Mbona unapost jengo moja 🤣🤣 weka aerial view, mbona unapenda kuficha ficha
Leta na wewe ya moja moja tuone sio unajibalaguza hapa na kutuletea gorofa moja mbili tatu hizo njombe ni nyumba za kuishi na ofisi za visima vya mafuta leta hotel Kali kama hizi