kujenga vihenge na maghala ya kisasa ili kuboresha miundo ya uhifadhi katika eneo la Makambako. Kukamilika kwa mradi huu kutawezesha kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 22,000 zilizopo sasa hadi tani 62,000.
Nafaka zinazonunuliwa, kuhifadhiwa na kuzungushwa/kuuzwa kupitia Kanda ya Makambako ni mahindi na mpunga. Kanda hii kijiografia huwa na uwiano mzuri wa uzalishaji wa mpunga na mahindi kutokana na kuwa na uzalishaji mkubwa wa ziada ya nafaka na imekuwa ni sehemu ya kivutio kwa wanunuzi mbalimbali wa nafaka kutokana na kupatikana kwa wingi na urahisi wa usafirishaji kwa njia ya reli na barabara.
Mawasiliano;
FB_IMG_16699170220220823.jpg
FB_IMG_16755158894696887.jpg
 
Sasa tan 60000 ndo itahudumia kanda wakati kuna mkoa mahindi tu wanazalisha tani laki7 hapa bado mikoa mingine jumlisha mazao mengine wambie waongeze sifike angalau tani m1.

Kanda ya Makambako​

Ofisi za Kanda ya Makambako zipo katika Mji wa Makambako, Mkoa wa Njombe na inaongozwa na Meneja wa Kanda. Kanda ilianzishwa kimkakati ili kuweza kuhudumia Mikoa ya Njombe, Iringa, Mbeya na Songwe. Katika kuongeza ufanisi, Kanda hii iligawanywa na kutoa kanda mbili ambazo ni Kanda ya Makambako (Njombe na Iringa) na Songwe (Songwe na Mbeya). Kanda ya Makambako ina maghala yenye uwezo wa kuhifadhi tani 22,000 za nafaka.
Kwa sasa, Wakala inatekeleza mradi wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kwa kujenga vihenge na maghala ya kisasa ili kuboresha miundo ya uhifadhi katika eneo la Makambako. Kukamilika kwa mradi huu kutawezesha kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 22,000 zilizopo sasa hadi tani 62,000.
Nafaka zinazonunuliwa, kuhifadhiwa na kuzungushwa/kuuzwa kupitia Kanda ya Makambako ni mahindi na mpunga. Kanda hii kijiografia huwa na uwiano mzuri wa uzalishaji wa mpunga na mahindi kutokana na kuwa na uzalishaji mkubwa wa ziada ya nafaka na imekuwa ni sehemu ya kivutio kwa wanunuzi mbalimbali wa nafaka kutokana na kupatikana kwa wingi na urahisi wa usafirishaji kwa njia ya reli na barabara.
Mawasiliano;View attachment 3007102View attachment 3007103
 
Sasa tan 60000 ndo itahudumia kanda wakati kuna mkoa mahindi tu wanazalisha tani laki7 hapa bado mikoa mingine jumlisha mazao mengine wambie waongeze sifike angalau tani m1.
Mkoa gan unazalisha Tani laki Saba za mahindi maana hadi Sasa mkoa inaongoza kwa mahindi ni ruvuma hapa tunaenda kwa fact sio story za mitaan
 
Sasa tan 60000 ndo itahudumia kanda wakati kuna mkoa mahindi tu wanazalisha tani laki7 hapa bado mikoa mingine jumlisha mazao mengine wambie waongeze sifike angalau tani m1.

Kanda ya Sumbawanga​

Ofisi za Kanda ya Sumbawanga zipo katika eneo la Mazwi, Mkoa wa Rukwa na inaongozwa na Meneja wa Kanda. Kanda ilianzishwa kimkakati kutokana kuwa na uzalishaji mkubwa wa nafaka aina ya mahindi na mpunga. Kanda hii inahudumia Mkoa wa Rukwa na Katavi. Kanda ya Sumbawanga ina maghala yenye uwezo wa kuhifadhi tani 38,500 za nafaka ambapo ni Mazwi-Sumbawanga Mjini (Tani 28,500), Laela-Sumbawanga Vijijini (tani 5,000), na Mpanda-Katavi (Tani 5,000).
Kwa sasa, Wakala inatekeleza mradi wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kwa kujenga vihenge na maghala ya kisasa ili kuboresha miundo ya uhifadhi katika eneo la Mazwi na Mpanda. Kukamilika kwa mradi huu kutawezesha kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 38,500 zilizopo sasa hadi tani 83,500.
Nafaka zinazonunuliwa, kuhifadhiwa na kuzungushwa/kuuzwa kupitia Kanda ya Sumbawanga ni mahindi na mpunga. Ni moja ya kanda inayotegemewa kuhamisha nafaka kwenda kanda zenye upungufu katika uzalishaji wa chakula hususan mikoa ya kanda ya Ziwa.
Mawasiliano;
 
Mkoa gan unazalisha Tani laki Saba za mahindi maana hadi Sasa mkoa inaongoza kwa mahindi ni ruvuma

Kanda ya Songea​

Ofisi za Kanda ya Songea zipo katika eneo la Ruhuwiko, Mkoa wa Ruvuma na inaongozwa na Meneja wa Kanda. Kanda ilianzishwa kimkakati kwa kuwa Mkoa wa Ruvuma unaongoza kwa uzalishaji mkubwa wa nafaka aina ya mahindi lakini pia kuweza kuhudumia Mkoa wa Ruvuma na Kanda zingine za Wakala zenye uzalishaji mdogo wa nafaka. Kanda ya Songea ina maghala yenye uwezo wa kuhifadhi tani 29,000 za nafaka.
Kwa sasa, Wakala inatekeleza mradi wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kwa kujenga vihenge na maghala ya kisasa ili kuboresha miundo ya uhifadhi katika eneo la Ruhuwiko-Songea Mjini. Kukamilika kwa mradi huu kutawezesha kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 29,000 zilizopo sasa hadi tani 84,000.
Nafaka zinazonunuliwa, kuhifadhiwa na kuzungushwa/kuuzwa kupitia Kanda ya Songea ni mahindi. Ni kanda inayoongoza kwa kuwa na uzalishaji mkubwa wa nafaka hususan mahindi, hivyo kuwa moja ya soko linalotegemewa na Wakala katika ununuzi wa nafaka.
Mawasiliano;
 
Wawekezaji wapo kazini wanajenga mji wa kitalii Kijiji Cha mlungu hiki Kijiji kipo km56 kutoka rujewa makao makuu ya wilaya ya mbarali na kipo km 35 kutoka makambako tc kupitia saja na ndo eneo linapakana na mbuga ya ruaha tofauti ukipitia uwanja wa nduli Iringa km zaidi ya 100 wakati hichi Kijiji kinapakana na hii mbuga 👇👇👇👇👇👇👇DC MBARALI AFURAHISHWA NA MRADI WA UJENZI WA CHUO CHA UTALII KIJIJI CHA MULUNGU MBARALI.

Kamati ya Ulinzi na Usalama ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Kanali Denis Filangali Mwila ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, siku ya leo Juni 03, 2024 , imetembelea Mradi mkubwa wa Ujenzi wa Chuo cha Utalii, pamoja na Uwanja wa Ndege, unaotekelezwa na Taasisi ya Six Rivers Africa katika Kijiji cha Mulungu Wilaya ya Mbarali na kuridhishwa na Mradi huo.

"Tunawashukuru sana kwa kuweza kutuletea maendeleo katika Wilaya yetu ya Mbarali, kwa sababu Mradi huu utagharimu Tsh. Bilioni mbili nukta Nne (2,400,000,000/=) hata hivyo hapa kuna zaidi ya Wananchi karibu 50 wanaopata fedha kupitia mradi huu" ( yaani ajira za muda mfupi)

Pia, Kanali Mwila ameongeza kuwa, Mradi huu ni jitihada Mhe, Daktari Samia Suluhu Hassan katika sinema ya Royal Tour kuvitangaza vivutio vyetu, na vilevile analeta maendeleo kwetu kupitia miradi hii. Mbali na faida za Utalii, Kanali amesema mradi huu utaweza kisaidia Watu kujifunza umhimu wa Uhufadhi kwani Mbarali pia ni chanzo cha maji ya Mabwawa mengi; Bwawa la Mtera, Kidatu na hata katika Bwawa la Mwalimu Nyerere, Mbarali inatoa 15% ya maji yote katika Bwawa hilo.

Kwa upande wa Mkuu wa Oparesheni wa Six Rivers Africa, ndugu Abubakari Mure, amesema wanategemea kuanza kupokea wanafunzi mwezi wa Julai, mosi 2024 ambapo wanategemea kuanza na wanafunzi 60 kwa kila Kozi itakayokuwa inatolewa na Chuo hicho.

Jumla ya Kozi nne zimepangwa kufundishwa katika Chuo hicho ambazo ni; Guide Training, Chef raining, Manager training pamoja na Service Bingwa (housekeeping and waiters)

#NasimamanaMheDaktSamiaSuluhuHassan
1717434387105.jpg
1717434401154.jpg
1717485481423.jpg
1717493987161.jpg
1717494457245.jpg
1717485500633.jpg
 
Eng. Bruno Ching’andu, TAZARA CEO, was privileged to welcome to TAZARA Mr. Ren Shengjun, Vice Chairman & President of the Export-Import Bank of China, who are partnering with CCECC in the revitalisation of TAZARA.
1717473518268.jpg
1717513465434.jpg
 
Sub town around makambako zote Sasa zitakuwa na lami mitaan Sasa ni zamu ya mtwango 👇👇👇👇👇👇👇SHILINGI MILIONI 500 KUJENGA BARABARA ZA LAMI LUPEMBE.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainabu Katimba (Mb) amesema Serikali imedhamiria kujenga Barabara kwa kiwango cha Lami katika Jimbo la Lupembe ambapo amesema jumla ya shilingi Million 500 zimetengwa.

Mhe. Katimba amesema hayo leo Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu, wakati akijibu swali la Mheshimiwa Edwin Enosy Swalle, Mbunge wa Jimbo la Lupembe aliyeuliza Je, Serikali kupitia TARURA ina mpango gani wa kujenga Barabara za lami katika Jimbo la Lupembe.

“Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitia TARURA imepanga kuanza ujenzi wa barabara katika Jimbo la Lupembe ambapo katika bajeti ya mwaka 2024/25 imetenga shilingi milioni 500 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami. Barabara itakayoanza kujengwa ni ya Lunguya - Soko la Mbao yenye urefu wa kilomita 1.0 ambayo pia inapita katika Kituo cha Afya cha Mtwango.”

Aidha mhe. Katimba amesema Serikali ipo katika hatua za mwisho za kutengeneza mpango maalumu ambao utatuka katika kugawa fedha za miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Barabara kutokana na manzigira ya Halmashauri husika ambayo utazingatia umhimu wa Barabara katika kilimo na urefu wa Barabara husika

#ElOlamaFm #YourPerfectStation #Tunamwagika #ChemChemYaMuziki
 
Mkoa gan unazalisha Tani laki Saba za mahindi maana hadi Sasa mkoa inaongoza kwa mahindi ni ruvuma hapa tunaenda kwa fact sio story za mitaan
Rukwa msimu wa mwaka 2021 tani zilizo zaliswa laki 6.5,ruvuma sikatai lakini rukwa mahindi ndo icon ya mkoa. Na msimu wa mwaka 2023 mkoa ulizalisha Tani laki 8(800,000)za mahindi pekee.
 

Kanda ya Sumbawanga​

Ofisi za Kanda ya Sumbawanga zipo katika eneo la Mazwi, Mkoa wa Rukwa na inaongozwa na Meneja wa Kanda. Kanda ilianzishwa kimkakati kutokana kuwa na uzalishaji mkubwa wa nafaka aina ya mahindi na mpunga. Kanda hii inahudumia Mkoa wa Rukwa na Katavi. Kanda ya Sumbawanga ina maghala yenye uwezo wa kuhifadhi tani 38,500 za nafaka ambapo ni Mazwi-Sumbawanga Mjini (Tani 28,500), Laela-Sumbawanga Vijijini (tani 5,000), na Mpanda-Katavi (Tani 5,000).
Kwa sasa, Wakala inatekeleza mradi wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kwa kujenga vihenge na maghala ya kisasa ili kuboresha miundo ya uhifadhi katika eneo la Mazwi na Mpanda. Kukamilika kwa mradi huu kutawezesha kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 38,500 zilizopo sasa hadi tani 83,500.
Nafaka zinazonunuliwa, kuhifadhiwa na kuzungushwa/kuuzwa kupitia Kanda ya Sumbawanga ni mahindi na mpunga. Ni moja ya kanda inayotegemewa kuhamisha nafaka kwenda kanda zenye upungufu katika uzalishaji wa chakula hususan mikoa ya kanda ya Ziwa.
Mawasiliano;
Umesahahau vihenga vya kanondo vinahifadhi zaidi ya tani 30000.
 
Back
Top Bottom